Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Corolla Manual ipo Ukonga mazizin full AC Gari imekaza Sana cc 1490 Bei poa sana Mil 2.8 fixed. pga Sim 0683011003 Njoo ukague gari na fundi wako hakuna picha zaidi ya hizi
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Kiwanja kina hati kabisa kinauzwa Mabwepande, kina ukubwa sqm 447.Kinapatikana Mabwepande Bar mpya,kinafaa kwa ajili ya biashara au makazi sababu kipo barabarani. Bei yake ni 11,000,000...
0 Reactions
0 Replies
754 Views
Wajasiriamali wengi wamekuwa wakihangaika kutafuta mashine/Vifaa kwa ajili ya kurahishisha uzalishaji, kuongeza thamani ya bidhaa zao na kuboresha shughuli za biashara zao kwa ujumla. Vifaa vingi...
22 Reactions
291 Replies
142K Views
Habari, Nauza Mashine mpya kabisa,ya kisasa kwa ajili ya kutengenezea juice ya miwa Inachuja yenyewe Inaweza kusaga mpaka miwa 300 kwa saa 1 750W Inawarranty ya mwaka mzima 1,100,000/ only...
10 Reactions
103 Replies
18K Views
Je, unajua hakuna sabuni nzuri katika mwili kama sabuni za mawingu? Najua utauliza kivipi je unafahamu sabuni ya magadi haina expire date za sabuni zingine ? Uzuri wake unaanzia hapo Ogopa sana...
2 Reactions
2 Replies
4K Views
Viwanja vunauzwa Kigamboni Vikunai, vinatazamana na maghorofa ya NSSF. Viwanja vina ukubwa wa mita 27*22 Price = million 5 Cont 0718 606739 0685 752509 Kwenda kuona viwanja site ni buree
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Kichwa cha habari kinajieleza. Nahitaji msaada huo kwa mtu mwenye uwezo wa kuandika bussiness plan pamoja na hesabu kwa ajili ya kuombea mkopo anitafute. Nitumie ujumbe kwa namba 0713664912 au...
1 Reactions
1 Replies
626 Views
Ni ng'ombe chotara wenye umri wa mwaka1 jike na dume, jike yupo tayari kwa kupandishwa ili ashike mimba, hawana wagonjwa, nawauza wote hawa kwa sh 1,500,000. Wanapatikana pugu kajiungeni, dar piga...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Hii hapa Run X nzuri tu Haina shida yoyote. Inapatikana Dar Tuwasiliane 0683011003 Imerudiwa rangi full kutokana na some scratches
4 Reactions
8 Replies
2K Views
Used Simtanks mbili za Lita 5000 Kila mmoja yanauzwa Magomeni Mikumi. Kila mmoja linauzwa kwa 250,000. Kwa mawasiliano Zaidi piga namba 0687320462 au 0693890769.
1 Reactions
25 Replies
5K Views
Habari za kwenu waungwana. Nimeona nifuatilie ile ishu ya kubadilisha pesa za kibongo kwa dola, yani iko hivi, nataka niwe naangalia rate ya kununua na kuuza dola kwa benki zetu za hapa bongo...
0 Reactions
64 Replies
21K Views
PC inauzwa Tsh 500000 6GB RAM 1TB HDD i5 Keyboard zinawaka NB: Touchscreen upande mmoja una creaks.
1 Reactions
2 Replies
721 Views
Hlw guys.. Fursa ya shamba lenye ukubwa wa hekali 239.16 linauzwa; Location "SHAMBA LINAPATIKANA KWADOYA VILLAGE HANDENI DISTRICT" KATIKA SHAMBA HILO HEKALI 2 ZIMELIMWA MITI YA MITIKI.. DOCUMENT...
1 Reactions
5 Replies
976 Views
Name: GENERATOR SOLUTION Location:Tabata Dar es salaam Kwa Huduma Bora na Uhakika. Karibu kwa Matatizo yoyote ya Generator lako. ●●Kama unauza au unataka kununua njoo ofisini kwetu. Pia tunafanya...
0 Reactions
0 Replies
822 Views
Name: GENERATOR SOLUTION Location:Tabata Dar es salaam Kwa Huduma Bora na Uhakika. Karibu kwa Matatizo yoyote ya Generator lako. ●●Kama unauza au unataka kununua njoo ofisini kwetu. Pia tunafanya...
0 Reactions
0 Replies
889 Views
Nipo Mkoani Simiyu Wilaya Ya Meatu. Huwa nanua sabuni hizi kwa bei kati ya 10500,10800 au 11000. Hizi bei na karibu katika maduka yote ya jumla jumla hapa Mwanhuzi. Ningependa kudeal na ununuzi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nina kioo cha Samsung A30 original, simu ilizima ikiwa na mwezi mmoja tu. Hakina mikwaruzo Nahitaji mashine, ila kama una mashine unahitaji kioo nicheki 0622009372 . Location: Songwe Mbozi
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nasikia Gb 7 zinatolewa kwa siku 14. Vipi kwako huko unazipata au ndio geresha?
0 Reactions
5 Replies
703 Views
LAPTOP ZIMEWASILI NA OFA YA VITABU Drone Logistic tumekuwa tukiwasaidia watanzania ushauri bure juu ya bidhaa bora toka nje ya nchi na jinsi ya kuziagizia kwa ufanisi. Safari hii,tumeamua...
0 Reactions
0 Replies
848 Views
Back
Top Bottom