Corolla Manual ipo Ukonga mazizin
full AC
Gari imekaza Sana
cc 1490
Bei poa sana Mil 2.8 fixed.
pga Sim 0683011003
Njoo ukague gari na fundi wako hakuna picha zaidi ya hizi
Kiwanja kina hati kabisa kinauzwa Mabwepande, kina ukubwa sqm 447.Kinapatikana Mabwepande Bar mpya,kinafaa kwa ajili ya biashara au makazi sababu kipo barabarani.
Bei yake ni 11,000,000...
Wajasiriamali wengi wamekuwa wakihangaika kutafuta mashine/Vifaa kwa ajili ya kurahishisha uzalishaji, kuongeza thamani ya bidhaa zao na kuboresha shughuli za biashara zao kwa ujumla.
Vifaa vingi...
Habari,
Nauza Mashine mpya kabisa,ya kisasa kwa ajili ya kutengenezea juice ya miwa
Inachuja yenyewe
Inaweza kusaga mpaka miwa 300 kwa saa 1
750W
Inawarranty ya mwaka mzima
1,100,000/ only...
Je, unajua hakuna sabuni nzuri katika mwili kama sabuni za mawingu? Najua utauliza kivipi je unafahamu sabuni ya magadi haina expire date za sabuni zingine ?
Uzuri wake unaanzia hapo Ogopa sana...
Viwanja vunauzwa Kigamboni Vikunai, vinatazamana na maghorofa ya NSSF.
Viwanja vina ukubwa wa mita 27*22
Price = million 5
Cont 0718 606739
0685 752509
Kwenda kuona viwanja site ni buree
Kichwa cha habari kinajieleza.
Nahitaji msaada huo kwa mtu mwenye uwezo wa kuandika bussiness plan pamoja na hesabu kwa ajili ya kuombea mkopo anitafute. Nitumie ujumbe kwa namba 0713664912 au...
Ni ng'ombe chotara wenye umri wa mwaka1 jike na dume, jike yupo tayari kwa kupandishwa ili ashike mimba, hawana wagonjwa, nawauza wote hawa kwa sh 1,500,000. Wanapatikana pugu kajiungeni, dar piga...
Used Simtanks mbili za Lita 5000 Kila mmoja yanauzwa Magomeni Mikumi. Kila mmoja linauzwa kwa 250,000. Kwa mawasiliano Zaidi piga namba 0687320462 au 0693890769.
Habari za kwenu waungwana.
Nimeona nifuatilie ile ishu ya kubadilisha pesa za kibongo kwa dola, yani iko hivi, nataka niwe naangalia rate ya kununua na kuuza dola kwa benki zetu za hapa bongo...
Hlw guys..
Fursa ya shamba lenye ukubwa wa hekali 239.16 linauzwa; Location "SHAMBA LINAPATIKANA KWADOYA VILLAGE HANDENI DISTRICT"
KATIKA SHAMBA HILO HEKALI 2 ZIMELIMWA MITI YA MITIKI..
DOCUMENT...
Name: GENERATOR SOLUTION
Location:Tabata Dar es salaam
Kwa Huduma Bora na Uhakika. Karibu kwa Matatizo yoyote ya Generator lako.
●●Kama unauza au unataka kununua njoo ofisini kwetu. Pia tunafanya...
Name: GENERATOR SOLUTION
Location:Tabata Dar es salaam
Kwa Huduma Bora na Uhakika. Karibu kwa Matatizo yoyote ya Generator lako.
●●Kama unauza au unataka kununua njoo ofisini kwetu. Pia tunafanya...
Nipo Mkoani Simiyu Wilaya Ya Meatu.
Huwa nanua sabuni hizi kwa bei kati ya 10500,10800 au 11000.
Hizi bei na karibu katika maduka yote ya jumla jumla hapa Mwanhuzi.
Ningependa kudeal na ununuzi...
Nina kioo cha Samsung A30 original, simu ilizima ikiwa na mwezi mmoja tu. Hakina mikwaruzo
Nahitaji mashine, ila kama una mashine unahitaji kioo nicheki 0622009372 .
Location: Songwe Mbozi
LAPTOP ZIMEWASILI NA OFA YA VITABU
Drone Logistic tumekuwa tukiwasaidia watanzania ushauri bure juu ya bidhaa bora toka nje ya nchi na jinsi ya kuziagizia kwa ufanisi. Safari hii,tumeamua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.