Tunauza na kurekebisha vifaa vya kufanyia kazi kwenye karakana na kiwandani.
Kwa wamiliki wa karakana, kiwanda kidogo na kikubwa ,Sasa unaweza kupata vifaa vinavyodumu kwa bei rafiki kutoka...
Je Umechoka muonekano wa sofa zako na ungependa kuzipa muonekano wa tofauti na wakisasa zaidi?
SALE SALE SALE
Sofa la mmoja ni 30000
Sofa la wawili ni 44,000
Sofa la watatu ni 54,000
●Tuma...
Hii ni kwa wauzaji wa vifaa vya simu na mafundi wanaotengeneza simu. Jipatie usb na charger kwa bei ya jumla. Nina usb hizi original za Nokia ninauza sh. 5000(rejareja) Ukichukuwa nyingi napunguza...
Wakuu,
Natafuta eneno ambalo ni mita chache toka ufukweni. Sehemu ambayo nitaweza kujenga nyumba ya makazi.
Budget yangu ni kati ya Milioni 12 mpaka milioni 30. Hii itategemea na sehemu...
Tumekuja na bidhaa bora na za bei rahisi tunapatikana tabata.
Causal leser bench Kwa matumizi ya ofisini, chumbani, sebuleni, dinning.
Bei 150,000 bila mito
Mto mmoja 20,000
Zulia 15,000
0767...
husika na kichwa cha habari hapo juu,nipo DSM,nahitaji mfanya biashara niwe namletea nguo za watoto za mitumba grade one kwa bei ya jumla,pia nahitaji mfanya biaashara hata mwenye shule,nimletee...
TRUCK INA SIFA ZIFUATAZO
Mwaka wa kutengenezwa 2001
Aina ya Injini 4D33
Uwezo wa Injini 4,210cc
Mileage 224,210 Km
Uwezo wa gari Tani 2
Manual transmission
Nyeupe
Spring juu
ACCESSORIES
AC, Power...
Nyumba inauzwa Goba njia nne ipo vizur sana bei yake ni milion 50 maongezi yapo kwa mwenye uhitaji wa hiyo nyumba haina migogoro wala mivutano inauzwa kwa sababu ya shida binafsi urefu ni 35 upana...
Habari. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Nataka kujua wanapotoa huduma hii Dodoma. Kwa yeyote mwenye ufahamu juu ya hili anisaidie tafadhali
Natanguliza shukran zangu
Hello nauza nguo za watoto za mtumba grade A za kike na za kiume kuanzia mtoto mchanga hadi wa miaka 4 kwa bei nzuri,
Pia nauza novels za wakubwa na watoto kwa bei ya tsh 3000 kwa novel 1(3000@1)...
TATIZO LA GPS KUISHA MUDA (GPS EXPIRE)
Je kifaa cha GPS ambacho unatumia kinakwambia GPS expire?
Je umeshindwa kulipia platform online unayotumia kwa ajili ya GPS yako
Je una kifaa cha GPS...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.