Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Hello nabadilishana Dstv decoder kwa mwenye Azam decoder ya Dish. 0654 079136. Location n ; KIGAMBONI FERRY !.
1 Reactions
3 Replies
690 Views
Habari wakuu, naomba kufahamu jina la mashine za kuwekea stickers Kwenye simu na pc Pamoja na bei yake mfano wa sticker[emoji1313][emoji1313]. Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
4 Replies
4K Views
Karibu ujipatie causal leser bench kwa matumizi ya ofisini, dinning room, sitting room na chumbani. Tunapatikana tabata 0767601018. causal leser bench 150,000. Mito 20,000 mmoja Zulia 15,000...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Flyon architects tupo kwa ajili yako. Huduma zetu ni nafuu
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Habari wadau. Kwa Dar es Salaam wapi naweza kupata duka la viatu vya mtumba bei ya kati. Mimi sio mdosi. Bei zake range kuanzia 30K mpaka 80K. Mtumba OG kabisa. Naomba kuwasilisha.
3 Reactions
5 Replies
3K Views
" Ninahitaji front ball joints za upande wa kushoto na kulia. Gari langu ni 1998 Toyota lexus gs 300 au 1998 Toyota aristo" Location: Dar
1 Reactions
2 Replies
549 Views
Thread ya kwanza mliikashifu kuhusu hii kitu kutumia internet bure bila ya kuwa na MB wa Salio Katika laini yako Sasa Ipo ivi Kuna applications maalum ambazo nitakupatia zenye uwezo wa ku bypass...
2 Reactions
14 Replies
10K Views
Nyumba ina vyumba 3 kimoja master , sitting na daning pamoja na jiko Nyumba ina jiko la nje na ndani . kisima cha maji na umeme. .nyumba ina fence kubwa na nyumba ni mpyaaa Ukubwa wa kiwanja...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Nauza makabati ya nguo na viatu ya zipu Ni imara na zinapendezesha nyumba Yapo ya rangi mbalimbali Wateja wa dar unaletewa buree Unafungiwa pia buree Kwa wateja wa mkoani tunatuma kupitia mabasi...
1 Reactions
20 Replies
5K Views
Shamba la ekari 100 linauzwa, Tshs milioni 12 (laki 1.2 kwa eka 1) zao la korosho inakubali Sana hapo. SHAMBA lipo wilaya ya manyoni kijiji cha (....) mkoa wa singida. Shamba linakubali...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari wanaJF Nahitaji muongozo kama kuna mahali wananunua pete yenye kito cha Tanzanite niende nikauze yangu Natanguliza shukrani [emoji120]
2 Reactions
39 Replies
3K Views
Epson Projector Bei Tsh 450,000/- Zimetumika Uingereza lakin zipo kwenye hali nzuri New Lamp installed Zinafaa kuoneshea mpira au makanisani au ukumbini kwenye sherehe Zinatoa picha kubwa...
2 Reactions
19 Replies
4K Views
Msaada naomba kujua chimbo la waleti za ngozi, pochi mikoba au mabegi ya kina mama ya mtumba kwa Dar.
2 Reactions
2 Replies
3K Views
Nyumba na kiwanja vyauzwa Bunju B Sokoni 80m/=. Kina title deed, 890 Square Meters, master, vyumba 3 vya kwaida, public toilet, garage, karibu na soko na barabara kuu ya Bagamoyo. Bunju Mzee...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Sanaa nzuri kabisaa toka kwa Kijana mzalendo kabisa wa kitanzania Mwamba Tanzania, shujaa wa Afrika na Rais wa karne Endelea kupumzika kwa amani President John Pombe Magufuli 🕊🙏
11 Reactions
19 Replies
2K Views
Habari wadau wa kilimo kwa hapa nchini ni maeneo gani naweza kupata maeneo yanayouzwa kwa bei ndogo namaanisha heka kwa laki moja
1 Reactions
64 Replies
15K Views
Nahitaji kujua bei hii perfume maana inasifika sana na baadhi ya watumiaji. Nawasilisha #fightingTemptation
2 Reactions
14 Replies
4K Views
Tunakupa kilicho bora kwaajili ya biashara yako. Tangaza biashara yako kwa kupata LOGO mpya, nzuri na yenye muonekano mzuri. Tunaprint/kudarizi kwenye Kofia/T-shirts/Shirts n.k kwaajili ya...
0 Reactions
0 Replies
538 Views
Indriver ni app bora kuwahi kutokea katika teknolojia ya usafiri nchini Tanzania kwa sababu zifuatazo:- 1). Abiria anapendekeza bei ya safari kulingana na uwezo wa mfuko wake na Inatoa mwanya wa...
10 Reactions
9 Replies
2K Views
Jamani Wana JF naombeni msaada kwa wanaoagiza nguo nje ya nchi au connection nahitaji kuagiza nguo za kike. Nianze biashara.
2 Reactions
4 Replies
985 Views
Back
Top Bottom