Hi Wapendwa nauza simu aina ya Tecno Phantom 8
Specification zake RAM-6GB Internal memory 64GB
MaH-3500
Iko kwenye good condition sijawahi ipeleka kwa fundi na haina tatizo lolote lile imetumiwa...
Marlone alimtazama tena King na kutabasamu. “Yaani mara moja hii umesahau kuwa hangaika yetu yote hii ni kufanikisha dhamira yako ya kwenda Ikulu?” Alimwuliza baadaye, kwa sauti ndogo.
"Ikulu!"...
Nauza camera ikiwa katika halu safi kabisa
60x optical zoom
up to 45hrs
60GB HDD
SONNY
NB:MIMI SIZIFAHAMU CAMERA ISIPOKUWA JAMAA TU NAJARIBU KUMTANGAZIA BIASHARA YAKE, UKIITAJI KUFAHAMU...
Habari wakuu,
Maonesho ya Saba saba tuyafanyie humu jukwaani, weka bidhaa yako pamoja na bei watu tuione. Kwa kufanya hivyo utajiongezea wigo wa biashara kwa kupata wateja wengi zaidi.
Weka...
Salaam..
Naombeni msaada wa kupata ngamia wa kununua hapa Tanzania. Nahitaji wadogo kwa lengo la kufuga. Mwenye nao au anejua pakupqta naombeni msaada. Tuchekiane kwa namba 0686 666666.
Asante sana
INAUZWA
Boss anataka mtaji wa matikiti maji
ipo Kinondoni Mkwajuni
hananasif
maji yapo
umeme
panafikika
Bei 95milioni ( milioni tisini na tano tu)
mazungumzo yapo
DM ipo wazi
0713895176
0737026581
𝒌𝒊𝒘𝒂𝒏𝒋𝒂 kinauzwa
𝓹𝓻𝓲𝓬𝓮: million 5.
𝑳𝑶𝑪𝑨𝑻𝑰𝑶𝑵: kimara mwisho kwa komba.
𝒔𝒊𝒛𝒆: mita 20 kwa 12.
Mauziano ya Serikali ya Mtaa
𝒎𝒂𝒘𝒂𝒔𝒊𝒍𝒊𝒂𝒏𝒐: 0683011003
ɢᴀʀɪ ɪɴᴀғɪᴋᴀ ᴍᴘᴀᴋᴀ ᴋɪᴡᴀɴᴊᴀɴɪ
Habari ya mda huu, napenda kujitambulisha kwenu kuwa mimi ni dalali wa kupangisha nyumba vyumba apartments, hostels, godowns ,yards, business frames, villas, duplex, penthigh. Kuuza nyumba...
Tunauza vibubu vya kisasa kabisa.
BEI TSHS 37,000
Piga 0683011003 kwa mahitaji
Tupo Dar Magomeni Kagera
Vina password maalum za kufungulia/kufunga
Vinatumia battery 3 za size ya kati
Vipo...
Habari wakuu,nauza stand ya kuanikia nguo ya plastic kama inavyoonekana hapa chini [emoji116].
Stand ipo katika hali nzuri imetumika mwezi mmoja tu.
Mahali - Dar es salaam-Ilala-kitunda
Bei -...
Nauza Viatu vizuri vya kiume vyenye quality nzuri, Napatikana Temkeke Vetenary Dar es salaam
Nafanya Delivery Bure kwa Dar es Salaam (naleta kiatu sehem yoyote bure free Delivery malipo ukipokea...
Habari ya leo wapendwa,leo nimekuja na somo la usafi kwa wale wanao penda usafi.
Vifaa.
1.Dawa ya kung'arisha masink na Tiles
2.Gloves
3.Mask
4.Viatu vya kufinika miguu.
5.Brash ngumu kubwa...
Habari wana JF!
Mashine hii inauzwa na bado haijapata mteja bei yake ni Milioni 5 tu. Unapewa kila kitu ikiwemo; mzani wa kupima hadi kg 300, motor n.k. Haina tatizo lolote ni vile tu tajiri...
Nahitaji gari la kunyonya maji taka karo limejaa. Natumia choo cha ku-flush, kuna karo la chemba mbili (la square) na lile la maji taka la round.
Mwenye hiyo huduma ani-PM tuongee.
Sehemu ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.