Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Ulikuwa ni wakati mzuri kupata nafasi ya kutembelea Hifadhi ya Taifa Ruaha (Hifadhi ya Pili kwa ukubwa Tanzania)inayopatikana ndani ya mji wa Iringa na wanafunzi wa chuo kikuu cha Uhasibu...
3 Reactions
4 Replies
221 Views
Wadau nitaupata wapi mzani mkubwa used wa kupimia nafaka let say kg 200 kwa pamoja
0 Reactions
0 Replies
156 Views
Karibu kwenye safari ya kusimumua ya kutembelea fukwe za, The Horizon ndani ya mji wa Bagamoyo ikiambatana na kusherehekea sikukuu ya Christmas, ikitukutanisha wadau kutoka kona mbalimbali...
0 Reactions
0 Replies
162 Views
Kwa mahitaji ya huduma ya utaalamu wa mashine za kutotoresha vifaranga za aina zote *Kuunda *Kuboresha *Kurekebisha *Ushauri Piga 0785165877
0 Reactions
14 Replies
964 Views
Simu ndogo aina ya i 17 Pro 45,000 TZS. Sifa za simu: 1. Inatumia laini mbili 2. Ina trey ya kuwekea laini 3. Betri yake ipo ndani kwa ndani 4. Ina pin ya kutolea laini 5. Inakaa na chaji muda...
0 Reactions
0 Replies
159 Views
Naagiza simu original China kama unataka kuagiza karibu (0687746471) Kama kuna yeyote anatamani kuagiza simu kutoka China. Simu original karibu uagize namimi. Namba zangu za simu ni 0687746471...
21 Reactions
295 Replies
14K Views
MAHITAJI YA BIDHAA ZA UBORA MADUKANI! Ndugu Mfanyabiashara, Tunapenda kukuletea bidhaa bora kabisa kwa ajili ya duka lako. Tunazalisha na kusambaza bidhaa zifuatazo: Mafuta ya Nywele ya Asili...
0 Reactions
1 Replies
304 Views
Jiko ni jipya nimelitumia mizi2 tu.. na mtungi una gesi kidogo ya kuanzia. Ni dharura (nasafri mkoani kwa dharura) naomba elf70 tu! Kama upo serious hata ukipungukiwa kidogo ilimradi initoshe...
0 Reactions
4 Replies
419 Views
Habarini wana jukwaa. Kama kichwa cha habari kinavyoeleza. Nimejichanga changa, mungu kasaidia nimepata kitu kidogo, nimeamua ninunue usafiri kurahisisha shughuli zangu. Natamani nipate gari...
2 Reactions
19 Replies
1K Views
Nashida na haka kasimu nipo dar mwenye nacho au anaeuza tukutane budget yangu ndogo dondosha offer PM au hapa nitakufata PM
1 Reactions
6 Replies
228 Views
Mitsubish Outlander INAUZWA, Location Mbeya mjini Year: 2011, CcC 1990 Color: Dark Blue,7 seats,Good condition Full Documents .Bei Tsh 16.8M (maongezi yapo) Mawasiliano📞0747518207
3 Reactions
17 Replies
1K Views
Mashine ya kukata viazi vya chips Ina meno saizi nne tofauti. Nakupa na meza yake. Bei 270000Tshs Nipigie 0625697394
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Tunauza na kusambaza kisimbuzi Cha Azamtv, DSTV, Startimes na Zuku. Na accessories mbalimbali: #Remote control, #Antenna Cable #HDMI ( mita moja Hadi 20) #LNB #TVstand, n.k Pia tunatoa huduma ya...
0 Reactions
0 Replies
242 Views
Wakuu wa JF! Nani amewahi kutumia hiki kinywaji aina ya KOMBUCHA atupe uzoefu wake
9 Reactions
39 Replies
6K Views
Unaweza kutana na picha nzuri ya nyumba na ukapenda nyumba utakayojenga ifananie hivyo hivyo. Kwa gharama ya Tsh 50,000 nakuchorea ramani na makadirio ambavyo vitaendana na muundo wa hio picha ya...
2 Reactions
34 Replies
3K Views
Nauza Tv ya Hisense Smart Tv inch 40 kwa 500,000. Nakupa na Box lake kabisa. HAINA TATIZO LOLOTE. Napatikana Dar es Salaam.
1 Reactions
5 Replies
552 Views
Wakuu habari Natafuta power tiller la kukodi, Nina eneo langu dogo tu la kulima bustani , kama Kuna mtu ana power tiller naomba anikodishie Eneo la kazi ni Kimara, dar es salaam 0616274277
2 Reactions
0 Replies
133 Views
HP laptop 430 g6 storage 512 GB Ram 8 GB processor Intel(R) Celeron(R) 3205U @ 1.50GHz 1.50 GHz bei 290,000, namba yangu 0685068828
1 Reactions
0 Replies
136 Views
Habari wana JF? natafuta mtu anaejua kihadzabe au aliokaribu na jamii ya kihadzabe nina kazi ya kutafsiri kutoka kihadzabe kuja kiswahili. naomba tuwasiliane 0759702766
1 Reactions
2 Replies
194 Views
Wakuu, ni duka gani maarufu linalouza simu za nokia (smartphones) zilizo OG?
0 Reactions
1 Replies
225 Views
Back
Top Bottom