Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

ISHAUZWA TAYARI!
0 Reactions
5 Replies
313 Views
Nyumba inauzwa eneo karibu na shule ya msingi mbezi luis Njia ya kwenda Goba Eneo lina SQM 400 (20×20) Nyumba ina umeme na maji Nyumba ina vyumba vinne. Finishing haijakamilika vizuri. Dakika 10...
1 Reactions
32 Replies
952 Views
Mwani(Seamoss) ni miongoni mwa mimea inayopatikana baharini, ikichukua sehemu ya ikolojia ya bahari kwa kulea na kulisha viumbe wengine baharini. Hivi karibuni kilimo cha mwani kimeongezeka sana...
0 Reactions
3 Replies
800 Views
Habari za mchana huu, napenda kuwatangazia kuwa Kwa yeyote anaye hitaji simu ya satellite anuchek ninayo
2 Reactions
9 Replies
414 Views
Je? Unamiliki biashara ya aina yoyote na ulikuwa unahitaji kufikia wateja wengi,kujitangaza pia kuuza bidhaa zako kupitia njia ya kidigitali. Wasiliana nasi Leo tutakutengenezea website kwa...
0 Reactions
1 Replies
268 Views
" Ni fursa adimu kuwa mmiliki wa kiwanja cha bei poa huko Mikocheni A. Kiwanja hiki kina ukubwa wa 1500sqm na kina hati miliki, kwa hiyo unaweza kuwa na uhakika wa umiliki wako. Kiwanja hiki ni...
0 Reactions
10 Replies
484 Views
Hii ni endelevu au mnawaonjesha wasukuma uhondo waliokuwa wameuzoea wakati wa fast jet?. ========= Kutoka kwa mdau humu jukwaani. Rodney01 "Kutoka kwa chanzo cha ndani..ni kwamba ilikuwa ni...
26 Reactions
219 Replies
19K Views
• Direction: Magomeni Makanya • Facilities: Old house and 6 frames • Plot Area: 350 sqm • Document: Title deed • Price: TZS 250 million • Site Visiting: TZS 30,000 . ✓ ni kiwanja cha kona ✓ kipo...
0 Reactions
1 Replies
198 Views
Wakuu kwema? Mzee wa machimbo leo chimbo mimi mwenyewe. Naweka mfululizo wa pochi kali ninazoleta kutoka china mimi mwenyewe Ofisi yangu iko kawe ukwamani. Frem mpya za Lugalo Mikoani utatumiwa...
11 Reactions
39 Replies
1K Views
......
1 Reactions
11 Replies
6K Views
Habari, nauza mbao za mti wa Eucalyptus, kwa majina ya kiswahili unajulikana kama Mlingoti, Mkaratusi, Mti Mbao, Mbao nyekundu. Mbao zina ubora, size zimejaa na bei ni rafiki (ya shambani). Mbao...
3 Reactions
11 Replies
571 Views
Shamba linauzwa hakuna udalali lipo DODOMA kata ya chihanga Lina ukubwa wa heka 4 linafaa kwa kilimo cha umwagiliaji na ufugaji. Wasiliana nami 0658090695 bei kwa kila heka ni million 3
2 Reactions
9 Replies
640 Views
Leo katika sikukuu hii ya wafanyakazi duniani, nimeona itakuwa ni vyema kujuzana juu ya wataalam muhimu katika katika tasnia ya ujenzi. Hapa nalenga zaidi ujenzji wa Majengo madogo,yaani Nyumba...
1 Reactions
6 Replies
919 Views
Yesss! Kama ada yangu wazee sina nongwa ila cha ajabu Lamomy ana nongwa na mm! Sio kes... Kuna sahan nzito kali tu za mifupa kwa wafanyabiashara. Duka la mchina liko kariakok aggrey na...
12 Reactions
60 Replies
2K Views
Habari za asb wadau. Nyama nzuri iliyopimwa na mtaalam ~Steak kilo & Mixed Beef ~Nyama yenye mifupa - Kilo 80 inapatikana. Una shughyli, shule, Hoteli tupigie 0787904860 tupo Morogoro mjini Steak...
0 Reactions
6 Replies
362 Views
• Direction: Basihaya, the road to Ununio, 400 meters off Bagamoyo Road • Facilities: wall fence, servant quarter • Plot Area: 2,200 sqm • Document: Title deed • Forced Value: TSH 300 million •...
0 Reactions
0 Replies
158 Views
Karibuni kununua iPhone 16 Promax highcopy. Wahi, tuwahi. BCC:Nenga
7 Reactions
36 Replies
2K Views
Duka la dawa Muhimu DLDM LINAUZWA mwenye nalo, anaondoka Tabora bei ya kutupa million 3 tu pamoja na dawa Bei haipungui Duka Lina kabati 2 nyuma Kila moja futi 8 kimo 4 upana Kabati 1 mbele futi...
0 Reactions
0 Replies
267 Views
Hello. Tunauza Peramiho beef Sausages. Nusu kilo packet 18,000 Kilo moja packet 35,000 Kilo moja na robo 40,000 Delivery ipo bei poa Call/whatsapp 0654465446
0 Reactions
5 Replies
338 Views
Habari wakuu, nina kiwanja changu maeneo ya tegeta kituo cha polisi, kina ukubwa wa 19 kwa 21. Hakijakaa square, kipo flat na hakijai maji. Kipo karibu na shule ya msingi na kituo cha polisi...
2 Reactions
6 Replies
324 Views
Back
Top Bottom