Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Wakuu, Nina Samsung Galaxy s24 Ultra, nimenunua jana baada ya kukosa Google pixel 9. Hili simu ni pana sana, nashindwa kuishika vizuri. Ili niitumie nashika kwa mikono miwili. Sipo comfortable...
3 Reactions
30 Replies
2K Views
Habari.Nauza mirunda, mbao, na marine boards zilizotumika. Marine boards ziko size 18mm, Mbao zipo size 2x2, 4x2, 1x9, na 1x 10. Bei maelewano. Vifaa vimetumika mara moja tu, nategemea kuezua...
7 Reactions
9 Replies
465 Views
Watu wengi wamekuwa wakinunua laptop bila kujua wanaenda kutumia kwenye matumizi gani au mwingine ananunua laptop yenye uwezo mkubwa sana kuliko matumizi yake. Sio mbaya kufanya hivyo bali...
3 Reactions
80 Replies
4K Views
EMAUS LOGISTICS (T) LTD We do all Dar es salaam port and airport clearance of goods and vehicles on time, without additional costs. In need of our service please call us or whatsap on...
2 Reactions
2 Replies
164 Views
Habari wakuu. Microwave inauzwa. Bei 120,000/- Inapatikana Dar Es Salaam Karibuni
0 Reactions
6 Replies
286 Views
Kwa Wanachuo waliochaguliwa na wanaosoma TIA,Diplomasia,IFM na Mwalimu Nyerere vyumba vyakupangisha na hostels zinapatikana 📍 Kwa Aziz Alli -Single Rooms Kwanzia 50,000 - 80,000 -Master Room...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari Tunaandaa documents mbalimbali kwa ajili ya wajasiriamali. Wajasiriamali wengi nchini wamekuwa wakitafuta huduma hizi kwa gharama nafuu ila wamekuwa wakifanyiwa kwa bei kubwa kutoka kwa...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Habari viongozi naiman mpo poa nipo hapa kutangaza biashara yangu mimi noifundi bomba wa majumbani na building materials pia ambae nimebobea pia tuna duka la hardware lipo kariakoo kwa huduma...
1 Reactions
2 Replies
317 Views
Habari wakuu Kwa wanaopenda viti vizuri basi viti hivi vitakufaa Sana kwa ajili ya bustani yako au baraza yako. Bei ya kuuzia ni Shilingi 120,000/- Vipo Dar Es Salaam ila popote unaweza...
0 Reactions
5 Replies
274 Views
Technology imekuwa, watu wanaprint cake kwenye 3D printers, mi natafuta software ya kuprint pilau.., Mwenye nayo anijuze..
1 Reactions
12 Replies
2K Views
  • Closed
Hallow JF habari zenu Natumaini mko sawa Kama kichwa cha Uzi kinavyosema Viatu Vinauzwa, ni vizuri havina mushkeri yoyote bado ni vipya havijatumika sana, bei ni Tsh 15000 tu ila maelekezo ya...
5 Reactions
23 Replies
839 Views
"Copy and paste from Facebook" Ni kama wiki na ushee nilimpa connection hii dada fln anauza mitumba hapa kitaa na amefanikiwa kupata mzigo wake aliagiza chupi 100 zikaja kama alivyo agiza. Siishi...
7 Reactions
55 Replies
2K Views
Habari wakuu. Kwa wale wahitaji WA mashine za kunolea na kukatia vyuma. Nauza benchi grinder hii kwa bei ya Shilingi 120,000/- Ipo Dar Es Salaam ila popote inaweza kukufikia. Karibuni
0 Reactions
1 Replies
228 Views
Habari wakuu. Pasi ni nzuri Sana unaweza kutumia mvuke. kwa wale wanaopenda vitu vizuri vya nyumbani. Bei ni 150,000/- Zipo Dar Es Salaam ila popote unaweza kutumiwa zikakufikia. Karibuni
0 Reactions
3 Replies
263 Views
Niko hapa kukusaidia kutengeneza programu bora kwa matumizi yako binafsi au ya kibiashara. Ninabuni websites na applications za kisasa kwa gharama nafuu na bei maelewano. Muda ni ndani ya siku 2...
1 Reactions
1 Replies
220 Views
Mwenye hela ya chap njoo uwekeze Kinapitika barabara > kina hati halali hakuna mgogoro ni mali tu ya mtu hakuna udalali unanunua unapewa hiyo hati majina utabalisha ww kwa mamlaka husika...
1 Reactions
5 Replies
281 Views
Kiwanja kilichopimwa kinauzwa Mjini Nzega,bei 5m.Kipo Mita 150 toka Rami,Mita 600 toka Stand Kuu ya Mabasi,Ujazo SQM 876,kuna Maji na Umeme.Matumizi ni biashara hususani Lodge/Hotel,Godown...
0 Reactions
5 Replies
279 Views
Habarini wakuu, Naomba kujuzwa sehemu wanapouza vitambaa vya sofa kwa bei ya jumla,
1 Reactions
9 Replies
413 Views
Salaam Wadau.Kama Una Mashine ya kusaga Karanga kuwa rojorojo upo Dar, njoo tuzungumze biashara. Tunaweza kukupa mzigo kisha tukapatana utupe finished product au kila kitu kwako Sisi tunachukua...
1 Reactions
1 Replies
155 Views
Back
Top Bottom