Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Iwe na vyumba vitatu vya kulala, jiko, sebule, dinning room, choo, bafu, umeme wa kujitegemea, maji na usalama pia. Sihitaji dalali, na ninahitaji mkataba wa miezi mitatu (3) kwanza. Nyumba...
0 Reactions
0 Replies
714 Views
Habari wakuu poleni na majukumu ya kulijenga taifa na familia zenu kwa pamoja iitikieni salamu😁 Nahitaji laptop(acer,hp,lenovo na asus) used na iwe kwenye condition nzuri iwe na sifa zifuatazo 1...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari wadau.. Nauza turubai 4 zenye za kisasa kwa bei poa. Turubai 1 Size: Futi 20 kwa 20 Rangi ya Turubai: Nyeupe (Kenya) Size ya bomba: Inchi 2 Bei: 800,000 Turubai 3 Size: Futi 16 kwa 20...
0 Reactions
6 Replies
10K Views
Natafuta simu za Lenovo au Xiaomi tafadhali muuzaji kama upo hapa naomba ujitokeze unipe bei zake. Asanteni.
1 Reactions
6 Replies
4K Views
Habari wana JF Ninayo mashine ya kuchomelea vyuma (Welding mashine) naiuza 150,000/=. Nipo Mtoni kwa Azizi Ali, na mashime ipo Mbezi ya Tegeta Dar es salaam. Nipigie 0719 785 546 Sent from...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Kwa yeyeto mwenye mapenzi na xtrail na yuko tayar kufanya xchange deal, nakaribisha ofa
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wadau naombeni msaada wa mawazo, ipi ni garage nzuri ya kurepair car a.c,, maana nateseka na joto hili baada ya a.c ya gari kuzingua.. thanks for your cooperations
0 Reactions
21 Replies
6K Views
Madereva wa Tanzania, Wahimizwa Kutumia Vilainishi Vyenye Ubora, ili Magari yao Yadumu Zaidi na Zaidi Kampuni ya mafuta ya Total, ambayo ndio kampuni inayoongoza kwenye uuzaji na usambazaji wa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
-Ina vyumba vinne kimoja master -Sebule -Dinning hall -Jiko -Stoo -Choo cha jumuia -Kiwanja kina ukubwa wa sqm 700 mengineyo -ina fremu 4 za kupangisha zinazotumika -ina nyumba ya pembeni ya...
6 Reactions
48 Replies
5K Views
Mambo vipi wadau, nauza xbox360 , price 250,000 tu
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Karibu ujipatie caperts za manyoa kwa bei nafuu kabsa Ukubwa ni mita 1.5 kwa mita 2 Utapata kwa elf 55,000 tu Watsp/ calls 0719884746
1 Reactions
2 Replies
714 Views
Nauza Xbox 360 iko na Kinetic na Pad Moja Na Game Moja, Pia Kuna Ps3 iko complete Pad 1 na game moja..Kwa Anayehitaji ni PM..
0 Reactions
4 Replies
1K Views
habari wanajamvi. .nauza XBOX 360 yangu kwa bei ya kirafiki kabisa pia nitakupatia cd moja bure ya mission ya blades of time... nitwangie kupitia namba yangu ya voda 0754909834
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Nauza xbox 360 Ina 61 games Hard disk 500gb Two controller Price 350k Whatsapp 0654179727 Location DSM
0 Reactions
1 Replies
556 Views
Kuna Xbox 360 zimechipiwa,zina games zaidi ya tano ndani,zina pad Moja moja,cables na adaptors, machine hazina tatizo lolote na naziuza kwa bei ya kutupa 260k kila moja,no 0658327429,nipo DSM...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Form four mwenye Pass mbili na kuendelea( D2) Unaweza kusoma kozi ya Business operation assistant (BOA) Ambayo ipo chini ya VETA na ukafika mpaka chuoo kikuu au Kupata ajira mara baada ya...
0 Reactions
3 Replies
467 Views
Karibuni wale wa Mwanza jumatatu kuanzia saa tano asubuhi nakata Belo la bwanga za design Kama hii kwa 6000 rejareja na 5000 ukichukua kuanzia 10. Tupo kiloleli Mwanza ulipokua mnada zamani...
2 Reactions
3 Replies
803 Views
Natafuta mtu anayeweza kuniuzia kioo cha Samsung S8+ nna 230k
1 Reactions
13 Replies
9K Views
Nauza lg tv inch 32 Ni full hd Imetumika miezi 4 tu Iko full na box lake Nipo nayo Ilala Bungoni Naiuza kwa laki 3 fixed 0623953036 whatsapp/calls
0 Reactions
60 Replies
4K Views
Unaweza jipatia kuku wa kienyeji na mayai toka Dodoma popote ulipo ndan ya Dar es Salaam, kwa Bei ya trei moja 15k, Ila jumla 13k na kuku wa kienyeji 20k jumla Ila 23k rejareja. NB: NAPOSEMA...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Back
Top Bottom