Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Kubwa ni west Point. Bei 400k La kati ni LG Bei ni 350k Dogo ni 150k Location Ubungo stendi ya mkoa Karibuni 0743123946
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habarini wana jamvi, inahitajika kontena ya futi 20. Milioni 2 ipo kwenye mfuko wa shati sasa hivi hapa. Nicheki 0743123946.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa uhitajia wa kununua au kukodisha mitambo ya ujenzi kama excavators. Bulldozers. Wheelloder. Graders .roller etc usikute kwasiliana nasi 0710707245
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Karibu ujipatie magodoro kampuni la GSM na offa ya usafiri bure ndani ya Dar tupigie 0763542515 tukuletee bure hadi kwako Tupo kawe Inchi 8 5*6 unalipata kwa 170000 tu Inchi 6 5*6 unalipata kwa...
0 Reactions
8 Replies
998 Views
Ram 4gb HDD 500gb Core i5 Iwe slim Laptop Iwe inahifadhi moto zaidi ya masaa mawili Nalipa 400k
0 Reactions
4 Replies
617 Views
Habari Wakuu, Naomba mnijuze bei ya Pikipiki aina ya Boxer mpya na ni wapi naweza kupata wanapouza.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kama kichwa cha habari kinavyosema kama unatanki limekaa alifanyi kazi naitaji matanki kwanzia 2000lita mpaka 10000lita ni kwajili yakuifadhi maji. Na vizuri uwe Morogoro mjini kuhusu gharama na...
0 Reactions
0 Replies
391 Views
Nauza Iphone x ulotumika ila kama mpya haina michubuko wala mpasuko wowote haina kipengele wala matawi Fingerprint [emoji818] Betry health 100[emoji818] Storage 256 Software version 14.5 Bei•...
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Kuroiler ni kuku Chotara ambae hupatikana kwa kupandishia kuku wa jamii mbili tafauti ili kupata matokeo mazuri zaidi ukilinganisha na kuku wa kawaida. Matokeo hayo ni pamoja na kutaga mayai...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Hawa watu wapo serious sana Wameamua kushusha zaidi vifurushi vyao kutoka 10000 kwa mwezi hadi 8000 kwa mwezi channel zaidi ya 55 Pure kutoka 18000 hadi 13000 kwa mwezi Channel zaidi ya 60 Plus...
14 Reactions
106 Replies
15K Views
Habari zenu! Nauza laptop yenye sifa hizi: 1. Aina: hp elitebook 2. Processor: intel (R) Core (TM) i5-3337 CPU@1.8GHz 3. RAM: 6.00GB, HDD 500GB, Folio 9470m 4. System type: 64-bit 5. Rangi...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari wana jamii, natafuta vimini(sofa za mkeka) zinapatikana wapi. na bei zao ni zipi?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
KUTOKANA NA ONGEZEKO LA MATUKIO YA MOTO MAENEO MBAKIMBALI YAKIWEMO MAOFISINI, MAJUMBANI, MASOKONI,MASHULENI NA KWINGINEKO KUTEKETEA KWA MOTO NA KUTOA HASARA KUBWA. Ashe Creation Company Limited...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habar zenu Natafuta chumba cha kupanga maeneo ya chuo cha TIA Dar kurasini - uhamiaji mpka sabasaba kisiwe mbali sana na barabara kuu pia kiwe na mazingira mazur maji,tires ikiwezekana hata self...
0 Reactions
33 Replies
6K Views
Msaada jamani, simu yangu samsung A70 imevunjika kioo cha camera naweza pata wapi hicho kioo??? Naomba msaada wenu wadau kama ni dukani au ni used sawa tu
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Wadau habari zenu, bila shaka mko safi. kama hampo shwari, basi pokeni salamu zanhu za pole. Ningependa mnihabarishe juu gharama za kutangaza biashara kwenye radio na magazeti na utaratibu mzima...
0 Reactions
11 Replies
9K Views
Habari WajaJF Husika na kichwa cha habari pale juu Sifa ya chumba _______________ 1. Kiwe katika hali nzuri tu ya kuweza kuishi MTU 2.Kiwe na umeme 3.Kiwe na Maji 4. Kiwe nawapangaji...
0 Reactions
0 Replies
888 Views
Habari....?.. Karibuni mjipatie mashuka yenye ubora kutoka Mohamed Interprises kwa gharama nafuu... material ni pamba SIZE 4/6 bundle 6 set 30. price 240,000/= SIZE 5/6 bundle...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Back
Top Bottom