Tunamashine mpya za kukamulia juice ya miwa
➡ Zinatumia betri hvyo unaweza fanya biashara hata mahali ambapo hakuna umeme,
➡ Bei ni 2.3 ml
📞±255657291795 WhatsApp kwa maelezo zaidi
.
TCL android TV inch 32 kwa laki 3 na 70 tu
(370,000)
Netflix,Bluetooth,google play store ,WiFi
Storage 4GB,
Location: Boko Bunju daresalaam
Simu : 0625875487
Habari wana jamii. Ninahitaji eneo kwa ajili ya biashara ya vitafunwa. Eneo linalohitajika liwe na mzunguko mkubwa wa watu (high foot traffic) na ni vema kama watu wanakesha usiku kucha.
Kwa sasa...
Habari wanajamvi. Nahitaji kukodi Friza, Juisi dispensa na jiko la kuchomea nyama kwa siku moja tu ya tarehe 12/12/2020. Nipo Dar na nitavihitaji kwa ajili ya shughuli Dar.
Tafadhali mwenye navyo...
Nyumbani Business Plan LTD
Tunaendelea kukukaribisha uweze jipatia huduma bora na zauhakika kwaajili ya kutimiza malengo yako na kutimiza malengo ya biashara yako.
Biashara yako ni rafiki yetu...
Kitabu hiki kinapatikana Mkoa wa MARA, DAR ES SALAAM, MOROGORO NA MWANZA. Kwa watu waliopo maeneo hayo au jirani na maeneo hayo wasiliana na mawakala wetu.
KUPITIA KITABU HIKI CHA UMUHIMU WA...
Hizi Ni full Ngozi kuanzia inner soli mpk mikanda,
Sio zile wanaweka plastic(swappa) kwenye soli.
Hazibabuki kirahisi, sio kwa jua wala maji..
TUSIANDIKIE MATE, ANGALIA MFANO.
Hizi nimevaa...
Habari wana jukwaa hili samahani kwa mwenye wazo lolote la biashara lolote nalinunua tutaingia makubaliano ya kimkakati kwa muda wa miezi kadhaa atalisimamia likileta ufanisi namlipa pesa zake au...
Nahitaji kujua wapi nitapata huduma ya ku convert pound sterling notes kwenda kwa hela ya kibongo. Nimejaribu bureau de change za mkoani wakaniambia hawapokeagi wanaishia dollars tu.
Hapa bongo...
Tunauza viwanja vya makazi vyenye miundombinu yote muhimu ya kijamii umeme maji barabara viwanja vina ukubwa wa feet 40×50 viwanja vipo Kisemvule mbele kidogo baada ya mbagala rangi 3. Vipo vya...
Habari wanajamiiforum... mimi naitwa Alpha ninapenda kuwasogezea baadhi ya huduma zangu kwenu leo. ni matumaini yangu wengi watakao soma post hii ni aidha wafanya biashara au wafanya biashara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.