Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Disel generator kipor 13kw 6m free delivery in dar gerenator iko kawe +255 744 783 947
1 Reactions
4 Replies
764 Views
Bei: Tsh 350,000/= Location: Kongowe, Mbagala Simu: 0785753780/0764124429
3 Reactions
13 Replies
2K Views
Bei: 450,000/= (bargain) Simu: 0785753780 Location: Kongowe, Mbagala (DSM)
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Mitsubishi Fuso Bus inauzwa shiling Milion 52. Specification: -Mitsubishi Fuso Bus - Engine type : D17 - Millage : 110,000KM - Capacity: 47 Seat -Interior Condition : Grade A -Exterior Condition...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Salamu wadau. Natafta nyumba ya kupanga single room au mini self. Iwe karibu na mjini (karaikoo). Iwe na tiles yenye usalama na choo cha kujitegemea. Budget yangu isizidi 50k kwa mwezi bila...
0 Reactions
0 Replies
510 Views
Teknolojia mpya USIHANGAIKE KUCHIMBA MASHIMO KWA AJILI YA CHOO Kwa watu ambao wamejenga maeneo ambayo ya maji mengi (high water table level-HWTL) kila ukichimba mashimo kwa ajili ya majitaka...
0 Reactions
115 Replies
13K Views
Kama kichwa kinavyojieleza apo juu. Natafuta mtu wa kushirikiana naye katika biashara ya samaki wabichi hasa Perege na Kambale. Yeye kazi yake itakua kunitumia mimi huku Dar kisha mimi kazi yangu...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Nauza gari aina ya Subaru Forester, mwaka 2004. Namba ni T 586 DEB. Gari ipo kwenye hali nzuri sana. Tairi zake pia bado mpya. Na haina tatizo lolote na haijawahi pata tatizo lolote. Bei ni...
4 Reactions
12 Replies
3K Views
Brand infinix Model note 7 lite Ram 4GB Rom 64GB Network 2G 3G 4G Camera Nyuma mp 48 Mbele mp 8 Battery mah 5000 Unlock Fingerprint face id Bei 245000 0657230449 call msg whatsup Dar
0 Reactions
1 Replies
829 Views
Nzima kabisa nauza laki 2 Dar es salaam 0768048752
0 Reactions
0 Replies
829 Views
Wadau wa biashara ya samaki naombeni msaada wenu. Ninataka kuanzisha bucha la samaki lakini kuna mambo kadhaa sijapata taarifa zake kamili hivyo naombeni msaada wenu. 1. Ninaweza kuwapata wapi...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
NYUMBA INAUZWA Mahali: Tabata kinyerezi Ukubwa wa kiwanja: 770 sq. M Namba ya vyumba: 3masterbedrooms, sebule, jiko, Choo cha jumuiya na stoo. Huduma: umeme na maji yapo. Bei: 90...
0 Reactions
9 Replies
763 Views
____________________________ Ni watengenezaji we vifaa vya Alminium kama vile [emoji2389]Madisha [emoji2390]Milango [emoji2391]Makabani [emoji2392]Office partition [emoji2393]Balcony...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari ndugu, Nataka kufunga car alarm system kwenye gari langu lakini sina utaalamu wa kujua ni kampuni gani napata car alarm nzuri na imara.Nataka car alarm system angalau isivuke tsh 200,000/...
2 Reactions
6 Replies
3K Views
Matunda yaliyokatwakatwa kama haya na kuwekwa kwenye kontena Dsm wanauza Bei gani Wapi wanapouza hapa Dsm matunda (Saladi) kama hizi
0 Reactions
3 Replies
3K Views
NYUMBA INAPANGISHWA Nyumba Ina sebule, jiko, kabati, Choo na chumba kimoja. Mahali: Tegeta kituo cha Namanga karibu na Rabininsia Memorial Hospital. Huduma: Maji, luku binafsi, heater, DSTV na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
HUDUMA INAENDELEA KUTOLEWA HAUJACHELEWA 🔥🔥🔥🔥HOME TUITION PROGRAMME (HTP) IN DAR ES SALAAM 0784214792/0620875813 #Likizo Time Muda ndo huo Mwalimu wa Geography and Biology kwa wanafunzi wa 🌏FORM...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
WanaJF naomba msaada unaponunua gari kwa mtu kitu cha kwanza kufanya kabla yakuendesha ni kubadili kadi ya gari au ni kwenda police kuandikishana? Pia nasikia kuna mkataba wa kuiziana huo mkataba...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wapendwa Wana jamvi, Nimeamka na dharura ya kumsafrisha mgonjwa na Mambo yangu siyo mazuri. Nalazimika kuuza laptop yangu( Kama unaweza nisaidia kupata mtu wa haraka wa kuniokoa) Walau kufikia...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu vipi, (Naomba mnisaidie anaejua 'Cheese') Jibini zinapozwa nataka mzigo mkubwa. Ahsanteni
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Back
Top Bottom