Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Tuanzie hapa: Jaribu kutembelea website ya NECTA, halafu angalia matokeo ya wale waliofanya Mitihani ya kidato cha nne kama Private Candidates mfano Resitters ama QT Angalia matokeo ya vituo...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Na steshenari yangu ipo maeneo ya Mbezi Beach afrikana nafanya huduma ya mobile stationery nakufata mpaka sehem ulipo huduma nazo toa ni kama vile. Natoa mikataba yote ya mauziano mikataka ya...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Hivi Meza zile za plastiki huwa ni bei gani kwa mpya zile zinazotumika kwenye migahawa au kwenye Bar. NB:Nipo nje ya mji na zinahitajika, kwa wanaojua mnijibu tafadhali.
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Je, biashara yako inahangaika kupata wateja wa kutosha Online? ...Je, unafanya matangazo ya sponsored lakini hayakuletei wateja kama unavyotaka? Unaishia kupata likes tu Je,unatamani kweli...
5 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wana Zengo, Rafilki yangu anaitaji piki piki boxer ya kununua. Yupo Dar es salaam. Piki piki iwe namba B au C Nahitaji mbili 125 au 150 Ofa yangu ni 850000 kwa kila moja karibuni PM...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Kabati ni ndefu sana. -Ni ya kisasa zile zisizokuwa na mlango,unaweza kudisplay chochote kuanzia mikoba,nguo na vitu vyako vidogo vidogo. Ina droo kubwa mno ya kuhifadhia unachokipenda -Ni ndefu...
1 Reactions
3 Replies
902 Views
Ushauri, Utengenezaji wa mbwawa ya samaki, chakula cha samaki. >Kwa kupata huduma hizo tutafute kwa namba ya simu-0714420808/0789290156
4 Reactions
112 Replies
86K Views
Wanajamvi nina wazo la kufungua kiwanda cha maji ya kunywa (kama kilimanjaro,uhai,sayona). Mwenye ufahamu juu ya initial cost na mitambo ya kutengeneza na ku purify maji and the whole process juu...
0 Reactions
94 Replies
34K Views
Haina haja ya kuingia madukani kutafuta kifaa kimoja kimoja, kwa mtaji wako njoo uchukue saluni nzima ukaanze kazi..... Hapa kuna. 1. Kiti cha kunyolea na kusubiria 2. Kabati ndogo ya vifaa 3...
3 Reactions
28 Replies
5K Views
Wandugu karibuni, wale wapweke na wanataka kuunganishwa na wenza wao (watarajiwa) tuonane kesho tare. 3/12/2016 kwenye NYAMA CHOMA FESTIVAL, Banda letu utaliona ukiingia geti kuu, mkono wa KUSHOTO.
0 Reactions
2 Replies
706 Views
Wakuu habari zenu. Kama kichwa cha habari kinavyosema. Kuna nyumba inauzwa hapa Kinondoni. Hii ni nyumba ya ndugu yangu. Sababu ya kuiuza ni Kuna mambo yake anahitaji kuyaweka sawa ambayo ikienda...
5 Reactions
74 Replies
11K Views
Majina yote haya hutumika kuelezea dawa kiboko ya nguvu za kiume yenye ufanisi kwa asilimia mia. Ni dawa yenye asili ya mimea tu na haina madhara kwa mtumiaji. Itakufanya udumu kwenye tendo la...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Fridge hilo hapo kama linavyoonekana pichani...HALIJATUMIKA SANA...LINA GAS YA KUTOSHA. Lina Warranty ya Miaka 2. Lipo safi kabisa zima...ENERGY SAVER, LINA FRIZA NDANI LINAGANDISHA SANA...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Natafuta mtu humu mwenye Freezer ndogo aniuzie. Kuna kakijiwe kangu nataka kukamilisha. Dukani najua zipo ila natafuta ya bei rahisi. Mimi nipo Tunduma, karibu PM tulonge Z zaidi kwa aliye na...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau habari, Nimepata mtaji wa sh. M1.5 nafikiria niizungushe kwenye mazao makavu. Msaada kwa yeyote anaeweza kufanya biashara na mimi ili nimlangulie shambani nimletee sokoni. Mimi nipo Mahenge...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
1. Tuite tukupikie kwenye shughuli yako kubwa ndogo, tunakuja popote hata mikoani tupo Dar. 2. Unaweza kununua vyakula vyako tukaja kupika tu. 3. Pia tutaweza kukukadiria vitu vya kununua...
0 Reactions
3 Replies
432 Views
Habari za Jion WanaJF Naomba kuuliza mtu yoyote ambae anajua machimbo pale Kariakoo au sehemu nyingine Dar ambapo naweza pata laptop kwa bei nafuu new au refurbished. Msaada tutani wandungu
3 Reactions
13 Replies
4K Views
RAUM OLD MODEL BEI:MILIONI 3.8 ENGINE:5A,1490CC MWAKA-2000 FUEL-PETROL. GEAR-AUTO. FULL AC. FULL DOCUMENTS. LOCATION-CHANG'OMBE VETA-DAR NB:MIMI NDIYO MMILIKI WA GARI
0 Reactions
0 Replies
675 Views
Habarin wana jamii forum naomben kujua ni wapi naw3za pata huduma ya kutrack gar au bajaj yangu kwa kufunga mitambo ktk bajaj na kuweka app kwenye simu yangu ili niweze kutrack chombo hicho...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Inafanya kazi zote 3 print scan copy Matumizi mazuri ya wino print page 15000 Inatumia wino 4 vitenki vya nje na ni rahisi kujaza unapoisha. Printer imetumika muda mfupi miezi 3 haikufanyia...
2 Reactions
19 Replies
3K Views
Back
Top Bottom