Habari,
Naitwa Daud Benjamin mhitimu Chuo Kikuu IFM Dar es Salaam mnamo mwaka 2019. Nina degree ya Social Protection. Kwa sasa ninaishi Mbeya. Dar es salaam nilihama kutokana na gharama za maisha...
Wakuu
kama kuna anaejua bei ya kodi ya zile apartments za Pale nyuma ya jengo a umoja wa vijana wa CCM naomba atujuze. Kama kuna any other additional usefull informations about zile apartments...
Habari za leo wanajamiiforums?
Nauza kiwanja Safari City Arusha, Kiwanja kina square meters 396 kila square meters moja ni =35,000
35,000×396=13,860,000
Kiwanja kimepimwa kulingana na mipango...
Habari,
FURSA YA AJIRA KWA VIJANA NA WATUWAZIMA ELIMU KUANZIA - KIDATO CHA NNE NA KUENDELEA.
PLATINUM CREDIT - KANDA YA MOROGORO
Tunatangaza nafasi za AJIRA mpya idara ya MAUZO -KANDA YA...
UFUNDI:-
NAmini hivi Chuo vinaleta mchango mkubwa wakubadl muelekeo wa vijan wetu hasa katk kuji ajir na kipato
Nafasi za
Masomo VYUO vya serikali (FDCs..Focal Dev College) Jan 2021/2022 kwa...
Imetumika miezi miwili tu, na iko complete (body, lens ya 24-105mm, speedlight, slots cards 4, charger pamoja na battery kama inavyoonekana kwenye picha
Bei 3.7m (lakini kuna mazungumzo)
Kama...
Habari;
Kwa Kila mteja unaniletea; unapata chako mapema.
KUSAJIL KAMPUNI
-jina la Biashara
-limited caompany
-partneship
HESABU ZA KAMPUNI(FINANCIAL STATEMENTS)
KUANDIKA MEMORANDUM...
Wadau habarini.
Ninatarajia kufungua Kituo Cha Mafuta, awali nililipenda jina la kituo liwe OTTO OIL Service Station. Nimeangalia BRELA jina hili limeshatumiwa.
Nililipenda jina hilo la OTTO kwa...
Salaaam members.
Natafuta frem maeneo ya mtongani, Wailes, mwembeyanga, buguruni, bungoni, na maeneo ya karibu na hayo au kama unauza Duka la bidhaa za nyumbani kama unga, mchele, pipi, vocha n.k...
BMW 1 Series, inauzwa, Tsh 15 milion. Namba T.... DTM
Ina miezi saba tu toka inunuliwe
Kilometre 95,856
Engine capacity: 1590 CC
Engine type: Petrol
Colour: black
Seat capacity: 5
people...
*SMILE WE CARE (SWC)*
*Inafanyaje kazi?*
Unapotoa pesa ya kufungulia account yako *$10 = Tsh 23,000/=*
Usajili wako utakamilika muda mchache sana
Na papo hapo unakua member tayari,
*Stage ya...
Hi wana JF,
Nahitaji kufahamu masoko yenye bei nafuu ya nguo za ndani za kike na kiume na kama wana account mitandaoni niwasiliane nao
Naomba msaada tafadhali.
Uandishi matangazo...maandishi yana nguvu pale yanapotumiwa, kumshawishi mteja anunue huduma au bidhaa.
Kuna watu/wafanyabiahara na wajasiriamali wengi wanatumia fedha nyingi kujitangaza...
Wakubwa Habari Zenu,
Kwa anayejua bei ya jumla ya Memory Card 128MB hapo Kariakoo anijuze maana nataka nizifuate huko baada ya mipaka ya ardhini ya Kenya, Uganda na Rwanda kutoonyesha dalili ya...
Dume la mbuzi wa maziwa wale wanaozaa mapacha
Dume moja linaweza kuboresha kizaz cha Mbuzi wako hata kama sio Mbuzi wa maziwa
Njoo tuzungumze
Njoo tukufundishe
Njoo tukushauri
#mbuzi...
Habari wana jf nina kiwanja bei yake ni mil 7 ila bei inashuka unaongea una kiasi gani nina shida nauza hiki kiwanja ni changu mwenyewe
Kiwanja ni changu mwenyewe sio dalali
Kiwanja kipo...
ACHA KUTUMIA WINDOWS ZILIZO KUWA CRACKED ZINA VIRUS NA MALWARE KUFANYA MASHINE INAKUWA SLOW . JIPATIE GENUINE WINDOWS LICENSE KWA 30K TU.
CONTACT: WHATSAPP - +255688646309
Nauza nyumba yangu (40ML.) 4 rooms one Master bedroom, Dining room,Seating room, Public toilet,Store nje fremu 2 tayari Maji Umeme ipo Mbweni karibu na chuo cha Jeshi karibu sana atutashindwana...
MEZA YA DINNING MNINGA MPYAA KABISAA
meza ni mninga tupu urefu futi 6 upana futi 4
Viti vyake vya sofa vipo 6 best quality
Price 1,200,000
Nipigie kwa namba 0675326254
Nipo Tabata Segerea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.