Rejea mada tajwa hapo juu.
Chumba cha kupanga kikubwa ft 14 na kuendelea chenye choo ndani, tiles, na gypsum kinahitajika haraka.
Chumba kiwe ndani ya fensi yenye geti.
Bajeti 100k kwa mwezi...
MAWASILIANO YANGU
0745298903 AU 0693084522
Bei yake 8,000,000 (maongezi yapo kidogo)
Ukubwa SQM 678 sawa na Mita 23 Kwa 30
Eneo lipo sehemu nzuri na iliyopangika sawa na ramani inavyoeleza...
Anayehitaji softcopy ya kitabu hiki kilichoadimika mtaani.
Kitabu hiki kimeandikwa na HAYATI ABDU JUMBE, kinazungumzia Muungano wa Tanganyika Na Zanzibar na kilichojificha nyuma pazia.
Cha...
Tunazo godoro mpya kabisa na usafiri bureee mpaka mlangoni kwako kampuni GSM
TUNAUZA MAGOGORO POPOTE YANAKUFIKIA BURE KABISA TUPIGIE 0763542515 DAR
inchi 8 5*6 unalipata kwa 170000 tu
Inchi 6...
Habari wanajamvi,
Maisha yamenitinga vibaya sana. Naulizia mashine za kugandishia lambalamba ambazo zimetengenezwa locally. Chini inakuwa na AC, alafu juu tumbo la fridge.
Je, zinapatikana wapi...
Features:
usb
Fm Radio
Aux
SD card
inafaa sana kwa wenye PUB au sehemu ya kuuza vinywaji
inafaa kwa mwenye duka anaetaka kuitumia kama speaker za matangazo
inafaa kwa kukodisha kwenye event...
Habarini wakuuu
Kitanda kinaunzwa cha chuma 5 kwa 6 kipya kabisa kwa 200k MAKUMBUSHO DAR ES SALAAM
MEZA nzuri ya kujisomea hasa kwa wanachuo kwa 50k ina droo mbili za kutunzia vitu muhimu na...
Natafuta ile board ya kuchezea darts pamoja na ile mishale yake yaani full set. Nataka nitumie kama pambo ukutani na pia kuwafundisha watoto michezo tofauti na waliyozoea.
Sehemu gani wanayouza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.