Do you plan to start a Restaurant and yet to get clarity on the following :
What equipment you require? Kitchen, Preparation, Cooking, Dinner and other?
In what quantities?
How much will the...
-Eneo linapatikana mbezi mwisho stand karibu na soko la mbezi
-Eneo ni kubwa limekatwa viwanja vidogo vidogo 5 vyenye sqm 400 ( 20 kwa 20) na vyote vina hati
-eneo haliko bondeni liko sehemu...
Kila mwisho wa mwaka wafanya biashara wengi huwa wanafanya SALE ili kuondoa stock ya zamani na kuipa nafasi stock mpya ya kuanza mwaka.
Wafanyabiashara wengi wamekosa namna nzuri ya kufanya...
Eneo Lilipo: Kigamboni Magogoni
Aina ya eneo: Eneo la makazi
Ukubwa wa kiwanja: 1350
sq meters
Mazingira ya eneo: Eneo tulivu lenye makazi ya watu
Umbali kutoka ferry km 5 na umbali kutoka...
Habari Wadau.
Nauza Showroom yenye details zifuatazo:
Eneo Lilipo : Kibaigwa Mjini linapakana na barabara ya Dodoma karibu na Sheli ya Olympic
Eneo linapakana na barabara kubwa ya...
Wakuu Poleni na pilika za maisha,nilitaka kujua endapo kuna mtu anaifaham kampuni ya kuuza Magari inaitwa SaKuraMotors nimeona gari nzuri kwao nilitaka kuiagiza lakini hawana ofisi bongo je kuna...
Watu wengi hasa wajasiriamali wadogo na wa kati wanatamani kukuza biashara au uwekezaji wao. Katika tamanio lao hilo wanapata changamoto ya mitaji ijapokuwa tayari wana rasilimali fulani.
Kwa...
Hello wana JF nawasalimieni wakubwa zangu!
Lengo la kuandika uzi huu ni kuwatangazia home tuition kwa wanafunzi wa O level and A level kwa wanaopenda Biology na Geography!
Wale wanaorudia...
Kampuni ndogo inatafuta ofisi ya kupanga. Iwe maeneo mazuri kama vile mikocheni, kinondoni, magomeni, Sinza, Mwenge, n.k. Bajeti mwisho laki 5 kwa mwezi.
Huduma muhimu ziwepo.
Pm kama unayo.
Kama unarafiki au ndugu ambaye sauti yake inafaa kufanya mambo ya entertainment , Na utangazaji tuwasiliane
kazi itakuwa ni YouTube, online channel
Maswala ya posho yatafanyika
Sent using...
Kama unahitaji nyumba maeneo hayo ya chumba au nyumba ya kuanzia chumba na sebule au kuanzia vyumba viwili na kuendelea usisite kunitafuta, maeneo ni hayo ya Mwenge, Kinondoni, Sinza, Kijitonyama...
Saa aina ya seiko inauzwa Tsh 250,000 /=
Sifa za saa
1: Haipauki.
2: Hairuhusu kuingia kwa maji.
3: Inadumu muda mrefu.
4: Automatic mechanism, kwa maana ya kwamba haitumii betri.
5...
-ina vyumba 3 kimoja master ,sebule,dinning hall,jiko,stoo na public toilet
-Kiwanja kina ukubwa wa 30 kwa 25 (750sqm)
-pamepimwa lakini hapana hati
- Umeme na maji vyote vipo.
-Ukuta...
Habari wanaJF,
Nina mizigo yangu michache ambayo nahitaji kuisafirisha kutoka DSM kwenda mjini Bujumbura Burundi. Kutokana na mabasi kusitisha huduma kwa sasa za safari kwenda huko nilikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.