Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Nahitaji kunde ,maharage, choroko na njungumawe kwa bei ya jumla. Mimi nipo Dar, Mabibo.
1 Reactions
45 Replies
2K Views
FEATURES INCLUDED WITH ALL PLANS: - Cpanel Based Web Hosting - LiteSpeed Web Server with WordPress Cache - UNLIMITED MariaDB (MySQL) databases, email, FTP accounts - FREE Unlimited Auto SSL...
0 Reactions
5 Replies
715 Views
Habari wandugu . Nahitaji kontena la futi 40. Lenye hali nzuri ....nipo moshi mjini.-kilimanjaro Kama unalo wasiliana nami.....0672701329 Asante.
1 Reactions
3 Replies
141 Views
Ninauza mbwa Aina ya Germany shepherd. Male Ana umri wa miezi9 bei laki nne. Nipo ukonga. Cont 0779654041
3 Reactions
1 Replies
182 Views
Habari wadau. Nauza kitanda cha chuma 5 x 6 na godoro lake. Kwa kitanda peke yake bei 130,000 Godoro bei 80,000 Meza bei 50,000 Namba ya simu 0754 003 715
10 Reactions
62 Replies
2K Views
Toyota anatumia gearbox za aina tatu. 1. A type, ambazo zimefungwa kwenye SUV nyingi kubwa za Toyota. Mfano A343F iliyofungwa kwenye Toyota prado TX 1997. 2. U type, ambazo zimefungwa kwenye...
8 Reactions
13 Replies
7K Views
PUNGUZO LA BEI. Tunapenda kukujulisha kuwa katika kufunga mwaka, sasa utapata VFD kwa 250,000 tu. VFD ni mashine ndogo inayokuwezesha kutoa risti halali za EFD kwa kutumia simu yako ya mkononi...
0 Reactions
2 Replies
275 Views
Smart tv Inch 65 brand yoyote offer yangu ni 800k..
1 Reactions
4 Replies
274 Views
Dar es Salaam - Tamasha la Hot Rhythm Music Festival lililofanyika katika Hostel za Mabibo siku ya jumamosi jijini Dar es Salaam, liliwaleta pamoja wanafunzi wa Chuo Kikuu kwa ajili ya...
1 Reactions
0 Replies
165 Views
Wakuu habari, Natafuta mkulima, wa karanga mbichi, ambae ataniuzia kwa bei ya shambani, ni kuajili ya biashara.. Kama una mzigo, nichek watsAp 0742596431, tufanye biashara. Mimi nipo Dar.
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Vinauzwa kwa bei nafuu; Kitanda 5x6. = 120,000/= Godoro dodoma 5x6 inch 8. = 120,000/= Kabati la nguo. = 120,000/= Mtungi wa gesi, jiko na Meza. = 150,000/= Coffee table. = 70,000/= Friji ndogo...
0 Reactions
1 Replies
414 Views
Vinauzwa kwa bei nafuu; Kitanda 5x6. = 120,000/= Godoro dodoma 5x6 inch 8. = 120,000/= Kabati la nguo. = 120,000/= Mtungi wa gesi, jiko na Meza. = 150,000/= Coffee table. = 70,000/= Friji ndogo...
0 Reactions
3 Replies
553 Views
Vinauzwa kwa bei nafuu; Kitanda. 5x6. = 120,000/= Godoro dodoma 5x6 inch 8 = 120,000/= Kabati la nguo. = 120,000/= Mtungi wa gesi, jiko na Meza. = 150,000/= Coffee table. = 70,000/= Friji...
0 Reactions
2 Replies
464 Views
Oven la kisasa lenye jiko la gas na mtungi wa gas orxy vinauzwa kwa haraka mno .... pesa ya haraka inahitajika.. Dukani hilo jiko ni 560,000/= cc tunauza 380,000 tu
1 Reactions
4 Replies
448 Views
Hello, Nauza jiko la gesi na mtungi wake kama linavyoonekana.Havina tatizo lolote. Price: 120k Location: Rukwa
2 Reactions
3 Replies
611 Views
Nyumba Inauzwa milioni 60 maongezi yapo Location📍IPO KIBAMBA NJIAPANDA YA SHULE -Nyumba ina vyumba 3 vya kulala, Vyumba viwili ni master, dinning room, sitting room, kitchen na public Toilet...
2 Reactions
8 Replies
637 Views
Habari. Mwenye kujua kilipo kiwanda Cha kutengeneza turubai za P.E zile nyepesi za blue ninaomba mawasiliano yao. Nimejaribu kutafuta mtandaoni sijafanimiwa. Asante
0 Reactions
0 Replies
139 Views
Kiwanja kinauzwa goba tegeta "A" kwa bedui Dakika 3 tuu kutoka kwa bedui center Dakika 7 tuu mpaka goba centre Dakika 10 tuu mpaka madale mwisho Kiwanja kina sqm 700 Ni corner plot Kina njia...
0 Reactions
10 Replies
584 Views
Habari wana Kaskazini Kwa mahitaji ya kununua na kumiliki viwanja tajwa hapo juu vvilivyopimwa na vina hati kamili toka mamlaka husika. Kwa miji ya Arusha na Moshi. Na viunga vyake. Viwanja vina...
0 Reactions
36 Replies
2K Views
Kabla ya kufungua mzigo mpya nimeamua nifanye sale Jaman nauza gauni mtumba quality 3500 af tatu tu Sket imebak moja 2000 tu Vitop vishat 1500 tu Karibuni sana wasap or call 0625056158
1 Reactions
1 Replies
244 Views
Back
Top Bottom