Nahitaji freezer ndogo iliyo katika hali nzuri (yenye uwezo wa kugandisha) iliotumika ama mpya mradi bei iwe nafuu, nitajie bei na mawasiliano. Nipo Dodoma.
Make: Eicher
Mode: truck
Model number: MC2B6
Year of manufacture: 2017
Engine Capacity: 3298
Fuel used: Diesel
Seating capacity: 3
Mileage: 15868
Price 32 Millions
Gari ipo kwenye hali nzuri...
Bembea ya chuma kwa ajili ya mtoto mdogo inauzwa kwa bei nafuu sana sh 90,000 tu offer
Kiti cha chuma kwa ajili ya mtoto mdogo kinauzwa kwa bei nafuu sana sh 50,000 tu, vyote vimetumika kidogo...
Habari,
Nafikiria kumfungulia mdogo wangu biashara ya Bajaji ili apate kitu cha kufanya ila sijui biashara hiyo sana.
Je, biashara ya kuendesha Bajaji inalipa? Kwa siku mtu anaweza pata kiasi...
Mnyonge mnyongeni.. lakini haki yake mpeni.ttcl Kama mtaendelea na Moto huu it's just matter of time kabla hamjawa tena the leading company kwenye upande wa data.
Mnavifurushii vitamu na Bei...
Mbezi, Dar Es Salaam, Tanzania.
Habari ndugu, jamaa na marafiki...!!
Naitwa Enock, napatikana Mbezi Louis(Mbezi ya Kimara). Mimi ni fundi wa kutengeneza na kukarabati sofa za aina tofauti...
Wakuu natafuta kama kuna mtu anafahamu kiwanda kidogo cha maji (bottled water) chochote ambacho kimesimamaisha au mmiliki wa kiwanda cha maji ambaye amesimamisha production kutokana na changamoto...
Aman itamalaki kwenu wote
Baada ya kuteswa kwa miaka kazaa na washenzi kazaa yaan mitandao mishenzi shenzi sasa hatimaye nimepata mchumba mpya ambaye tiar nishafunga naye ndoa
TTCL nyie ni...
BOOM PACK
KWA WANAFUNZI WA VYUO (*148*30*35# )
Kwa SIKU (Sh 500/=)
500MB, Mitandao yote dakika 5, TTCL-TTCL Dakika 20, SMS 100
WIKI (Sh 1,500/=)
1GB, Mitandao yote dakika 15, TTCL-TTCL Dakika...
Habari wadau! Nahitaji hiyo Common Interface card
kwa ajili ya Tv yangu niweze kutumia smart card za
pay Tv via Digital Tv.
Kama kuna aliye nayo naomba anicheki hapa
0787577755 au kama kuna...
Habari wakuu nauza zulia lenye rangi ya cream ukubwa ni meter mbili na nusu kwa moja na nusu
Mahali lipo moshi ila kwa aliyoko mwanza naweza mletea coz ninasafari za uko mikoa mingine nitakutumia...
Habari.
Nahitaji mtu mwenye tecno camon 12 tubadilishane na spark 4 yangu.
Simu yangu bado ipo vuzuri mwonekano wa mpya haijatumika sana haina crack wala shida yoyote nimeamua tu kubadilisha...
Nipo dar natafuta wateja watakaoweza kununua cementi ya dangote kwa Bei ya jumla.kuanzia mifuko Mia sita yaani gari moja uneletewa popote Tanzania Bei 12960.karibuni sana mfumo wa malipo ni cash...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.