processor i5 @2.67GHz
RAM 4GB
HDD 500GB
INVIDIA GRAPHICS 4GB(gaming pc)
BATTERY 2HRS
(ni gaming pc na ndani ina games 2 fifa na need for sepeed)
pc haina tatizo ila nnashida na kodi bei 250000...
Wakuu kwanza nawasalimu,Nauza simu tajwa hapo juu kwa bei sawa na bure kwani bado mpya kabisaaa.
Bei 250,000,Ipo Dar es Salaam,Mawasiliano 0711701742
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu nahitaji gari ya kukodi kwa bei nafuu Dar muda wa mwezi mmoja kuanzia tarehe 20 Januari. Takuwa na shughuli za ujenzi hivyo takuwa nazunguka nayo kwa shughuli ndogo ndogo. Nahitaji gari kama...
Migongo mipana
Kampuni: Ando
Gauge28
Rangi carrot
Mahali Dodoma
Vipimo
Upana cm 190
Urefu
6.0m lipo 1
4.8m Zipo 3 na
3.6m ipo 2
Jumla mita 27
Bei 13000 kwa mita
Mwenye interest tuonane
Nauza samaki sangara wabichi toka Mwanza kwa bei ya jumla kwa wenye mabucha na wahitaji wengine walio Dar na maeneo jirani.
Kiwango ni kuanzia kilo 100 kuendelea.
Bei ni sh 6,500/= kwa Kilo...
Naitaji mtu ambae yuko Mwanza ambae anafanya biashara za samaki kwa maana ya uchuuzi na usafirishaji mpaka Dar es Salaam.
Au kwa yoyote ambae anajua A to Z ya kununua samaki mpaka usafiri to Dar...
Wakuu mimi nipo Moshi Mjini.
Nataka kuanzisha mradi wa mashine ya kusaga na kukoboa.
Mashine nzuri ni yenye mortor yenye ukubwa gani ? Na kinu chenye ukubwa gani ?
Gharama za kununua zikoje...
Picha hapo chini ina maelezo.......
Sharti kuu, uwe mrembo (mwenye mvuto mbele ya kamera) na uwe radhi kufanya kazi for free maana this’s a free of charge deal...
WhatsApp: +255676095799
Nitumie...
Nauza asali mbichi kutoka katavi ambayo haijachanganywa na haijapikwa . Karibu Sana utoe Oda yako ama kwa maelezo zaidi piga namba 0758170118 ipo wsap pia ...plz support my hstl
Habari ya muda huu mpenzi msomaji wa makala hii. Mi naitwa DEOGRACIUS JOSHUA, Mkurugenzi na mmoja wa wamiliki wa kiwanda kidogo Cha vifungashio au mifuko mbadala kiitwacho DEO VIFUNGASHIO kukiwa...
Hello wadau,
Natafuta mtaalamu mwenye uwezo wa kutengeneza na kuchanganya high quality graphics na videos kwa ajili ya marketing. Sifa:
1.) Awe na ujuzi wa kutengeneza na kuchanganya sauti...
Kwa wale wenye kuhitaji kusajil kampuni.. usiteseke wasiliana nasi tuweze kukusaidia.
tunatoa huduma kama vile.
1. kusajili kampuni brela na tin ya kampuni (TRA).
2. Tuna Andaa memorandum d
3...
Kuna vifaa vya salon vinauzw
Kama ifuatavyo
1.machine
2.vioo 3 vya aluminium
3.kabati ya kutunzia vifaa.
4.generator
5.viti 2 vya kunyolea
6.vitambaa vya kunyolea
7.TV
8.voltage regulator
Bei ni...
Habari za wakati huu.
Wakuu meza za vioo zina changamoto zake,zinapovunjika..
Mm wakati huu nikinunua itakuwa meza ya tatu.
Sasa kabla sijanunua nyngne nauliza kama naweza nikapata spear ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.