Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Habari wanajamvi, Mimi ni mkazi wa Morogoro, natafuta nyumba ya vyumba vinne maeneo ya Kihonda au Azimio au Kilimanjaro kwa ajili ya kupanga. Mwenye nayo ani PM
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari wapendwa poleni na majukumu. Nauza shamba langu linapatikana mkoani Morogoro wilaya ya Kilosa barabara ya mikumi kilosa njiani au barabara ya Kilosa - Mikumi. Mkoa wa Morogoro Wilaya ya...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu nahitaji body spray nzuri isiyokera watu bali ina harufu nzuri na ya kuvutia
0 Reactions
59 Replies
25K Views
Naomba kujua line ya tigopesa na mpesa ni sh ngapi na je ya kunua kwa MTU ni sh ngapi na mpya ni sh ngapi
0 Reactions
40 Replies
4K Views
Wakuu Wale technician nahitaji screen ya MacBook Pro 13 Latina ya 2017 kama unacho njoo na offer yako na bei ya kufix Bei iwe ya Corona tafadhali Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
544 Views
Ni computer used/refubished. Computer maker: HP, Dell, na Compaq. Bei: P3 ... >700Mhz ... 128MB ... 10Gb ...167,000 P3 ... >900Mhz ... 256MB ... 10-20Gb ... 197,000 P4 ... >1.2Ghz ...
0 Reactions
31 Replies
6K Views
Used Sony home theater system Model: DAV DZ-650 1000Watts Location: Mbezi Kimara Bei: 570k Kama unahitaji ni DM Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
17 Replies
4K Views
NATAFUTA KIWANJA , SHAMBA , ARDHI MOROGORO MANISPAA Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, natafuta Kiwanja, Shamba au Ardhi ya kununua Morogoro Manispaa.Ardhi ninayohitaji iwe aidha...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kifaa Cha Geophysical, kwa ajili ya utafiti (survey), ktk sekta ya madini n.k, hutumika ktk kutambua mwamba wa madini Kama dhahabu etc. Almost new Kifaa ni aina ya Merry-24, brand ya NordWest...
0 Reactions
6 Replies
653 Views
Inauwezo wa kuweka Sim card na kutumia kwa matumizi ya simu Kama kawaida,unakaa na chaji Sana,Ina Camera,pia mikanda yake ni imara sana, Warranty ni 1 year, Free Delivery in Daresalaam na mikoani...
1 Reactions
51 Replies
10K Views
Tunaweka urembo wa madirisha, milango, nguzo na kona ya nyumba yako ili kuipa mwonekano mzuri zaidi....Wasiliana nasi kwa simu namba 0789 005562 Nitakupigia Urembo kwa bei nafuu kabisa ndani na...
2 Reactions
8 Replies
8K Views
Kwa kuzingatia hali jijini. TEDDY MASSAGE tunakuletea punguzo kubwa (30% OFF) la bei katika huduma zetu zote za Massage. Karibu sana. **Teddy 0717565356
1 Reactions
58 Replies
14K Views
Zimeisha
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Wale woote wanaohitaji laptop za kuanzia laki mbili na nusu, zimekuja zipo pc 3 Sifa zake ni: hdd 80,ram 2gb,3 hours battery, warranty one year, bei tzs 250,000 Tupo Kariakoo , pia tuna tawi...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
HP ENVY 14-j008TX SPECIFICATIONS. RAM 12GB HDD 1TB PROCESSOR 2.4GHz, Core i7-5500U GPU Dedicated Video Memory 4GB NVIDIA GEFORCE GTX 950M Ina keyboard light Ina Fingerprint scanner Battery...
0 Reactions
4 Replies
794 Views
Kipo Mbezi mwisho Bei ni Tsh 60,000/= Kwa anaye hitaji call: 0783 139304
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Bei: Tsh 38,000 tu Size: ,40,41,42,43, 44,45 TUPIGIE/ TUMA SMS WHATSAPP: #0677875088 ___________________________________ DELIVERY: MIKOANI TUNATUMA NA DAR TUNALETA POPOTE, GHARAMA YA USAFIRI NI...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Tutakuandikia na kukushauri kitaalamu. GMAC and Fortune Compant Limited inawataalamu wa kiuandishi wakutosha karibu sana.
1 Reactions
3 Replies
569 Views
Habari wakuu. Hivi zile nyumba(avic town) pale kigamboni, bei yake ina range kuanzia shilingi ngapi?. Yale mazingira yanavutia kwa kweli.
0 Reactions
19 Replies
7K Views
Kwenu wataalamu wa ujenzi au wazoefu wa ujenzi. Kwa floor plan ya nyumba yenye urefu wa mita 13 na upana wa mita 12 (Mita za mraba 156) ni matofali mangapi yatatumika kujengea msingi? Nyumba iwe...
0 Reactions
27 Replies
28K Views
Back
Top Bottom