Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Wadau salaam, Mimi ni mjasiriamali natafuta soko la maziwa fresh (ambayo hayajachanganywa na maji kbsa). Nina uwezo wa kusupply lita hadi 100 kwa siku. Napatikana morogoro. Mwenye uhitaji wa...
11 Reactions
36 Replies
8K Views
Heshima kwenu wanaJf, nategemea kuwa na project fulani kwa muda wa wiki mbili hivi karibu na mitaa ya Goba Dsm, hivyo ningependa kwa wenyeji wa huko wanijuze ni sehemu gani naweza pata hudumu ya...
1 Reactions
24 Replies
7K Views
[emoji91][emoji91] *VIFAA VYA MZIKI / STUDIO* [emoji91][emoji91][emoji446][emoji446] *Mid Full Range* Brand: Berinja zimebaki pc 2 tu, pair moja Price: 1,600,000 Kwa 2 Contacts: 0658 644485...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau nahitaji vifaranga vya kuku aina ya kuchi, mwenye navyo anaweza nicheki. Kama itawezekana aweke sample na bei umu
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Habari wakuu, ninahitaji kununua pikipiki aina ya kinglion ambayo no nzima sana bei isizidi milioni kwa mwenye nayo aweke picha hapa na mawasiano
0 Reactions
2 Replies
1K Views
The dreamer company, nikampuni ambayo ipo geita na imeanzishwa kwa ajili yakuwasaidia watanzani wanaojenga kwa kuwauzia bidhaa kwa bei rahisi na pia kuwafikishia bidhaa wamiliki wa maduka ya...
1 Reactions
0 Replies
662 Views
Habari zenu wanaJF, natafuta Kiwanja 20 kwa 20 sehemu ni Sanya juu/ SiHA stendi au mbali kidogooo na stendi. Naomba uje na Bei yako then tu'negotiate.
1 Reactions
12 Replies
2K Views
WASANII WA MUSIC HII INAWAHUSU; kipaji ni sehemu ya maisha yetu,tunaamin kila binadamu anakipaji alichopewa na mwenyenz mungu,vipaji vipo vingi ila kuna wanaopenda KUIMBA, wasanii wanaopenda music...
0 Reactions
2 Replies
710 Views
HP Laptop min 1104 inauzwa dual core hardisk 160 inch 10 RAM 2GB ipo na charger yake ni laki 150 tu mtu anashida tatizo la pc ni keyboard tu na keyboard ni elfu 30 wanauza karibuni sana nipo Dar...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari Njoo ujipatie heavy duty blender kwa matumizi ya kiwandani,mgahawani,hoteli pamoja na bar. Ina jagi la lita mbili pamoja na stainless steel blades imara,ina kishikio cha kushikilia jagi...
0 Reactions
20 Replies
39K Views
Habari wadau! Vitabu vizuri vinauzwa novels, mathematics na science, kutoka nchi mbalimbali Canada,u.s.a,uk n.k,mathematics hasa kwa level ya primary na science kwa level ya primary, secondary...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
JIPATIE COPY YAKO SASA KWA Tsh 15,000/= Fika katika office zetu za Nyumbani Business Plan Limited zilizopo Nyamanoro,barabara ya Airport , Mwanza ujipatie nakala yako. au wasiliana nasi kwa...
1 Reactions
0 Replies
692 Views
Inapatikana DSM Bei sh 35 milioni mazungumzo yapo trailer lake 7mil for any serious buyer nichek 0652 646722
1 Reactions
10 Replies
5K Views
Habari ndugu zangu.Leo nimekuja na nyumba nzuri kwa ajili ya familia.nyumba hii ipo hapa manyoni Nyumba hii ina vitu vifuatavyo:- *vyumba vitatu vizuri *ina sebule nzuri la kutosha *ina jiko na...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Carina Ti Year: 2000 Engine 5A 1490cc 4cylinder Mileage: 125,000 km Color: Silver Transmission: Auto Good and new condition Price: 7.5m For serious buyer only Call/Sms 0713706675
1 Reactions
6 Replies
5K Views
Wakuu habarini Nahitaji chumba cha bei rahisi maeneo ya amboni au Tanga mjini
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Nauza laini za uwakala zinafanya kazi vizuri na zimesajiliwa kwa alama za vidole, ukitaka kubadilisha zitumie majina yako tunabadilisha sharti uwe na TIN NAMBA pamoja na LESENI ya biashara pia...
0 Reactions
4 Replies
990 Views
Halo, Nauza Playstation 2 Zipo 4. ni ps 2 Phat zile nene ambazo ni ngumu na zinafaa kwa Biashara Kila ps inakuja na waya zake.(kama unataka Games na Pad na Memory tutaongea) Bei: PS2 Moja...
1 Reactions
13 Replies
14K Views
Nauza gari....kulingana na ugumu kwa kipindi hichi ...nmeamua kushusha bei ya gari Gx 110 Cc 2.5 Vvti-beam Unywaji wa mafuta ni kawaida tu sio kama watu wanavyotishana Nasema hivi sababu...
1 Reactions
102 Replies
12K Views
Back
Top Bottom