Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Infared thermometers kwa wenye maduka,malls,mashule,viwandani,majumbani nk kupima mtu joto la mwili bila kumkaribia zinapatikana kwa bei ya shilingi laki 3 tu. Sanitizer 100ml bei elfu 10 500ml...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
Naomba kujuzwa bei ya 1.RAM DDR3L kuanzia GB 4 kwenda juu 2.CORE i3,i5, na i7 Ahsanteni.
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Habari zenu WanaJamii wenzangu, Mimi naitwa Hamza naishi Zanzibar. Shinda yangu kubwa ni kujua vifungashio vya mtindi vinapatikana wapi. Naomba anifahamishe s Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
6 Replies
5K Views
Nauza CPU yangu ya HP, HHD 250, RAM 2, Ina tatizo la Power Supply, Bei ni 130,000/=. 0786737923, Nipo Bagamoyo. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
580 Views
Kama nilivyoeleza hapo macho yangu yanauma ninapokuwa nafanya kazi zangu ambazo zinanilazimu kuwa kwenye PC kwa muda mwingi sasa nahitaji kujua kwa hapa Bukoba wapi naweza ipata Sent using Jamii...
0 Reactions
0 Replies
708 Views
Habari wakuu, Tunabadili matumizi ya ofisi na kuuza vifaa vya ofisi vifuatavyo 1. Meza mbili za plastic - zote 140,000 (@ 70,000) 2.Viti 3 vya plastic -vyote -30,000 3.laptop ya hp - 300,000...
1 Reactions
9 Replies
4K Views
Habari JF! Nataka kufanya finish kwny nyumba yangu kutokana na hali ya hewa iivyo ss nimeona bora niweke PVc gutter hivyo nahitaji kujua vifaa vinavyohitajika na gharama yake kwa bati yenye urefu...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Tunauza asali mbichi [emoji979]Tumia asali mbichi kila siku kwa afya njema [emoji979]Asalimbichi ya nyuki wadogo na wakubwa kutoka tabora na katavi [emoji3591]lita moja 12,000 [emoji3591]nusu...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Nauza Samsung s8 kwa bei ya kutupwa. Wakuu habari Kutokana na janga hili la COVID-19 ambalo limeniathiri kwa 100%. Naiweka sokoni simu hii ambayo nimeinunua mwezi December mwaka jana mpya...
1 Reactions
32 Replies
3K Views
Ipo Ndofe, Igoma.. - Ina vyumba vitatu kimoja ni master - Sebule& dinning room - Jiko - Public toilet ya ndani Nyumba ni mpya. Kiwanja kimeshipimwa ambapo ukubwa wa eneo ni 25*35 mita. Maji yapo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Raw Shea Butter, African Black Soap, Cocoa butter, Mango butter etc ( jumla na rejareja) karibuni. WhatsApp 0752555223
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nina uhitaji wa haraka sana wa pesa, ninauza TV yangu... LG, Full HD nimeitumia kwa mwaka mmoja lakini ipo katika hali nzuri. Ipo hapa Sinza A, karibu na Mlimani City! Tuwasiliane kwa...
1 Reactions
28 Replies
3K Views
Ipo Buhongwa mita 150 kutoka barabara kuu ya lami. Ina Nyumba 3(master brdroom mmoja) Sebule & siiting room Jiko & store Store ya nje Maji & umeme vyote vipo Nyumba tiyari ina hati na ukubwa wa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari za muda huu wakuu.. Nmekuja kwenu kuomba msaada wa kuelekezwa wapi Sufi znapatikana na gharama zikoje Nina plan kuanza project ya kutengeneza mito. Karibuni kwa Mawazo mbarikiwe.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Baadhi ya huduma zetu ni darasa lakufuatwa na kufundishiwa ulipo, mafunzo ya mtu mmoja mmoja kwenye gari na mwalimu wake, mafunzo ya jumamosi na jumapili kwa wasio na mda siku za kazi Tupo wazi...
1 Reactions
15 Replies
38K Views
*TARATIBU ZA KUFUATA ILI KUPATA MKOPO KWA KUWEKA REHANI NYUMBA AU KIWANJA* Ili muweka rehani aweze kupata mkopo kupitia taasisi za fedha ni muhimu afanye mambo yafuatayo: i. Ahakikishe kwamba ana...
2 Reactions
0 Replies
3K Views
Wakuu mada tajwa hapo yahusika, Nahitaji kupata mbegu bora kwa ajili ya ufugaji, nikisema mbegu bora kwa mfugaji anaelewa. ingependeza hasa kwa alienao maeneo ya kanda ya Kati. Nipigie kwa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Naamini mko salama wakuu, Mimi pia ni mfugaji mpya. Nimeanza na jogoo mmoja mkubwa sana, nilimnunua kama kitoweo ghafla nikaghairi tokana na ubora wa jogoo huyo, lengo la uzi huu sasa ni...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Bone see saw for sale EASY POWER....ITALIAN DESIGN BEI: MILLION MOJA( imetumika mwez mmoja tu) Napatkana Dar 0766775599 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Distinguished Tanzanians and All Africans in the Diaspora It is with great happiness and enthusiasm that I send warm greetings to you and your family.I do wish many blessings to your family's...
0 Reactions
63 Replies
12K Views
Back
Top Bottom