Infared thermometers kwa wenye maduka,malls,mashule,viwandani,majumbani nk kupima mtu joto la mwili bila kumkaribia zinapatikana kwa bei ya shilingi laki 3 tu.
Sanitizer 100ml bei elfu 10
500ml...
Habari zenu WanaJamii wenzangu,
Mimi naitwa Hamza naishi Zanzibar. Shinda yangu kubwa ni kujua vifungashio vya mtindi vinapatikana wapi.
Naomba anifahamishe
s
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama nilivyoeleza hapo macho yangu yanauma ninapokuwa nafanya kazi zangu ambazo zinanilazimu kuwa kwenye PC kwa muda mwingi sasa nahitaji kujua kwa hapa Bukoba wapi naweza ipata
Sent using Jamii...
Habari wakuu,
Tunabadili matumizi ya ofisi na kuuza vifaa vya ofisi vifuatavyo
1. Meza mbili za plastic - zote 140,000 (@ 70,000)
2.Viti 3 vya plastic -vyote -30,000
3.laptop ya hp - 300,000...
Habari JF!
Nataka kufanya finish kwny nyumba yangu kutokana na hali ya hewa iivyo ss nimeona bora niweke PVc gutter hivyo nahitaji kujua vifaa vinavyohitajika na gharama yake kwa bati yenye urefu...
Tunauza asali mbichi
[emoji979]Tumia asali mbichi kila siku kwa afya njema
[emoji979]Asalimbichi ya nyuki wadogo na wakubwa kutoka tabora na katavi
[emoji3591]lita moja 12,000
[emoji3591]nusu...
Nauza Samsung s8 kwa bei ya kutupwa.
Wakuu habari
Kutokana na janga hili la COVID-19 ambalo limeniathiri kwa 100%.
Naiweka sokoni simu hii ambayo nimeinunua mwezi December mwaka jana mpya...
Ipo Ndofe, Igoma..
- Ina vyumba vitatu kimoja ni master
- Sebule& dinning room
- Jiko
- Public toilet ya ndani
Nyumba ni mpya. Kiwanja kimeshipimwa ambapo ukubwa wa eneo ni 25*35 mita. Maji yapo...
Nina uhitaji wa haraka sana wa pesa, ninauza TV yangu... LG, Full HD nimeitumia kwa mwaka mmoja lakini ipo katika hali nzuri. Ipo hapa Sinza A, karibu na Mlimani City!
Tuwasiliane kwa...
Ipo Buhongwa mita 150 kutoka barabara kuu ya lami.
Ina
Nyumba 3(master brdroom mmoja)
Sebule & siiting room
Jiko & store
Store ya nje
Maji & umeme vyote vipo
Nyumba tiyari ina hati na ukubwa wa...
Habari za muda huu wakuu.. Nmekuja kwenu kuomba msaada wa kuelekezwa wapi Sufi znapatikana na gharama zikoje Nina plan kuanza project ya kutengeneza mito. Karibuni kwa Mawazo mbarikiwe.
Baadhi ya huduma zetu ni darasa lakufuatwa na kufundishiwa ulipo, mafunzo ya mtu mmoja mmoja kwenye gari na mwalimu wake, mafunzo ya jumamosi na jumapili kwa wasio na mda siku za kazi
Tupo wazi...
*TARATIBU ZA KUFUATA ILI KUPATA MKOPO KWA KUWEKA REHANI NYUMBA AU KIWANJA*
Ili muweka rehani aweze kupata mkopo kupitia taasisi za fedha ni muhimu afanye mambo yafuatayo:
i. Ahakikishe kwamba ana...
Wakuu mada tajwa hapo yahusika,
Nahitaji kupata mbegu bora kwa ajili ya ufugaji, nikisema mbegu bora kwa mfugaji anaelewa. ingependeza hasa kwa alienao maeneo ya kanda ya Kati. Nipigie kwa...
Naamini mko salama wakuu,
Mimi pia ni mfugaji mpya. Nimeanza na jogoo mmoja mkubwa sana, nilimnunua kama kitoweo ghafla nikaghairi tokana na ubora wa jogoo huyo, lengo la uzi huu sasa ni...
Bone see saw for sale
EASY POWER....ITALIAN DESIGN
BEI: MILLION MOJA( imetumika mwez mmoja tu)
Napatkana Dar 0766775599
Sent using Jamii Forums mobile app
Distinguished Tanzanians and All Africans in the Diaspora
It is with great happiness and enthusiasm that I send
warm greetings to you and your family.I do wish many
blessings to your family's...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.