SALAMU WAKUU
Nauza nyumba yangu, ambayo bado sijaezeka, ina vyumba viwili (Kimoja ni master), pamoja na sebule,
Saizi ya kiwanja ni 20M kwa 20M, Nyumba iko Ituha-Mbeya, karibu kabisa na shule ya...
Wakuu natafuta kinanda cha biashara used cha Tigo Pesa na kuweka baadhi ya biashara zingine, kiwe cha chuma kama hivi ambavyo wanatumia watu wa Tigo Pesa.
Kibanda kiwe used, maana bajeti yangu ni...
Tunauza tv aina zote smart na kawaida zote flat screen na pia tunauza spea za tv aina zote na tunafanya matengenezo ya tv.
Tupo Machinga Complex ghorofa ya 4 jengo la kwanza kutokea Kariakoo Lindi...
AGIZA NASI GARI TOKA JAPAN KWA GHARAMA NAFUU KABISA*
Toyota Belta
Year : 2007
Drive : 2wd
Trans : Auto
Fuel : Petrol
Engine capacity : 1290cc
Seat : 5
Grade : G
[emoji625] Features [emoji625] ...
Nina uhitaji wa laptop. Najua madenti wa chuo mpo juu ya mawe. Hebu njoo na offer zenu tufanye biashara.
Please give brand and features of your laptop.
Karibuni wote
Nauza vitenge sh 27000 tu pande tatu kwa kitenge kimoja napatikana Dodoma Nkuhungu karibuni ni kutokea Congo na Nigeria
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiwanja kinauzwa kipo Mkurumuzi Tanga
Urefu 27m
Upana 22m
Malipo kwa awamu yanapokelewa kwa makubaliano maalum
kiwanja bado hakina hati lakini kwa sasa kuna zoezi la urasimishaji viwanha ili...
* Nyumba ipo nyuma ya sheli ya Lusana dakika 3 kufika hapo
* Vyumba Vitatu, kimoja kina choo ndani(MASTER)
* Sebule
* Jiko
*Tiles, slide window)
Umeme upo
Maji kuchota kisimani (Kisima kipo 30...
Je wahitaji mkopo kwa ajili ya shule yako
kama;
-Kuboresha majengo
-Vifaa kama dawati
-Usafiri
-mafunzo ya walimu n.k
......Njoo ketu Opportunity Tanzania Ltd kwa aliye Iringa na upate mkopo...
-Used for 2 month.
-Haina tatizo lolote la kiufundi utaruhusiwa kutest.
-Utapewa contact na kila kitu ikikuharibikia unarudisha,hatukuuzii kijanja barabarani,simu ipo dukani.
Na kuna Samsung S10...
Nasaga soya mbegu kuwa soya mafuta bei maelewano.Kama unahitaji kusagiwa lakini kama unahitaji iliyotayali inapatikana bei kilo 1 @1,500/=tu.locatio (mbagala chamazi) karibuni.
kwa mawasiliano...
Habari?
Kwa wale wapenzi wa kusoma riwaya mbalimbali za marehemu Mtobwa, tunapenda kuwajulisha kuwa vitabu hivyo vinapatikana Arusha na Dar es salaam.
Vitabu hivyo ni kama ifuatavyo;
Malaika wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.