Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
#
0 Reactions
0 Replies
535 Views
#
0 Reactions
0 Replies
512 Views
Nishapata tayari
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Mashine ya kukamulia juice ya miwa ni bei gani nahitaji na tips za kufata kwa ajili ya kufungua juice point nikipata mwalimu au mtu anayeweza kutengeneza juice nzuri tunaweza kuungana kufanya...
1 Reactions
8 Replies
4K Views
Wakuu, Nawasalimu naamini hapa jamii forum ni mahali amabapo naweza kupata information ya kutosha. Kama kichwa cha habari hapo juu nahitaji mashine ya kuprint Tshirt ambayo inatumia karatasi. Kwa...
0 Reactions
57 Replies
25K Views
UPDATE 7/10/2019 Mashine za kutengeneza mkaa kwa mkono zinatengenrzwa na kuuzwa. Hizi ni maalumu kwa wanaotaka kuingia katika biashara hii ya kutengeneza mkaa wa kisasa bila kuwa na risk kubwa...
0 Reactions
36 Replies
13K Views
Habari wadau!! Tunauza mchele kutoka mbeya kwa bei ya jumla. pia tunachukuwa tender za kusupply/kusambaza katika taasisi mbalimbali,kama vile mashuleni, vyuoni na sehemu yoyote inayohitaji bidhaa...
2 Reactions
51 Replies
13K Views
Habari za majukumu. Nauza AC ni nzima kabisa unakuja kukagua ikiwa haijafunguliwa ukiridhika unalipia unafungua unabeba Nauza sababu nahama napoishi na baadhi ya vitu sitakuwa na uhitaji navyo...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Pata mabati bora ya rangi na vigae imara kwa bei nafuu na usafirishiwe bure mpaka site. KARIBU SANA CALL: 0689620044 TABATA SEGEREA, DAR ES SALAAM Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kabati la alluminium Tsh 200000 Tegeta Nyuki PIGA SIMU 0738645986 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
659 Views
Habari zenu wanajamvi, bila shaka kichwa cha habari hapo juu kimeshajieleza. Mimi ni mfanyabiashara, nina gunia 20 za vitunguu swaumu sasa kwa yeyote anayefahamu soko zuri la bidhaa hii naomba...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nauza kitanda kizuri cha kisasa kimetumika ila bado kina hali nzuri sana. Size ni 5 kwa 6 na kipo Tegeta Kibo, DSM Mawasiliano 0683-796778 - bei inapoa kidogo.
1 Reactions
13 Replies
4K Views
Naitaji Desktop Mpya yenye Specifications za kisasa kabisa na window 10 genuine. Kioo cha inch 14 CPU i7 Microsoft Office DVD room Ram 8gm Kwa mtu yeyote mwenye nayo ani- DM
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu? Nina mafundi wazuri na wazoefu wa kufanya skimming na hatimaye rangi kwenye nyumba/jengo na pia nina fundi wa tiles.Wote wana uzoefu wa zaidi ya miaka 10.Wanapatikana Tanga...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari za wasaaaa. Mwenye hii product au sehemu napoweza pata hiiii product anipe link. Bathtub za watu wazima, inaweza kuwa design au nyingine.
0 Reactions
5 Replies
965 Views
hii smartphone nimeipenda nimejaibu kuitafuta kwa apa bongo zijafanikiwa kwa kweli,naitaji kuagiza china but sinaufahamu wowote kuhusu hii simu nimevutiwa sana na upande wa beti yake ni 5500 mAh...
0 Reactions
9 Replies
858 Views
Hello! Habari wakuu, Niende direct kwenye mada, kutokana na shughuli zangu ninazozifanya kwa sasa, nalazimika kutafuta usafiri wowote mdogo wa gari (gari ndogo) ili kurahisisha kazi yangu na...
3 Reactions
48 Replies
8K Views
Wapendwa habarini, Natafuta soko la mayai ya Kuku wa kienyeji nina sambaza kwa wenyeji wa Dar. [emoji239]
0 Reactions
15 Replies
16K Views
Ubora wa mbolea za yara upo kwenye virutubisho vilivyomo. Mbolea hizi zipo katika mfumo wa punje punje ambapo kila punje ina virutubisho zaidi ya 6 ukilinganisha na mbolea zingine. Virutubisho...
0 Reactions
8 Replies
14K Views
Music system kwa ajili ya sherehe, live band & matamasha unauzwaa: Contacts 0658644485 Price: *Million 8.5* Location: Majumba 6 Dar Ukitaka Nusu nusu tunaongea kulingana na unachotaka Unabeba...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Back
Top Bottom