Habari wadau,,,,ninauza canter ya tani nne kwa bei nafuu, imetembea km 48500 tu, na bodi lake Lina urefu wa mita 4,,,,,,kwa maelezo zaidi piga namba 0783696253,,,ninapatikana dar es salaam
Habari ndugu yangu anahitaji shule ya kununua iwe ya English medium nursery na primary iwe na eneo kubwa kuanzia ekari 3.
Shida yake anataka anunue shule ambayo tayari inafanya kazi eneo hiyo...
Hii ni fursa kwa wafanya biashara wa mpunga/mchele kwa maeneo ya pwani na dar es salaam karibu tukukobolee mpunga wako kwa idadi ya gunia zozote ulizonazo kwa maana mashine yetu ina uwezo wa...
Wadau habari,
Natafuta sehem nzuri ya kufungua car wash kwa Dar; sehemu nzuri na ambapo humuda itakuwa ni ya uhakika au kama kuna car wash mtu anaiuza au eneo zuri napo naweza fanya biashara...
Jamani naombeni kujua wapi wanauza vipuri vya hizi pikipiki maana nmehangaika sana kupata hata sidecover na rims zake
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wanabodi?
Ni matumaini yangu kwamba mko salama kabisa.
Aidha, nawapongeza kwa mapambano makali dhidi ya huu ugonjwa wa korona. Kadhalika, tuendelee na utaribu wetu wa kuhakikisha...
Nokia 7.1 inauzwa ipo katika Hali nzuri imetumika miezi miwili tu haina mikwaruzo yoyote
Ni 64GB, Android 10, 4GBRAM, battery 3060mah ina charge mpaka 50% ndani ya dk 30, ni lain 2,
Camera ya...
Wakuu nipo Iringa kuna ndugu hana access na social network amekuja TV yake imevuja wino kama kuna mtu Ana connection mahali tufanye biashara mpunga upo!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kichwa cha habari kisemavyo hapo juu.
Imetembea 195,000km
Namba D iko kwenye hali nzuri kama inavyoonekana hapo pichani
Bei tsh milioni tano
Location: Ubungo DSM
Call: 0683 360972
Sent...
Ninampango wa kufungua mgahawa maeneo ya msimbazi Dar Es Salaam, kwa sasa ninashida ya vyombo na vifaa kwa anayeweza kuniuzia kwa bei nafuu
Kwa atakayekuwa navyo naomba tuwasiliane kwa 0765374146
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.