Habari wakuu,
Nyumba inauzwa , mahali ilipo ni ni miembe saba, Kibaha mjini , ni nyuma ya tatu toka sheli ya panone , opposite kiwanda cha kusindika chakula cha kuku na binadamu cha Energy.
Sifa...
Habari wakuu
Yoyote ambae anauza Pikipiki aina ya Boxer au TVS iliyotumika sio zaidi ya mwaka mmoja. Engine CC150 itapendeza ikikosekanwa ata cc125.
Isiwe imewahi kufanyiwa matengenezo kwenye...
Tunafunga (HD) CCTV Camera kwa bei nafuu kulingana na mahitaji yako.
Kuona eneo lako ukiwa mbali
Kutoa Alarm
Intruder motion detection via PIR and image verification
Automatic Day/Night Mode with...
Habari.
Natafuta kiwanja kuanzia sqm 350 kuwndelea kwa ajili ya makazi kuanzia maeneo ya kibaha kwa matias kwenda hadi kiluvya pande zote pia hadi vikawe. Kilichopimwa au hakijapimwa.
Ni PM km...
Make: Toyota
Model: Passo
Year: 2006
Engine Model: 1kr
Capacity: 990cc
Colour: Black
Mileage: 85,000kms
Location: kijitonyama
Full AC
Full Documents
Price: 6.3M
Call: 0717436363
Sent using Jamii...
Habari ya mchana
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu,
Nahitaji mtu mwenye utaalamu wa kutengeneza leja, Daftari kubwa na vitabu vya wanachama vya Vicoba Nimpe kazi maana tuna kikundi...
Ni office spacious, kuna partition mbili
Kuna choo kimoja ndani
Madirisha makubwa
Parking nje ipo ya kuweka gari
Location ni nyumba za Nhc opposite na Dar free Market
Kodi ni laki nne na nusu...
Habari za asubuhi..
Kwa pamoja tushiriki kuchukua taadhali zilizo ainishwa kujikinga na gonjwa hili la CORONA.
Nirudi kwenye mada, naitaji Nguo za Watoto kwa mwenye nazo anitafute, kwa waliopo dar...
TRUST FUMIGATION SERVICES
Ni kampuni ya kupuliza na kuua wadudu watambaao na warukao.
Tupo Dar es salaam na tunapatikana nchi nzima.
Tunapuliza dawa kwenye Mahospitali, Mashuleni, Maofisini...
Kuku wanauzwa aina ya Kroiler
Location: Dar es Salaam, Kimara - Korogwe
Price: Jogoo 23,000, Tetea 18,000
Contact: Whatsapp 0654171555
NB: Kuku sio kienyeji pure, ila wana uzito wa kuridhisha...
Habari wana JF,
Ninapangisha nyumba yetu iliyopo Tegeta, pale njia panda ya chanyika, kuelekea kanisani karibu na Nyaga Dispensary.
Nyumba ipo ndani ya fence na ni nyumba kubwa yenye vyumba 2(sio...
Galaxy Tab A mpya haijatumika inauzwa
32GB storage, 2GB RAM na 8MP rear na 5MP selfie.
Bei ni 450k
Mpya kabisa
Location : Ilala, Dar es salaam
Mawasiliano: 0759007696(WhatsApp)...
Price: 38 million
Contact: 0625536529
Details
Price negotiable
Year 2007
Make Toyota
Model Hilux Surf
Current location In Tanzania
Import duty paid Yes
Mileage 150000 Car features
Air...
Compressor Ingersollrand 7/41 4cylinder, 2005 model, Used in UK, Zinatumia Diesel, Zipo katika hali nzuri sana.
Price 18M..Unaweza kunichek kwa 0756624618..
Ndugu zangu hodi humu ndani,kwa mujibu wa hali ya sasa ilivyo bidhaa ya magari imekuwa ngumu sana,hivyo BEI imeshuka kutokana na hali halisi ya mifuko.
Pata gari zuri kwa poa.
Year 2003
Maker...
Nipo Pugu Kajiungeni.
Natafuta fundi wa kunifanyia finishing ya ukuta wa matofari. Ukubwa wa ukuta ni approximately mita 30 x 30.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.