Habari kama kuna mtu ana kuku wa kienyeji au anajua anayeuza kwa hiyo bei au juu yake kidogo naomba tuwasiliane.
Napatikana Mwanza hivyo kama hata yupo mikoa jirani niambie.
Sent using Jamii...
TANGAZO TANGAZO
Miche ya kisasa ya korosho inapatikana sasa. Ni miche bora inayoanza kutoa korosho mapema na isiyoshambuliwa na magonjwa kirahisi.
Toa oda sasa kwa mahitaji yako ya miche...
Meza ndigo ya sebuleni (Coffee table) 60*60 cm mbao ya mkongo inauzwa IPO Arusha bei tshs 100,000/ tu mawasiliano 0621 048817.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wakuu, nina pool table zaidi ya 2 ninazikodisha dar es salaam, ni zipo kama mpya tu
Nature ya kazi yangu imekua changamoto kwangu kuzisimamia
Kama una eneo nzuri na ungependa kufanya...
Habari wana JF!
Bila shaka mpo poa? Kuna huu mchongo kama ww ni mkazi wa Dar umepanga sehemu na kodi yako inakaribia kuisha comment hapo chini kodi yako na sababuu ya kuhama nikupe maelekezo...
Habari wanazengo
Naomba kuuliza kuhusu Soko la unga wa ndizi kwa Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla .
Je soko lipo na matumizi yake hasa hasa ni yapi nataka kujua kuhusu hii bidhaa.
OneLove...
Hi JF
Natafuta cabin / kichwa cha mitsubish canter kwa ajili ya kurekebisha gari yangu canter tipper iliyopata ajali.
Sifa za cabin.
Iwe ni ya canter mayai siyo box
Iwe na dash body complete...
Habari wakuu
Kwa yoyote alie kuwa anafanya biashara ya kuuza gesi na sasa kabadili biashara, anataka kuuza mitungi mitupu tuwasiliane.
Nataka kuanza hii biashara so natafuta mitungi mitupu kwa...
Asaalam,
Kama nilivyojielezea hapo mwanzo, kwa mtu yoyote au mfanyabiashara wa nguo za kiume mjini Dodoma njoo nikuuzie nguo za kiume kwa bei ya DSM. Sababu za kuuza ni kufunga biashara yangu...
Je? Umekua ukihitaji kununua vitabu lakini Ujapata mahala sahihi ya kupata vitabu vizuri na vyenye ubora. Basi ondoa shaka, sisi tutakuhudumia vitabu vizuri na vyenye ubora kabisa. kwani tuna...
mashine iko vizuri haina tatizo
hdd 250 GB
ram 2 GB
processor 2.0ghz duo core
window 7
dvd raw
battery 1hour
haina adapter tu
one usb sound card free
iko arusha
ilikuwa inapiga kazi za library...
Tata 709 ya mwaka 2017 ina kilomita 11000 tu imetumika miezi miwili inauzwa millioni 47 tu
Ilikuwa imepiga kazi miezi miwili tu katika usambazaji
Piga 0762612213 au 0744212129 ipo mbezi beach...
Habari wadau,nauza unga wa lishe kwa watoto na family in General kwabei poa,1kg 3500 na nusu 2000..mchanganyiko ulezi.mahindi ya njano.mbegu za maboga.soya na ngano..napatikana kinyerezi...
Habari wakuu.
Natafuta mashine hii ya kuprint t shirt na vitu mbalimbali.
Mwenye utaalamu naomba kujua
-Bei
-Brand Nzuri imara ni ipi
-Wapi nitaipata
Naomba kuwasilisha.
Habari JF!
IST inauzwa kwa 10.5M
Cc 1290
Mileage 79,000kms
Imetumika miezi mitano
Vibali vyote vipo
Ipo Temeke -Dar Es Salam
Gari ipo katika hali nzuri haina tatizo lolote
Mawasiliano Piga /SMS...
Bei millioni 2 cash
Toyota Corsa
Engine EFI ( starlet)
Capacity 1200
Inafanya kazi vizuri kabisa bado mpya
Location Arusha
Gari ni nzima jino moja unawasha na kuondoka.
Location : Dodoma-Hombolo kilipo chuo cha LGTI
status: imekamilika kwa 65%
Matumizi: kupangisha wanachuo
Size : vyumba 8
Place: ipo katikati ya mji umeme wa kushusha tu.
Price :26M
land status...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.