Best in town leo naweletea Fursa adimu soma vitabu uongeze maarifa kwa kutambua umuhimu wa kusoma vitabu ili tuweze kupambana na adui ujinga leo tumepuguza bei za vitabu vyetu ambapo unaweza...
Nauza miche ya palms kwa bei nafuu
Kila mche nauza 6000 kama unachukua miche mingi bei inapungua
Kumbuka bei ya palms ni 10000 kwa hapa dar es salaam Napatikana kigambon unaweza nichek inbox...
Kwa Huduma Bora na Uhakika. Karibu kwa Matatizo yoyote ya Generator lako. Kama unauza au unataka kununua njoo ofisini kwetu. Pia tunafanya Maintenance service kwenye Engine na Ac alternator/Kinu...
Nauza RAV4 KILITIME
Gari ni nzima inawaka na inatembea Ila inahitaji repairs kidogo kwenye bodi Yani rangi
Pia site mirrors ni za kununua nyingine
Automatic
Cc 1998
Vvti engine
Milango mitano
Nina...
Habari,
Nauza diplayed fridge la ice cream
Limetumika ndani ya miezi 4 tu. Linafaa kwa kuuzia ice cream, nyama nk.
Unaweza kulitumia supermarket au hata duka la kawaida.
Halina tatizo lolote...
Najua suala la elimu kila mtu ana njia zake ambazo zilimfanya ikawa rahisi kwa upande wake mimi nina njia zangu ambazo zilinifanya nikaona kufaulu ni jambo rahisi pia natoa notes za olevel na...
Nyumba inapangishwa nyamongoro INA v2 sebule selfu nyumba mpya kabisa inajitegema kila kitu zimo nyumba mbili ndani ya fence kila moja inajitegemea fence yake inapangishwa million tatu kwa mwaka...
Kwa wale ambao mpo maeneo hayo au mna watu walio katika maeneo hayo naomba mnielekeze bei ya flat screen size 24 za aina yoyote zinazopatikana maeneo hayo ili nifanye maamzi ya kununua...
Hiyo ndio March Price list ya viwanja vya Dodoma.
Wahi Sasa ujipatie kiwanja kwa bei ya punguzo.
Kwa mawasiliano simu au whatsap namba 0621399079.
Sent using Jamii Forums mobile app
HABARI NJEMA KWA WATU WOTE.
Habari Yako Ndugu,,, Nimatumaini Yangu Kuwa Unaendelea vyema😀.
Leo Tumekuja na ujumbe mzuri kabisa kwa Wale wote ambao wanamalengo makubwa katika Biashara Kwa kutumia...
Habari za weekend, tunauza suruali Aina ya kadeti Zina ubora wa juu, na zinadumu kwa Hali hiyo muda mrefu.
Bei ni elfu 23 kwa Rejareja
Offer ipo kwa mteja ukinunua kuanzia tatu utauziwa kwa elfu...
Habari za muda huu,
Natafuta mtu mwenye hoteli au mgahawa ambaye ntakua nampelekea kuku wa kienyeji kutoka singida vijijini kwa wingi
Mfano, naweza kua nampelekea kuku 50 Kwa wiki au kuku 100...
Habari zenu?
Kwa yeyote anayeuza vifaranga vya bata aina tofauti tofauti pamoja na kuku tafadhali tuwasiliane. Pia naomba muuzaji ambaye hana limit na idadi niitakayo kwa maana sihitaji wengi...
Mfumo wetu unasifa zifuatazo
1.Unaweza kua na branch zaidi ya mmoja
2.Unaweza jua maresesho ya siku husiko
3. Unaweza generate cashbook kwa ajili yenye taarifa za mikopo iliyotelewa matumizi na...
Habari wakuu! Poleni kwa mihangaiko ya kutafuta riziki, lakini pia Mola mlezi mtukufu atukinge na janga hili la kidunia Covid -19 huku tukiendelea kuchukua tahadhari zilizoainishwa na wataalamu wa...
Kiwanja cha makazi chenye ukubwa wa SQM 2,400 jijini Dodoma, Kipo eneo la Itega, kimepimwa na kina Offer, Masharti ya kuendeleza ni ujenzi wa nyumba ya ghorofa moja na kuendelea. Mwenye uhitaji ni-Pm.
Frigi inauzwa iko vizuri sana
Inagandisha upande wa juu na chini inapooza kawaida
Haina tatizo lolote lile
Bei:280000/=
Morogoro mjini
0716423838
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.