Ina vyumba vitano kwa ndani, bafu choo, na kuna vyumba viwili vya nje pamoja na eneo kubwa kwa nnje, nyuma na mbele.
Eneo la mbele ni kubwa unaweza ongeza nyumba nyingine au fremu za biashara...
Viwanja viko Nyashishi, kilomita mmoja kutoka stendi ya daladala nyashishi zinazofanya route ndani ya Jiji la Mwanza.
Viwanja viko zaidi ya 50 na bei zinatofautiana kulingana na ukubwa pamoja na...
MED GADGETS_TZ: IPO CHINI YA WANAFUNZI WA UDAKTARI CHUO KIKUU MUHIMBILI: Tunahusika na uuzaji wa vifaa muhimu vya mafunzo kwa wanafunzi wanaojiunga Kozi za afya katika vyuo Vya afya Tanzania. Na...
1. Guitar Yamaha nimelinunua 2017 nauza 130,000
lina demage ndogondogo ambazo hazina madhara
Picha izo apo chini
Mawasiliano 0685881001, Kijitonyama, DSM
Sent using Jamii Forums mobile app
Natafuta wanapouza hdmi wireless transmitters kama mfano wa hizo apo juu anayejua wapi zinapatikana kwa hapa dar anijulishe
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeme majumbani sio kitu cha kuokoteza fundi usiyemfahamu ubora wake kwa sababu tu umepata fundi wa bei poa! Kumbuka nyumba yako unatumia gharama sana kuisimamisha na hustahili kubahatisha fundi...
Wadau nahitaji kuhama nauza hivyo vitu hapo juu kwa jumla ya sh. Laki tano tu (500,000) king'amzi ni kipya kiko complete, godoro ni QFL Dodoma 5×6 8" jipya, mtungi wa gesi mkubwa uko full ges...
Mimi ni wakala wa kampuni ya kuuza matreni kutoka Wuhan China
Tunauza treni lenye uwezo wa kubeba tani sita, linatumia diesel au petrol, linadumu hadi miaka 18, pia linatembea kwenye reli ya sgr...
Habari.
Kama "NTC metal Works" watengenezaji wa bidhaa za chuma kama Madirisha , Vitanda , Milango/Gills, Mageiti/Gates ,Meza zote,Frame,Stand, Makabati na bidhaa nyingine nyingi, Tunapenda...
tunachimba visima virefu na vifupi Tanzania
pia tunafanya tafiti (surveying)
Dar es salaa mita moja tunachaji 50,000
mikoa iliyobaki tunachaji 75,000 kwa mita
MOSHI NA KILIMANJARO BEI...
#GODSON CROSS AND PURE BREEDING LTD DODOMA-CHAMWINO kushoto mwa barabara ya kuelekea morogoro kuna kilometer 43 toka dodoma mjini# tunakuletea vifaranga wa umri wa siku moja kwa #tsh 1500/=#...
Ni simulizi ya msichana Dollo aliyingizwa kwenye uchawi na mama yake. Anasimulia Siri nzito za huko na aliyokutana nayo. Kwa sasa kinapatikana kwa sh. 10,000 tu. Unaweza kuletewa ulipo kwa Dar...
Pata hand sanitizer kwa gharama nafuu, unaletewa popote ulipo ndani ya Dar. Mikoani tunatuma pia
Prices ni kama unavoona kwenye jedwali.
Contact me Direct : 0674535975
Order as many as you want...
Mitsubishi Outlander
Year 2005
Cc 2300
Km 166400
No DQC
Seat 5
Music system
Bei 13m
Mawasilano whatsapp 0783759914
Pia naweza badili na ist no d kwa kuongezewa ml 7 au Alteza au Toyota...
Nahitaji mlinzi wakunilindia nyumba yangu Mwanza maeneo ya mkolani.Mshahara kwa mwezi TZS. 100,000 kama upo tayari nipm tuweke mambo sawa
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.