Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
body imechoka sana lakini inafanya kazi vyema ,ina nguvu vizuri..haina four wheel..karibu nikuuzie ipodsm nauza 1.5m mazungumzo yapo 0768048752
0 Reactions
32 Replies
5K Views
Kupitia mtandao wetu wa e-sokoni sasa unaweza kuwa unatumiwa taarifa za masoko na tenda mbai mbali za mazao kwa njia ya ujumbe mfupi. Hapa utakuwa unatimwa kila zinapojiri bei za mazao sokoni...
0 Reactions
6 Replies
736 Views
Tunatengeneza furniture bora, imara na za kisasa kwa bei na fuu. furniture kama kabati, Dressing table, Daining table, stend za TV, kabati za jikoni, kabati za tukani, vitanda aina zote na flem za...
4 Reactions
73 Replies
19K Views
Je? Umefunga Solar au Backup ya umeme na inakusumbua? Basi RESCO T LIMITED imekuja na suruhisho lako. Tunakuja kukusolvia tatizo lako kwa gharama nafuu na tunakupa ushauri wa kitaalamu na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
  • Closed
Nawasalimu watu wote, baada ya salam nijielekeze kweny kichwa cha habari kama kinavojieleza, Lina uzwa duka la vipodoz lipo mitaa ya Segerea stendi duka lina makabati 2 ya ukutani kwa ajili ya...
3 Reactions
69 Replies
13K Views
Hali ya nyumba: * nyumba ina vyumba vitatu ( kimoja Ni master bedroom( self contained)) *nyumba ina public toilet and bathroom humohumo. * Nyumba ina sitting room, dining room,jiko na store...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ujenzi wa nyumba yako unaweza kuwa wa kisasa kwa kutumia Fundi wako mwenyewe huku akipata USHAURI WA KITAALAMU kutoka kwa MR NYUMBA. benefits za mr Nyumba Ni nyingi kwa nyumba yako, Fundi na kwako...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Ninauza 4g smart kitoch ya tigo ina miezi miwili toka niinunue nipo dodoma kwa anaeitaji aje pm lkn bei ni 25000 kumbuka nauza sababu ninashida simu ni nzima haina tatizo lolote. Karibuni
0 Reactions
0 Replies
2K Views
KABATI NA UBAO WA KUTUNDIKIA NGUO Lipo vizuri ila halina mlango wa nyuma. Ni kubwa na pana. Kabati Tsh 300000 Ubao umekatwa katikati Tsh 100000, maelewano yapo Nipo Dar Mbezi Beach Wasiliana...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Viwanja vipo Kisesa Mwanza, Vimeshapimwa na vina subiri utengenezaji wa hatimiliki ambapo mnunuzi ndo atakuwa wa kwanza kutengeneza katika kiwanja husika Bei ni million 2.7 kwa kila kimmoja Eneo...
2 Reactions
2 Replies
4K Views
Hello wadau wa JamiiForums Nina shida na ng'ombe wazuri wa maziwa wenye uwezo wa kutoa lita 20 za maziwa kwa siku kwa ng'ombe mmoja. Naomba msaada wa kujuzwa nitapata wapi. Pia nina uhitaji wa...
1 Reactions
39 Replies
12K Views
Kiwanja kinauzwa kipo Mkurumuzi Tanga Urefu Mita 27 Upana Mita 22 Malipo kwa awamu yanapokelewa kwa makubaliano maalum Bei Tzsh 3,700,000/= Maelewano yapo Mawasiliano 0765062114 Whatsap...
0 Reactions
0 Replies
797 Views
Nahitaji chumba Dodoma kuanzia maeneo ya chuo cha mipango (miyuji) mpaka usawa wa mnadani, bajeti yangu ni 50000 naweza kulipa mpaka miezi mitatu kwa kuanzia, ikiwezekana ainisha na sifa za chumba...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Techint/Technical Intelligence; Katika istilahi za kiusalama neno Techint humaanisha intelijensia ya silaha na vifaa vingine vya kivita vinavyotumiwa na nchi zingine. Ili taifa moja liweze...
1 Reactions
6 Replies
4K Views
TECNO POP 2F FOR SALE. 16GB ROM 8MP Front camera with flash Face unlock Fingerprint sensor, 12month warrant Almost new, imetumika muda mfupi P'se call 0653233987, 0767686874
0 Reactions
0 Replies
678 Views
Habari zenu wana JF! Natafuta wafugaji wa kuku wa mayai ili wawe wananilanguzia mayai na kwenda kuuzia wauza chips na mahotelini. Naombeni ushirikiano nimeamua nianze upya baada ya kuandika ule...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari, Nauliza kama kuna mtu yeyote anajua wanapouza air pump ndogo ya volt 6-12 DC (umeme wa betri ya gari) naomba anijulishe 0674028267
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nahitaji chumba cha kupanga kuanzia maeneo ya chuo cha mipango mpaka mnadani bajeti 50000-60000,ikiwezekana ainisha na sifa za chumba hapa,natanguliza shukrani🙏
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Dagaa wa matafuta kutoka ZIWA VICTORIA,TUPO MWANZA mikoani tunasafirisha buree kabsa . Mawasiliano yetu. 0755213580 Au whattsapp 0755213580. Kiasi kikubwa na kidogo tunauza.. Karibu sana mteja...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Habari za leo wakulima! Naomba mwenye mbwa wadogo kwa ajili ya ulinzi shambani anipe contacts zake nina uhitaji wa hao mbwa shambani kwangu. Nashukuru sana
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Back
Top Bottom