Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Habari za asubuhi wanajamii forum wenzangu, nina swali nataka niulize nina projector aina ya sony 3LCD nataka niuze ila sijajua thamani yake. Kama kuna yeyote anayejua bei za projector aniambie...
0 Reactions
1 Replies
924 Views
Iwe gari kati ya Rav 4 new model old au Haria new model au tupia gari lolote ambalo unataka kusukuma upate hela ya fasta Liwe namba D njoo PM NB: Madalali please msiniwekee maneno yenu ya...
5 Reactions
20 Replies
4K Views
Wakuuu, mwenye kufahamu fundi mbobevu wa magari ya subaru tafadhali Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Ni Mayai ya kienyeji kabisa na yenye ubora wa hali ya juu ,njoo ujipatie au weka order yako bei ni Tsh. 12,000/=(Trei ya Mayai 30) Ukihitaji utaletewa mpaka mlangoni. TUNAPO SEMA NI MAYAI YA...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ni pamoja na kutoa password kwa waliosahau (pamoja ni kwnye cloud).Napatikana moshi Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
6 Replies
716 Views
Wakuu, kama uko na Local mines au Trading Company ambayo ina deal na Madini tajwa hapo juu....nijulishe tufanye Biashara tafadhari! Njoo PM kwa Information zaidi...!
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wauzaji wa pochi mpya zenye watoto kuanzia sh elfu 40 tuu. Tunapatikana Tegeta Dar na popote tunadeliver. Ukihitaji tupigie/whatsapp 0714 191 429. Picha za pochi zitapostiwa kadiri thread...
0 Reactions
39 Replies
5K Views
Kiwanja ni kizuri kwa matumizi ya makazi Eneo kilipo: bunju B Umiliki: kina hati Ukubwa: 1048 square metre ziada: kimezungushiwa ukuta Price; milioni 30 (maelewano kidogo yapo ) Mawasiliano...
0 Reactions
3 Replies
985 Views
Resume/CV Maker | Curriculum Vitae - Apps on Google Play
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tunauza SABUNI ZA KUNAWIA MIKONO (handwash),za KUOGEA , SANITIZER, SABUNI ZA MICHE ZA KUFULIA na SHAMPOOO Tunapatikana Kariakooo daresalaam .mikoani tunatuma kwa order ya jumla ....whatsaap...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mlango unauzwa TSH 300000 wasiliana nasi kupitia 0689344774 au WhatsApp number 0656783090. TUNAPATIKANA TABORA pia tunachukua Oda kutoka sehem mbalimbali Tanzania.
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Laxman Logistics Ni kampuni inayo fanya shughuli zote za kuprocess mzigo kutoka Nje ya nchi mpaka bandarini Tanzania mpaka kufika final destination katika nchi hizi Burundi,Rwanda na Kongo Tuna...
7 Reactions
11 Replies
2K Views
Gari. Rv4 mil 8 ipo iringa mjini ni kuwasha na kuondoka contact 0766 961129 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
643 Views
Iwe toyota/ Nissan/ Suzuki/ Izuzu/ Benz etc. Kutokana na vyuma kuendelea kukaza, tumekuja na ofa kabambe kwa ajili yako Karibu kwangu nikuuzie radio mpya za kuona zagari kwa malipo ya awamu tatu...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Iko kwenye hali nzuri. Mifumo yake yote inafanya kazi/ tairi nzuri/ haina michubuko yoyote ya rangi. Milioni 7 Mawasiliano: O718333242 kp app
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tangazo la chuo. chuo cha ununuzi na ugavi kilichopo chanika kinatangaza nafasi kwa wanafunzi waliomaliza kidato cha nne katika kozi zifutatazo- 1. VETA business operation assistant Sifa...
1 Reactions
1 Replies
6K Views
>>>> LIJUE TATIZO HILI HATARI LA UMEME LINALOITWA VOLTAGE SURGE LINALOWEZA KUSABABISHA MADHARA MAKUBWA NYUMBA UNAYO ISHI AU OFFISINI UNAPOFANYIA KAZI Inaandikwa na TWALEEB BIN AUF NINI MAANA YA...
4 Reactions
12 Replies
11K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleleza. Natafuta frame kwa ajili ya kuanzisha SALOON ya KIUME. Frame iwe dar es salaam na iwe maeneo yaliyochangamka zaidi kama barabarani au mitaa yenye watu...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
StarX inch 32, Tsh 270,000/= Samsung Galaxy J7 prime duos, Tsh 220,000/= Subwoofer Sea piano, Tsh 80,000/= King'amuzi startimes Tsh 50,000/= Stand ya Tv Tsh 30,000/= Vyote bado viko katika...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Back
Top Bottom