Je ungependa kujenga kwa utaratibu wa ramani, basi usisite kunialika kuja site kuchukua vipimo na kukuandalia mchoro wa ramani kwa vipimo na kujua gharama za majenzi pia.
Kama bango linavyojieleza, piece 100,000 za mask zinazoziba pua na mdomo zinahitajika haraka. Kama unazo nicheki PM biashara ifanyike.
Niko Dar es salaam
Msaada wadau,
Natafuta magunia (viloba) kwa ajili ya kuwekea mazao. Hasa yale ya 100kg kwa bei ya jumla.
Mwenye kujua bei. Navitaka hapa kwetu Sumbawanga.
Asanteni.
Tuma Meseji 0620 484 081...
Sijawahi kununua friji, haya mambo ya corona sasa yananilazimisha. Naomba maelekezo, aina zipi za friji ni nzuri na naweza kupata mojawapo duka gani Kariakoo kwa bei nafuu? TZS ngapi?
Habari za jioni mabibi na mabwana. Matumaini yangu mko salama salmin.
Ninaleta kwenu hizi dumbbells zangu ninazoziuza.
Sifa:
1. Ni pair moja ya dumbbells branded
2. Ni adjustable, unaweza...
Habari wakuu
Nauza kiwanja kipo chanika buyuni block 25
Kiwanja kina ukubwa wa sqm 316 Kimepimwa kina hati
Urefu:30
Upana:10.5
Bei 2m maelewano
Nb gharama za serikal ya mtaa unalipa wewe...
NYUMBA INAUZWA.
MAELEZO
Ni nyumba mbili ndani ya compound moja
Moja ina vyumba vitatu na nyingine vyumba viwili.
Pia zina:
-sitting
-dining
-public toilet
UKUBWA
sqm400
DOCUMENTS
Leseni ya...
Nipo Mkoani Arusha. Nahitaji Barakoa kwa ajili ya watumishi wa kampuni yetu. Wapi nitazipata? Nimemtuma kijana, amesema maduka yote makubwa hakuna barakoa.
Msaada tafadhali
Sent using Jamii...
Nauza kitanda cha mbao na godoro lake vyote kwa pamoja kwa 160,000
Kitanda ni mbao na ukubwa wake ni 5*6
Location: Riverside, Ubungo
Contacts: 0693855083
Sent using Jamii Forums mobile app
Nahitaji kiwanja maeneo ya ununio, bahari beach, mbweni JKT au goba(karibu na barabara)
kiwanja kiwe kinaanzia Sqm 1000
budget ni 40m
kiwanja kiwe kina hati
pm kama unacho
Hello, Guys, Hope y'all doing well, even in this hard time where everyone is struggling against covid-19 disaster, but we believe this too shall pass. Let me shoot straight to the main point of...
itel Mobile ilianzishwa mwaka 2007 jijini Hong Kong nchini China kwa kutambua kiu ya wateja ya kuunganishwa kimawasiliano Duniani. Kwa kutumia Falsafa yetu ya "Join · Enjoy", tunafurahi kumpa...
Mradi Mpya wa Viwanja Dar es Salaam!!
Location/Eneo: Madale Mivumoni (Nyuma ya shule ya atlas madale campus)
Distance/Umbali: 1.5 km kutoka barabara ya rami
Price/Bei: Tsh 25,000 kwa sqm...
Kwa wakazi wa Arusha na maeneo ya jirani kama vile Boma, Moshi, Monduli na Karatu.
Kuna biashara nzuri ya Asali kutoka Tabora..
Dumu la lita 20 linauzwa 145,000/=
Serious Buyers inbox me.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.