Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Specification Processor core i5 (2.5 GHZ MAXMUM 3.1 GHZ) Ram 16GB Storage 128SSD Os Highsiera upgradable to new os catalina Battery life 251 battery cycle (4450 mAh) Up to 7 hours wireless web...
0 Reactions
1 Replies
778 Views
Mashine imeuzwa Thread closed
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Geuza chumba Cha kawaida kiwe mtambo wa kukaushia tambi kwa mfumo wa joto la umeme. Chumba cha kawaida Cha ukubwa wa mita 5/5/5,gharama ni Tsh 2,500,000/- bila kuhusisha tray zake na ujenzi wa...
1 Reactions
1 Replies
744 Views
Habari wana JF, nimejaribu kutafiti mitandaoni kuhusiana na upatikanaji wa hiyo bidhaa(hizo boxes) hapo pichani lakini bado sijafanikiwa kwa hapa nchini kwetu. Nawezaje kupata hizo boxes sample...
1 Reactions
8 Replies
936 Views
Condition: Used for about 4 months Price:400k TZS (price is negotiable) Problem: Focus Screen (costs 150 - 200k TZS to fix) Pick Up: Sinza A Currently market price: $1000 USD - $1500 USD Any...
0 Reactions
0 Replies
880 Views
Kwanza kabisa napenda niwasalimu kwa pamoja wana jamii wenzangu. Kwa ufupi sana Na nisikuchosheni wasomaji Na walengwa wangu wa hili tatizo. Niende kwenye hoja yangu,nimetafuta sana kitabu cha...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wana jF, nimejaribu kutafiti mitandaoni kuhusiana na upatikanaji wa hiyo bidhaa(hizo boxes) hapo pichani...lakini bado sijafanikiwa kwa hapa nchini kwetu nawezaje kupata hizo boxes sample...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Salama wana wapendwa. Nahitaji mashine ya kupukuchua mahindi. Niko mwanza mjini. Kuna namba ambazo nomechukua hapa jukwaani lakini wahusika hawapatikani. Kuna moja kutoka Zanzibar na ingine ngome...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Nauza gari ikiwa kwenye hali nzuri sana kama mpya. Haijawahi kupata ajali ya aina yoyote wala kupigwa rangi. Automatic AC working 1290cc Model ya 2004 Bei ni Milioni 7 (maongezi kidogo yapo) Iko...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ndugu poleni na majukumu, Nauza Pikipiki aina ya Tvs INA miezi mitano, bei ni 1.4million. Location Dar-mbezi Beach Makonde. Mawasiliano yangu ni 0718221009. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
1K Views
A free-standing residential or can be used as an office is available for rent. The house has three an suits bedrooms, living room extended to dinning area, guest toilet, close-up kitchen and two...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Naomba kujua bei za mabati ya Alaf kiwandani kwa migongo mipana
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Inakausha vitu mbalimbali kama nyama, samaki, matunda, dagaa, viungo vya chai na pilau kama hiliki, karafuu, mdalasini,nk. Ina trays 16 na inaingia kg32 kwa mara moja. Muda wa kukausha itategemea...
2 Reactions
4 Replies
5K Views
Wanajamvi Kwa wale walioko mikoa ya Shinyanga na Rukwa naomba kujua bei ya pumba ya mahindi na mpunga. Nahitaji kama tani 10 za pumba ya mpunga na mahindi
0 Reactions
20 Replies
10K Views
Kiwanja chenye hati kinahitajika ,ukubwa uwe square metre 1000 au zaidi. Maeneo Goba au Bunju mwenye nacho anichek kwa; mawasiliano: 0765 494 548 Sent from my SM-J700H using Tapatalk
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Katika kipindi hiki cha janga la virusi vya CORONA (covid-19) tunafahamu sote mambo mengi yanaenda kidigitali(mtandaoni) zaidi hivyo utahitaji post zako ziwe za kuvutia kwa wafuasi na wateja wako...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wadau, Kuna kitanda cha mbao hapa chenye ukubwa wa 4× 6 kinauzwa Tsh. 80,000/= ila maongezi yapo bei inapungua tu usiogope. Hata kama upo mkoani unaweza ukatumiwa na ukakipata
1 Reactions
75 Replies
10K Views
Natafuta muuzaji wa jumla wa zabibu kavu pamoja na almond (ulozi) aliye Zanzibar. kwa sasa ninapata kwa mtu anayenunua toka huko sasa nataka nimtoe mtu wa kati niagizie moja kwa moja. PM kama...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
kitanda . Ukubwa 5*6 Kipya hakijapakwa polish/rangi na chaga zake bado hazijaunganishwa . godoro Comfy inch 6 limetumika kidogo <mwezi mmoja Bei ya vyote 150k (laki na nusu) napatikana dar...
1 Reactions
17 Replies
3K Views
I phone 5s inauzwa...bei ni 170 ipo in a good condition GB 32 haina shida yoyote ilee LOCATION ni GOBA CENTER cont 0786774828
0 Reactions
2 Replies
730 Views
Back
Top Bottom