Specification
Processor core i5 (2.5 GHZ MAXMUM 3.1 GHZ)
Ram 16GB
Storage 128SSD
Os Highsiera upgradable to new os catalina
Battery life 251 battery cycle (4450 mAh) Up to 7 hours wireless web...
Geuza chumba Cha kawaida kiwe mtambo wa kukaushia tambi kwa mfumo wa joto la umeme.
Chumba cha kawaida Cha ukubwa wa mita 5/5/5,gharama ni Tsh 2,500,000/- bila kuhusisha tray zake na ujenzi wa...
Habari wana JF, nimejaribu kutafiti mitandaoni kuhusiana na upatikanaji wa hiyo bidhaa(hizo boxes) hapo pichani lakini bado sijafanikiwa kwa hapa nchini kwetu.
Nawezaje kupata hizo boxes sample...
Condition: Used for about 4 months
Price:400k TZS (price is negotiable)
Problem: Focus Screen (costs 150 - 200k TZS to fix)
Pick Up: Sinza A
Currently market price: $1000 USD - $1500 USD
Any...
Kwanza kabisa napenda niwasalimu kwa pamoja wana jamii wenzangu. Kwa ufupi sana Na nisikuchosheni wasomaji Na walengwa wangu wa hili tatizo.
Niende kwenye hoja yangu,nimetafuta sana kitabu cha...
Habari wana jF, nimejaribu kutafiti mitandaoni kuhusiana na upatikanaji wa hiyo bidhaa(hizo boxes) hapo pichani...lakini bado sijafanikiwa kwa hapa nchini kwetu nawezaje kupata hizo boxes sample...
Salama wana wapendwa. Nahitaji mashine ya kupukuchua mahindi. Niko mwanza mjini. Kuna namba ambazo nomechukua hapa jukwaani lakini wahusika hawapatikani. Kuna moja kutoka Zanzibar na ingine ngome...
Nauza gari ikiwa kwenye hali nzuri sana kama mpya. Haijawahi kupata ajali ya aina yoyote wala kupigwa rangi.
Automatic
AC working
1290cc
Model ya 2004
Bei ni Milioni 7 (maongezi kidogo yapo)
Iko...
Ndugu poleni na majukumu,
Nauza Pikipiki aina ya Tvs INA miezi mitano, bei ni 1.4million.
Location Dar-mbezi Beach Makonde.
Mawasiliano yangu ni 0718221009.
Sent using Jamii Forums mobile app
A free-standing residential or can be used as an office is available for rent. The house has three an suits bedrooms, living room extended to dinning area, guest toilet, close-up kitchen and two...
Inakausha vitu mbalimbali kama nyama, samaki, matunda, dagaa, viungo vya chai na pilau kama hiliki, karafuu, mdalasini,nk.
Ina trays 16 na inaingia kg32 kwa mara moja. Muda wa kukausha itategemea...
Wanajamvi
Kwa wale walioko mikoa ya Shinyanga na Rukwa naomba kujua bei ya pumba ya mahindi na mpunga. Nahitaji kama tani 10 za pumba ya mpunga na mahindi
Kiwanja chenye hati kinahitajika ,ukubwa uwe square metre 1000 au zaidi.
Maeneo
Goba au Bunju
mwenye nacho anichek kwa;
mawasiliano: 0765 494 548
Sent from my SM-J700H using Tapatalk
Katika kipindi hiki cha janga la virusi vya CORONA (covid-19) tunafahamu sote mambo mengi yanaenda kidigitali(mtandaoni) zaidi hivyo utahitaji post zako ziwe za kuvutia kwa wafuasi na wateja wako...
Habari wadau,
Kuna kitanda cha mbao hapa chenye ukubwa wa 4× 6 kinauzwa Tsh. 80,000/= ila maongezi yapo bei inapungua tu usiogope.
Hata kama upo mkoani unaweza ukatumiwa na ukakipata
Natafuta muuzaji wa jumla wa zabibu kavu pamoja na almond (ulozi) aliye Zanzibar. kwa sasa ninapata kwa mtu anayenunua toka huko sasa nataka nimtoe mtu wa kati niagizie moja kwa moja. PM kama...
kitanda .
Ukubwa 5*6
Kipya hakijapakwa polish/rangi na chaga zake bado hazijaunganishwa .
godoro
Comfy inch 6 limetumika kidogo <mwezi mmoja
Bei ya vyote 150k (laki na nusu)
napatikana dar...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.