Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Habari za weekend wana jf Nauza kabati la viombo bei rahisi, limetumika ila bado lipo katika ubora wake. (Kama ni service maybe kubadilisha kapeti tu) Ni la mbao ila limenakshiwa tu kwa rangi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nauza kabati ya mbao inafaa kwa biashara kama ya vitafunwa, vipodozi,chips n.k Nimeitengeneza na kuitumia kwa miezi 3 tu.Utabadili kioo cha juu kimepasuka. Nauza elfu 35 tu,niliitengeneza kwa...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
KABATI NA UBAO WA KUTUNDIKIA NGUO Lipo vizuri ila halina mlango wa nyuma. Ni kubwa na pana. Kabati Tsh 300000 Ubao umekatwa katikati Tsh 100000 maelewano yapo Nipo dar mbez bich... Wasiliana...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu nisaidieni sehemu gani naweza kupata boksi hizo mfano hapo chini nimetuma picha yake. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari wana JF Naomba kupata maelekezo jinsi ya kuanza kufanya biashara ya kununua perfume na manukato kutoka Zanzibar na kuuza Dar. mwenye kujua au uzoefu anielekeze maduka ya manukato na...
2 Reactions
2 Replies
3K Views
Wanajamii naomba ushauri wa biashara ya matairi yaliotumika kutoka ulaya yaani used ni bei gani kwa Tanzania kwani kwa mwenye kujua wenzetu watu wa Afrika magharibi wao wanaingiza kwao sijui...
0 Reactions
14 Replies
8K Views
Nimeona niwaokoe wenzangu humu bna mkifa nitabaki na Nani? Hii sanitizer bna nauza mls 100 elfu 9000 tu Ukichukua pc 12, 8500 Mawasiliano 0679834671 Ndogo yake mls 50 nauza elfu 6 Mkipiga simu...
3 Reactions
25 Replies
3K Views
TOYOTA LANDCRUISER STATION WAGON COLOUR- GREY YEAR- 2008 [emoji91] CC- 2690 ENGINE NO- 2TR PETROL K/m- 85 New tyres FULL DOCUMENT MILLION 31 Call number 0717436363. Sent using Jamii Forums...
0 Reactions
0 Replies
520 Views
Papai za Kisasa za mda mfupi Kilimanjaro Tunauza miche ya papai (Malkia F1). Hii ni mipapai ya kisasa toka Taiwan. Mipapai hii uweka matunda ikiwa na urefu usiozidi mita moja toka ardhini. Kila...
1 Reactions
21 Replies
9K Views
Ni matumaini yangu mwenyezi mungu anawabariki katika shughuli zenu..!! wataalam natafuta mtu anayeuza galatone(gitaa/ acoustic guitar) lenye fret board nyembamba, anayeuza seriously basi naomba...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Gari iko vizuri na Haina tatizo lolote Haijawahi kufunguliwa engine Ac inafanya kazi vizuri Ni automatic 6 cylinder Petrol Gari iko dar kigamboni Bei ni Milioni 3 Karibu 0763969066 nikuuzie...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nyumba kubwa yenye vyumba vinne,sebule kubwa,dining,veranda,jiko,jiko lingine la nje na kijumba kidogo cha pembeni. Iko kwenye kiwanja chenye ukubwa wa mita 70 kwa mita 35.Iko vijibweni dar.Bei ni...
0 Reactions
0 Replies
890 Views
Wakubwa anaejua chimbo za kulenga mitumba nguo hasa kadet,viatu nk kwa jumla anisaidie.
1 Reactions
5 Replies
2K Views
CARER OPPORTUNITY at Ibra Dream Financial Services Company; Ibra Dream financial Services Company is looking an experienced administration officer, sales and Marketing officer personnel to join...
0 Reactions
1 Replies
892 Views
Wakuu habari anayefahamu eneo zuri au Kama unalo eneo naweza kuweka banda la chips niPM tuyajenge. Ni kwa maeneo ya Morogoro mjini kama unaweza kuwa na mgahawa mi nikaongezea chips au una duka...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nahitaji mtu ambaye ni IT na anaweza kunifundisha nikaiva nikawa programmer nikawa na uwezo wa kutengeneza programme mbalimbali,kutengeneza website,application na kuziweka playstore,games na java...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Kinyozi anatafutwa, ofisi ipo KAWE, UKWAMANI, uswahilini. Ni mpya kabisa. Kama upo serious Tafadhali DM Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
609 Views
Nyumba iko mtaa mzuri na iko karibu na barabara Vyumba 4 Kati ya hivyo 2 ni self-contained Na kuna nyumba ndogo ya vyumba 2 kwa ajili ya wafanyakazi na wageni Ukubwa wa kiwanja ni Sqm 1200 Bei...
0 Reactions
36 Replies
5K Views
Computer HP full kila kitu, haina tatizo lolote kabisaa. Monitor Hp RAM 4.00 Gb HDDs 232 Process Intel (R) Core (TM) Duo CPU E8500@3.16 GHz 3.17 GHz OFA ya Tsh 370,000 unaona ilivyonyooka...
1 Reactions
0 Replies
704 Views
Nahitaji PC tajwa hapo juu kwa yeyote anaeuza >Ofa yangu ni 400,000tsh >Isiwe na betri mbovu >Iwe angalau core i 5 >Kuanzia generation ya 5 n kuendelea CONTACT: 0756908809 Sent using Jamii...
0 Reactions
0 Replies
587 Views
Back
Top Bottom