nimepasua kioo cha LG flat tv inchi 32....nahitaji msaada kama naweza kupata kioo chake jamani....!nitashukuru sana hasa ukinitajia na gharama za hicho kioo ili niamua kutafuta hela ya kununulia...
Habari wana Jf sisi ni kampuni ya ukodishaji wa magari aina tofauti, na huwa tunawakodishia makampuni kwa muda kuanzia miezi sita hadi mwaka na sio chini ya hapo.
Bei ya ukodishaji wa gari moja...
Tunaunda mashine za kutotoreshea mayai ya ndege mfano bata,kuku,kanga n.k
Pia kwa wanao hitaji mashine kubwa kwa ajili ya kutotoresha kwa kiwango kikubwa tunaunda kwa bei nafuu
Kwa ambao pia...
Kama kuna vifaa vibovu tuavitengeneza na vitapona tena
Vifaa hivyo ni
Power ampifier
Music Booster
Power Inveter
Power Stabilizer
Driver machine
Power supply
Timers
Controls
Digital and analogy...
KWA MAHITAJI YA KUUNDIWA INVETER AU BOOSTER ZA MUZIKI WA NJE NA MATUKIO WASILIANA NASI.
AINA ZA INVERTER
SQUARE WAVE INVETER
1. Watt 300 Tsh 150,000/-
2. Watt 500 Tsh 200,000/-
3. Watt 1000 Tsh...
Hi all member,
Nimefanya utafiti wangu simple kwa ajili ya kujua biashara gani na weza kuingia na biashara hiyo ikawa na opportunity ya kukua (growth) kulingana na wateja niliowakusudia (target...
Mazee nahitaji chumba cha kupanga singo iliyo na choo chake (master), bajeti yangu ni kisizidi tsh 80 elfu, malipo yangu taweza miezi mitatu kwanza, maeneo yote kuanzia Igoma, Buzuruga, Meco...
Natumai mmpo wazima wote, poleni na mihangaiko ya hapa na pale.
Kuna nafasi 1 kwa fundi cherehani anaye tafuta sehemu ya kufanyia kazi. Sehemu ipo Buhongwa, ni garment ambapo kuna kaa mafundi 6...
Nauza vifaa mbali mbali vya mziki na studio(used)
Yamaha keyboard psr 443 = 450,000
bass Gitaa (ibanez sound) = 350,000
Studio mic (Tockstar) = 270,000
Studio Speaker (Alessis New)= 1,100,000...
Wale wote wanaohamia na kuanza maisha jijini Arusha, na pia kwa wenyeji ambao mnahitaji/mnatafuta CHUMBA, FREM ZA BIASHARA, NYUMBA NA VIWANJA, nitafute kwa huduma hizi.
0715365934/0784321716...
**UPDATE: Nashukuru nyumba imepatikana, Shukran kwa JF nimeweza kuokoa Sh 200,000 ambazo ningemlipa dalali.**
Kichwa cha habari chahusika. Iwe karibu na barabara, iwe mazingira rafiki kwa watoto...
2020. Nia x-2 headphones
-zina equalizer
-zina beat 3d base
-zina FM mode
-SD card reader
-zinakaa na charge 7 hours mpak 9
Free delivery kwa Dar es salaam
0683484606
Bei inapungua.
Sent using...
Habari za leo,
Nina vifaa vya kazi ya car painting na body work, Yani compressor ikiwa na pipe yake,na mitungi ya gasi na pipe na mikono ya kuungia.
Niliwanunulia watu wafanyie kazi lakini...
Eneo liko Kimbiji-Kwa Moris, Kigamboni.Ukubwa wake ni mita20 kwa22. Eneo lipo karibu na barabara kuu na njia panda kwenda ufukweni (beach)
Bahari ya Hindi.
Panafaa sana kibiashara,hasa kujenga...
Wadau naomba kuelewa naweza kununua injini ipi ikatulia vzr kwenye Toyota RAV4 j twin cam 3s G.E, ya uingereza cio japan, gari naipenda sana ivyo nataka nibadili injini niweke yenye Cc angalau...
Husika na kichwa cha habari apo juu.
Mimi ni mdau mkubwa wa mazoezi hasa ya kutanua misuli ,, gym.. but nimekuwa sina muendelezo mzuri wa mazoezi kutokana na kubwana na majukumu ya kikazi, hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.