Sanitizer zinapatikana jumla tu
Bei rahisi sana Tshs 4000
Ukichukua nyingi bei inashuka
Mawasiliano: 0652472486
Ongeza la hii bei limetokana na uhaba wa ethanol sokoni
Ukichukua nyingi sana bei...
Habari wadau,
Nahitaji gari ya kukodi kwa siku elfu 25 yenye cc ndogo 1500 kushuka chini, kwa matumizi binafsi sio biashara, kwa mwezi mmoja, kama mabadiriko ya kikazi yakitokea nitaongeza...
Wakuu habari!
Naomba anayefahamu hiki kifaa cha kuitwa automatic soap dispenser anisaidie niweze kukipata, au Kama unauza Basi tujulishane.
Hiki kifaa ni automatic kwa ajili ya kunawa mikono...
Habari.
Ofisi za MOAN TANZANIA zinatoa fursa kwa vijana wakike na wamama wanaopenda kujifunza USINDIKAJI ili kuwa huru kiuchumi.
BIDHAA HIZO NI PILIPILI, UNGA LISHE NA VIUNGO VYA CHAKULA
MAHALI...
Habari ya humu ndani jamani,
Natafuta chumba kimoja self Morogoro, nina uhitaji mno kwa dalali na ambae mwenye nyumba naomba tuwasiliane.
Natanguliza shukrani
Habari za muda huu wadau
Kutokana na janga tulilonalo
Tumeanzisha business ya movie delivery
Tunasambaza movie za aina zote(kasoro za kibongo) maofisini na majumbani
But conditions for delivery ni...
Habari wana JF.
Naomba mnisaidia sehemu ya kupata miche/mbegu za minazi za muda mfupi. Pia, ni vyema nikafahamu bei zake
Sent using Jamii Forums mobile app
Wale wale Najidakia store sasa jipatie ice cream machine kwa bei ya punguzo million mbili na laki tano tu
Uwezo wake zaidi ya Lita 200 kwa siku ni kibiashara kwelikweli utapewa ushauri kama ni...
Wale wale bingwa wa mjini kuuza vitu used wanakuletea vitu vifuatavyo
FRIJI ZIPO MBILI KUBWA 295,000
NDOGO 200,000
DESKTOP HDD 500 RAM 2GB PROCESSOR DUO CORE 320,000
ZIPO MBILI hizi desktop...
Habari wanajukwaa,
Nahitaji App developer ambae ana uwezo wa kutengeneza simple, functional news app. Kama wewe ndiye ninaemtafuta basi nicheki DM.
Naomba kuwasilisha.
Kama ulikua na ndoto ya kumiliki Blogs,Personal Website au Portfolio kwa kuonyesha kazi zako Mbali mbali ila ulikua hujui jinsi ya kuanza au umekutana na watu waliokutajia gharama kubwa
Solution...
Hizi ni papai za kisasa, papai za muda mfupi.
Miche inaanza kutoa papai ndani ya miezi sita(6) hadi tisa(9)
Mti Mmoja Wa Mpapai Una Uwezo Wa Kutoa Matunda 80 kwa msimu.
Heka moja ya papai...
Kwa anayehitaji paypal account inapokea na kutoa pesa kupitia Mpesa (safaricom) unapata na line ya safaricom iliyounganishwa nayo.
Tuwasiliane: 0758593165
Habari zenu,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, Nimachine inatumia umeme imeagizwa Japan inafanya kazi masaa 24 muhitaji anitafute kwa mawasiliano 0656122225, nipo Dar bei yake ni 800,000 tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.