Habari wana JF, M MGENI humu japo nimekuwa nikifuatilia sana mambo mbali mbali kutoka kwa wanachama mbali mbali. nina swali kama kuna mtu au kampuni inayouza mashine za kufungia katoni (MF katoni...
Habari wakuu,
tafadhali mwenye updated prices za hizi pikipiki Boxer au TVS Engine CC. 125 kwasababu nimatumizi naomba anisaidie nataka kununua mojawapo mwisho wa mwezi na kwa hali ya Tanzania...
Habari wakuu,
Nauza laptop Sony Vaio yenye hard disk storage GB 500
Ram 4gb
Inafanya kazi fresh
Shida yake:
Ina shida ya case imekatika na baadhi ya keyboard buttons hazifanyi kazi, hivyo...
Karibu upate viwanja vilivyopimwa Karibu na fukwe ya bahari Kigamboni
Eneo: Bamba beach (Gezaulole)
Umbali: Mita 100 kutoka bahari I
Umbali: Km 16 kutoka Ferry
Bei: 32000 kwa mita mraba
Malipo...
Habari wanadau nina wheel chair mpya kabisa haijatumika naiuza kwa sh 250,000
Na pia nauza blood preasur monitor mpya kabisa 100,000 kama unauhitaji nicheck tufanye biashara
sent from toyota Allex
Habari za humu?
Nina ulezi tani zaidi ya ishirini, natafuta mnunuzi wa uhakika kutoka mikoa ya Arusha, Mwanza au Kilimanjaro.
Kama una nia ya kununua nipm tufanye biashara. Hakuna bei fixed, ni...
Nauza iphone 7G rangi nyeusi yenye Gibi 32 imetumika.
Inatatizo moja ya hom buttun haifanyi kazi! Bei Tsh400,000
Kingereza
Hi I am selling my used iphone 7G 32Gb black color, it has only one...
Hello!
Nauza iPhone yangu ambayo nimeitumia kwa miez 3 tu hadi sasa hivi, kila kitu kipo, hadi box, earphone, charger.
Battery life ni 100%
Hii ni zile iphone original sio copy za bei nafuu afu...
Habari za mida,
Nyumba kubwa inauzwa ipo Buguruni - Rozana, Ni nyumba ya vyumba vitano ndani na nje kuna vyumba vinne ambavyo vitatu ni single na kimoja ni double room na kwa nje nyuma ya nyumba...
kiwanja kipo Goba Mpakni
kina ukubwa wa sqm 1000 yani 40 × 25
bei ni ml 20
kimepimwa ila hakina hati
muuzaji ana dharura hivyo hata kama una nusu bei mnaweza kuandikishana then ukamalizia...
Nahitaji camera used ila isiwe used sana Canon D1200 au Nikon na TV inch 32 LG.
Camera nina ofa ya 5k
Tv nina ofa ya 35k
Dondoka nawe na ofa yako ila kitu kiwe kizima maana najuwa kukagua.
Habari wadau wa JF!
Kuna Mzigo huu hapa matata upo sokoni:
Fuso:Bei Tsh 7500 ($32,700)
Engine 6D16
Distance 258,300km
Displacement 7540kms
Vibali vyote vipo, mzigo upo Dar Es Salaam.
Nililipia miezi sita ya kodi kuanzia January-June Tsh 900,000 kodi ya miezi 6 nilitakiwa kuhamishiwa Mwanza hivyo hakuna kuhamishwa tena nyumba iko Mwanza Nyakato National ni vyumba viwili, Kimoja...
Habari wakuu natumaini wazima npo mbeya mjini nahitaji kiwanja kwaajili ya makazi kiwe kimepimwa na hati,sqm 750+,kuwe na maji na umeme..ngependelea zaidi iwambi mpya ( upande wa maghorof)
bajeti...
Habari za wakati huu,
Wengi wetu tunaofanya kazi zakuajiriwa au hata biashara tunatambua kwamba kuna wakati mambo yanakuwa magumu.
Katika kipindi hiki tunajikuta tunakuwa na stress (Sonona na...
Nakumbuka siku moja nilikosa nguo ya kuvaa kwa harusi na nilialikwa kitambo na mchango nilitoa, siku yenyewe ya harusi ndio nikakumbuka kua kuna shughuli na muda haukua rafiki...basi nikajivalia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.