Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Hlw wana jf, natanguliza shukrani kwa mwenyezi Mungu kwa nafasi ya uhai, mimi ni kijana mkulima wa papai za kisasa mbegu ya karina na malkia miche 400 shamba lipo Tanita Kibaha. Kwa mawasiliano...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Waungwani habari zenu, Napenda kuchukua fulsa hii kuwajulisha ya kwamba tumeandaa safari ya kitalii katika mbuga ya Ruaha ambayo ndio mbuga kubwa kuliko zote nchini. Safari itaanzia pale Mlimani...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Ni fundi bingwa Majiko ya Gass Kwa tatizo lolote tupigie +255715673024 huduma ni popote ulipo Kwa Dar es salaam na Dodoma fundi atakufata hadi lilipo jiko lako whatsap online muda wote uliza...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
HTC verizon 4g lite Gb32 Ram 2 Single line Bei:150 laki na nusu tu Location : Tegeta Contact : 0783231177
0 Reactions
0 Replies
490 Views
Nauza Redmi Note 7 Blue. Brand New Sealed and straight From Xiaomi Global ROM (Ina full google apps pamoja na google playstore + ni multilanguage) ROM ni 64GB RAM 6 GB 6.3'' inch display Line...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
DELL Monitor 19inch square USED it's support VGA, DVI-D and USB 2.0, we located at magomen mikum, price Tsh 90000. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
600 Views
Habari zenu wakuu, Nina shamba la mpunga Nzega vijijini, nategemea kuanza kuvuna mwezi wa tano. Kama kuna mtu ana combine harvester ipo mikoa ya karibu na Tabora naomba tuwasiliane tufanye kazi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari, Ninahitaji mizani kwaajili ya kupima uzito wa magunia. Kwa mwenye uzoefu na mizani anisaidie gharama yake na jinsi ya upatikanaji wake.
2 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wana JF Kwa mtu yoyote ambaye yupo Liwale please natafuta nyumba ya kupanga ya kifamilia, iwe standard 2 rooms (1 master na 1 kawaida) sitting room na jiko. Anaefahamu please ani-PM Sent...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ibn kimweri enterprises Una bidhaa ya chakula au viungio vya chakula unahangaika kupata soko la uhakika karibia kwetu tukuuzie kwa haraka Tunapokea kazi zote za kudeliver Tunapatikana Arusha...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Ibn Kimweri Eterprises Una bidhaa ya chakula au viungio vya chakula unahangaika kupata soko la uhakika karibia kwetu tukuuzie kwa haraka? Tunapokea kazi zoote za ku-deliver Tunapatikana Arusha...
0 Reactions
0 Replies
642 Views
Pop staa Miley Cyrus ametoa Condom zake mpya zilizopewa jina 'She Is Coming' zikiwa miongoni mwa vitu vitakavyo uzwa wakati wa mauzo ya album yake mpya 'She Is Miley Cyrus'. Ukinunua Condom moja...
4 Reactions
9 Replies
2K Views
Sio zile za kutumia na kutupa (disposable hizi unatumia kwa muda mrefu. Kama mko organised kiofisi, nyumba ama maskani tucheki. Kwenye boksi zinakaa 20 bei ni 150K. 0769509430 Tupo Makumbusho...
5 Reactions
83 Replies
9K Views
Habari, Ndugu zangu Mimi na magunia ya mahindi yapo 6500 ninaomba kwa ambae anajua sehem mahindi yalipo na Bei nzr . Ntashukuru Sana na Kama ikiwezekana mawasiliano yao niyapate ntashukuru sana
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Habari wadau wa JF, natafuta mtu wa kuwa supplier wangu wa maembe kwa jumla, maembe ni kwa ajili ya juice hivyo yawe matamu (yenye sukari nyingi). Kwa anaefahamu mtu tuwasiliane 0756958798.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Lipo Mkoa wa Pwani, Wilaya, Mkuranga. Kata, Vikindu Kijiji, Kisemvule. Kitongoji, Mpera. Nyumba lilikuwa hasa kwaajiri ya makazi mana lina appartment 2, .….....ukubwa wa eneo mita 40 kwa 40...
0 Reactions
4 Replies
957 Views
Habari wadau wa Generator, Nauza Generator niliagiza Japan bado Liko vizuri sana, hp 1500 KVA 1.5 Sababu ya kuliuza nimeagiza kubwa zaidi ya hili kama unalitaka changamka dukani bei yake ni 2m...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Habari wananzengo. Ninahitaji banda la kukodisha la kufugia kuku wa kisasa. Ninataka kuanza na kuku 300 na kuendelea. Banda liwe na vifaa au bila vifaa. Ninahitaji kwa maeneo ya Dar es Salaam...
3 Reactions
12 Replies
3K Views
Habari! Nauza Dell Desktop: Processor: Duo HDD: 320GB RAM: 2GB Bei: 230,000 Tshs. Location: Kibaha, Picha ya Ndege Mawasiliano: 0752647796 Imetumika miezi miwili tuu, ina movies, nyimbo na mazaga...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Price 1.25 Contact : 0672255842 Location : Sinza office i phone x 64 gb used from USA [emoji631]
1 Reactions
3 Replies
727 Views
Back
Top Bottom