Habari za wakti huu.
Hii ni very urgent.Kama wewe ni Dalali uliyepo Morogoro Mjini au zaidi Maeneo ya Kihonda basi tuwasiliane PM nikupe Biashara unifanyie Chap.
Ni biashara ya kuuza eneo la...
Kichwa cha habari chajieleza, niko Dodoma mjini natafuta pikipiki used iwe boxer au Tvs
Budget yangu milioni moja cash.
Ikiwa uko hapa Dom au mikoa ya jirani itapendeza.
Uzi tayari.
Sent using...
Habari za kazi wakuu,
Natafuta Butcher ya kukodi jijini Dar es Saalam, kwa yeyote anaeweza kunisaidia kwa namna moja au nyingine namkaribisha tafadhari.
Butcha inaweza kuwa mtaa wowote, naona...
Engine motor zilizotumika kidogo zinauzwa.
Ya petrol na diesel. 6.5HP @ 3500 rpm na tank la lita 3.5 zipo Dar. Tsh 250,000 each
Zimetengenezwa na kampuni ya kimarekani Briggs & Stratton. Ni...
Wakuu habari,
Nilikua nahitaji nyumba ya kupanga maeneo ya Africana, makongo au kigamboni vigezo:) iwe self contained yani chumba kimoja na choo ndani kwa ndani ii) pasiwe na msongamano wa...
Habari za muda huu wadau, nahitaji viti vya plastic 10 na meza za plastic 3 kwa mwezi mmoja, location MWANZA 0783761235.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wakuu!!
Naitwa Enock, napatikana Mbezi, Dar Es Salaam, Tanzania. Mimi ni fundi wa kutengeneza na kukarabati sofa.
Bei za sofa:
Love seat 200,000/= - 250,000/= kulingana na kitambaa
Set ya...
Nauza Redmi 8 Sapphire Blue.
Brand New Sealed and straight From Xiaomi
Global Version (Ina full google apps pamoja na google playstore + ni multilanguage)
ROM ni 64GB
RAM 4GB
Line mbili na...
Brand: Dell
Condition: used for 1 yr.
RAM: 8gb
Memory:1tb
core i 5 7th gen
Intel graphics 4gb & radeon graphics 4gb
price 890,000 (negotiable)
This pc is sutitable for games and graphics...
BEI YAKE NI 20000 TU
Kuna:
Chupa ya Chai
Hotpot
Sahani 2
Majagi 2
Bakuli 2
Kopo dogo
Glasi 1
Kwa kifupi vyote unavyoviona hapo 20000 tu.
Vipo Mbagala Zakiem
Piga simu: 0623717049
Sent using...
Nyumba ya vyumba 3 na sebule ilijengwa kwa tofali za kuchoma. Imekamilika ukamilifu wa kawaida, ina eneo la kuweza kujenga vyumba 6+. Ipo Dodoma-Hombolo (karibu na Chuo cha Serikali za Mitaa...
Kwa mahitaji ya umeme wa upepo kwa matumizi ya nyumbani,mashambani na viwandani gharama ni kama ifuatavyo
Watt 100 700,000/-
Watt 200 1,300,000/-
Watt 300 1,600,000/-
Watt 500 2,000,000/-
Watt...
Ndugu zangu kwa wadau wote wenye shida ya matengezo ya Bomba majumbani na maofisini,
Mifumo mipya na kurekebisha Mifumo ya Zamani
Nipigie simu nikuhudumie kwa Sasa nipo daresalam, ila kokote...
Kuelekea kusherehekea siku ya wapendanao Februari 14, kampuni ya simu za mkononi TECNO, imeandaa mambo makubwa ambayo yatatimiza ndoto za wateja wake wengi watakaonunua simu za TECNO SPARK4, CAMON...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.