Mahali: Madale Mwisho (Kwa mzungu)
Ukubwa: 20 * 30 (Sqm 600)
Bei: 7,500,000.
Status: Kimepimwa na kina hati,
Umbali wa kilometer moja toka Madale Stand.
NB: Malipo ya awamu mbili kwa kuanza na...
Wakuu nauza maharage Yale ya njano pamoja na soya. Bei ya jumla ni 2200 per kg.
Nina zaidi ya gunia 10 za kilo mia mia. Nimepata dharura ya kiuchumi naomba MTU anayeweza kununua kwa bei ya...
Habari za muda huu wana Jf,
Napenda kutumia jukwaa hili kuwaletea habari njema kuhusu simu za Vivo
Ile kampuni maarufu duniani ya utengenezaji wa simu bora kabisa kwa technologia ya hali ya juu...
Make: Land Rover
Model: Range Rover
Year of manufactures: 2003
Engine capacity: 2926
Engine type : TD6
Milleage: 115,000kms Automatic & Manual
Fuel: Diesel
Colour: Green
No accident record
No...
Make : Toyota
Model : Land Cruiser Prado TX Diamond
Engine Model : 3RZ
Capacity : 2690cc
Fuel : Petrol
Location : Kawe
Price : 45M
Call : 0717436363
Sent using Jamii Forums mobile app
Make : Toyota
Model : IST
Year : 2003
Engine Model : vvti
Capacity : 1290cc
Location : Sinza
Full AC
Full Documents
Price : 7.6M
Call : 0717436363
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari mwana Jf !
Tafadhari husika na kichwa cha Habari hapo juu.
Kama Wewe ni Mwana Blog Au website Na unahitaji Kutengeneza App yako itakayobeba Kazi zako Basi uzi huu unakuhusu...
Habari wazee, kuna majiko fulani yalikua maarufu sana miaka ya 2008 mwenyewe nilishawahi tumia home,nimejaribu kutafuta sahivi nimekosa, kwa mwenye kujua wapi naweza pata kwa Dar naomba anijulishe...
Natafuta hiyo gari aina ya Toyota Harrier new model namba kuanzia DJ.
Mwenye nayo au kama unayo taarifa naomba tusaidiane. Nataka ya kununua bajeti yangu Milioni 16-17.5 itategemeana na ubora wa...
Za wakati huu wana JamiiForums,
Maisha yapo tofauti wakati mwingine na wakati mwingine huna.
Hata Kimara sawa tu ila tu kisiwe mbali na kituo cha bus. Cha muhimu kuwe na magari yanayopita...
Wakuu, habari za muda huu?
Tunapokea oda za kushona sare za shule kwa gharama nafuu sana.
SHULE ZA AWALI:
Kaptura 1 - 3500
Shati 1 - 3500
Sketi 1 - 3500
Gauni 1 - 4000
Kaptura za michezo 1 -...
Nahitaj frame au eneo maeneo ya Dar, kwa ajili ya biashara ya chakula Kariakoo, Mbagala, Mombasa,Gongo la Mboto, Mwenge na kwingine kwenye interactions zaidi.
Natanguliza shukrani.
Shamba heka 22 naziuza zipo km 8 kutoka barabarani iendayo mtwara na km 100 kutoka mbagala , lipo Mkuranga kijiji cha miteza , Shamba halijawahi kulimwa. Maji yapo karibu. Lina hati ya kijiji...
Hallow wapendwa,
Sorry naomba kuuluzia kama yoyote anayewafahamu Mawakala wa kiwanda cha rangi kinachoitwa plascon.
Naomba mnijuze wapendwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Za wakati huu wanajamii forum
Maisha yapo tofauti wakati mwingine na wakati mwingine huna.
Naombeni anayefahamu chumba kinapangishwa maeneo hayo ya M Cityity, Savei, Mwenge, Ubungo, Sinza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.