Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Kama kichwa kinavyoeleza, Mimi ni mjasiriamali mdogo, Nataka kuanzisha biashara hvyo nahitaj friji la mtumba {mtumba wa nje ndiyo bora zaidi} kwa ajili ya kufanya biashara. Lisiwe limechonolewa...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Used for 3 months, In a very good condition as new Price - 550000 Contacts - 0684910695, 0659426390 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kwa wanaohitaji huduma ya Kuprint -T-shirt -Bussiness cards, -Bronchure -Delivery books -Orderbook -Mifuko Kwa Haraka pia Tunafanya Graphics Designing Tuwasiliane kwa number 0688121308 Ofisi...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Je unajenga au unahitaji kuweka aluminium kwenye yako. Tunatengeneza na kufunga aluminium kwa bei nafuu. Unaweza kutuita tukakupigia gharama za vifaa ukanunua vifaa tukakutengenezea hapo hapo site...
1 Reactions
25 Replies
46K Views
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia inatangaza nafasi za kujiunga katika Vyuo vya Maendeleo ya Wananchi (FDC) kwa mwaka 2020. Sifa za Mwombaji ni mwananchi yeyote mwenye nia ya kupata ujuzi na...
0 Reactions
7 Replies
7K Views
Nahitaji its old model au Nissan March mwaka 2003+,Cc 990 au 1290, namba iwe kuanzia D, offer yangu ni milioni 5.0 hadi 5.3 Tsh. Muuzaji awe mmilili asiwe Dalali. Contact 0744 735852
1 Reactions
0 Replies
754 Views
Nimevutiwa na aina hii ya bajaji inaitwa maxima Z kwamba inaweza beba abiria mpaka sita Nataka kujua zinapatikana wapi ,na je ubora wake ukoje pamoja na bei zake. Sent using Jamii Forums...
2 Reactions
9 Replies
4K Views
Ikiwa unatafuta fomu safi za pdf za kielectronic (e-forms) ambazo unaweza kujaza na zinazoweza kuhaririwa ili kukidhi mahitaji yako mengi, ni wakati sahihi sasa kujipatia. Kufanya fomu ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Motor nyingi za visima vya maji zimekuwa zikifanya kazi chini ya kiwango chake kutokana na kupokea umeme mdogo kutoka katika mfumo wa umeme. Kwa asilimia kubwa visima vingi hasa virefu...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mjini NALA BP. Karbu na chuo kabisa. Ni Kiwanja cha Makazi kina ukubwa wa 569 Square mita. Huduma zote zipo maji na umeme. Kipo Barabarani. Kimepimwa na HATI. BEI 5.5M...
0 Reactions
1 Replies
923 Views
Kitabu cha bs kwa ajili ya advance level biology kinahitajika kwa bei nafuu kiwe used aw kipyaa nipo Dar es Saalam. Mwenye nacho tuwasiliane kwa namba 0656-548919
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ni matumain yangu mu-wazima wa afya! Natarajia kuvuna viazi mviringo mwanzo wa mwezi March, yeyote ajuaye soko zuri au kusaidia kupata taarifa ya soko zuri anisaidie/tuwasiliane. Nimelimia njombe...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Wadau, Nawasalim... Leo naomba tuongelee madirisha. New trend in Europe ni utumiaji wa madirisha ya plastic a.k.a plastic windows or PVC windows. Katika nchi hizi madirisha haya yana manufaa...
9 Reactions
65 Replies
37K Views
Heshima kwenu wakuu,kama heading inavyojieleza hapo juu, tunachora ramani za nyumba za kisasa za aina zote,na pia tunatoa ushauri juu ya ujenzi bora kwa gharama nafuu. kwa mawasiliano piga...
0 Reactions
59 Replies
14K Views
Anayehitaji chumba cha kupanga maeneo ya Tegeta Kibo Complex kwa nyuma anicheki Kuna chumba kikubwa Kiko ghorofani, kina: Gypsum Ceiling fan (Panasonic) Tiles Dirisha la aluminium Choo kiko Cha...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari Kiringeni. Mimi ni mkulima wa mazao na mifugo tofauti tofauti. Nina mpango msimu huu kuanzisha kilimo cha migomba katika eneo la ekari 2.5. Nahitaji kufanya kilimo hiki kisasa (4th...
0 Reactions
20 Replies
6K Views
.. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kichwa cha uzi kiko wazi! Nimepata teteleko la kimaisha upande wa uchumi. Naombeni mnitajie Nyumba za kulala wageni kwa pesa kiasi cha shilingi elfu nne au chini ya hapo kwa hapa Dar! Asanteni...
5 Reactions
50 Replies
7K Views
Kufuatia kuwepo kwa corona china...hata utoaji wa bidhaa umefifia.. Ni soko gani linafanya kazi nje ya china lenye bidhaa za kueleweka? NB masoko ya E.A siyataki
0 Reactions
4 Replies
815 Views
Back
Top Bottom