Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Naomba ushauri kwa wanajamvi wazoefu kwenye vifaa vya muziki Nahitaji home theatre music system. Je, ni aina gani nzuri? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
23 Replies
7K Views
Habari wanaharakati wenzangu natafuta mtu amabaye ana experience katika masuala ya chakula tufanye kazi pamoja vifaa vyote vipo vya chips, chakula na machine ya juice ya miwa kama upo interested...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
0714453589 0621711451
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Now available at Dar es salaam. Gadget za kufukuza inzi,mende, panya, sisimizi, nyoka,mijusi, buibui n.k ndani ya nyumba yako. Haitumii kemikali. Check video hindi inavyofanya kazi hapa Place...
0 Reactions
0 Replies
945 Views
Nina 8 millioni. Nahitaji Toyota IST Cc 1290 Namba kuanzia DK na kuendelea Hali nzuri ya gari...isiwe na mashida shida. Sihitaji habari za dalali Majina ya kadi ya gari yafanane na majina ya...
5 Reactions
9 Replies
1K Views
Drive in Lodge iliyo maeneo ya msata pembezoni kidogo mwa barabara ya Bagamoyo inawakaribisha wasafiri wote mnaolekea tanga,Moshi na Arusha hata chalinze na bagamoyo kwa misosi mitamu itayokupa...
2 Reactions
20 Replies
3K Views
Habari Jf, Mwenye sehemu au taarifa za sehemu ambayo unahitaji mtu kufanya biashara ya chipsi au mgahawa naomba anipm kwani nahitaji sehemu ya biashara Eneo ni Dar es salaam hususani kuanzia...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Wapi nitapata hii USB cable? Msaada kama unafahamu. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
558 Views
Wakuu habari zenu, Napenda kuwajulisha kuwa shamba lenye ukubwa wa ekari 20 linauzwa hapa manyoni likiwa na miche yake ya korosho lina jumla ya miche 900 na zaid na tayari lina uzao wa kwanza...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Price: TZS 13,000,000 Toyota VOLTZ - DLP Facilities and specifications - Km 119,000-Imported with 109,000 KMs (Rarely driven in Tanzania) -New tyres installed Nov 2019 -music system -Smart...
0 Reactions
1 Replies
884 Views
Wana JF naomba kujua sehem ambayo naweza pata mteja wa asali kwa hapa dar es salaam awe ni individual au ni company. Nataka kuleta asali kutoka mikoani na kuiuza hapa Dar, ningependa kwa yoyote...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wana Jf! Kuna wazee wamenifuata nyumbani kuomba ushauri kuhusu swala lao linalohusiana na ardhi ambayo walimuuzia mtu ambaye inasemekana ni mwekezaji miaka saba iliyopita. Wazee hawa wako...
0 Reactions
7 Replies
653 Views
Ndugu wanagroup poleni na majukumu, kwa mtu yeyote alioko Mkoa wa Arusha na unaitaji uduma ya kuangulisha mayai karibu sana tumeanza rasmi mwezi huu wa pili. Kwa mahitaji ya vifaranga pia...
0 Reactions
1 Replies
926 Views
Zamani kwa Tsh. 500 nilikuwa napata 70MB. Lakini sasa leo nimeamka nimekuta haya maajabu kwenye menu ya Tigo Tsh 500: 300MB Tsh 1000: 750MB Tsh 2000: 3GB Tafadhali sana Tigo, hata kama kuna...
11 Reactions
207 Replies
17K Views
Nauza laini yangu ya uwakala ya tigopesa imeshasajiliwa kwa finger print yangu.Laini iko sawa na inarudisha kamisheni vizuri.Aliye serious anicheki 0714-796778 au whatsapp 0628-615685, bei ni sh...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
BMW mpya haijatumika sana,nyaraka halali za umiliki zote zipo. AINA YA GARI:BMW 116i LOCATION; Dar es salaam REG NO; T 676 DME cc:1590, 4 cylinder Mwaka:2006 BEI;23.5million MAWASILIANO...
0 Reactions
35 Replies
5K Views
Natengeneza na kuuza bracelet za Uru kwa bei rafiki ya shs. 125,000 tu. Utawekewa jiwe (gemstone) lolote unalotaka na uzi wa rangi ya chaguo lako. Vaa bracelet ya kijanja na muonekano maridadi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
USISAHAU MAMBO HAYA. MWANDISHI. Robert Heriel. HATIMILIKI@2019 TAIKON PUBLISHER. Maandishi ya Robert Heriel Kwa Lugha ya Kiswahili. UTANGULIZI Kitabu hiki ni zawadi kwa watu wote. Kitabu hiki ni...
1 Reactions
0 Replies
780 Views
Back
Top Bottom