Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Nyumba ipo mbezi mwisho mtaa wa msakuzi ipo karibu na barabara/kituo cha daladala Price: TZS 26,000,000 ( mwenye nyumba ana shida ya haraka kwa iyo kashusha bei) .Documents serikali ya mtaa...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Make : Toyota Model : Alphard Engine Model : 2AZ Capacity : 2360cc Full AC Full Documents 2WD Two sun Loofs Excellent Car Location : Mikocheni Price : 17.5M Call : 0717436363 Sent using Jamii...
0 Reactions
0 Replies
918 Views
Wakuu wa jukwaa, Natafuta friji nina laki 6, ila sijajua kampuni ipi ni nzuri kwa bajeti yangu hiyo hapo juu? Pia naombeni mambo ya kuzingatia kwenye ili nipate friji nzuri itakayodumu maana...
1 Reactions
78 Replies
17K Views
Popote mlipo wakuu nawasalimu kwa Uchumi wa vijana ni mitandao yenye tija Napatikana dodoma ambako ndo nyumbani kwa zabibu zenye ubora wa hali ya juu Afrika Mashariki na kati sasa msimu ndo...
1 Reactions
10 Replies
6K Views
USHAURI umetolewa kwa Tanzania na Watanzania kuamka na kuchangamkia fursa za uwekezaji na biashara ambazo zimejitokeza nchini Sudani ya Kusini. Ushauri huo ulitolewa Siku ya Jumatano na Meja...
1 Reactions
116 Replies
17K Views
Nauza cm Nokia 7plus 64gb/4ram Camera kali sana Fingerprint ok Ina crek kidogo kwa juu Bei 250000 Dar es salaam 0683168880. Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
1 Replies
703 Views
Rangi: Nyeupe Mwaka: 2004 Ukubwa wa injini: 1290 CC Namba ya usajili: DNS Mahali lilipo: Dodoma Bei: Milioni 9.0 Mawasiliano: 0688778881 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habarini za muda huu, naomba kujuzwa ni duka gani Dodoma, morogoro au iringa na weza kupata simu za samsang s10+,S20 na S20+. Kwa moja ya mikoa twajwa ,shukran kwa details n PM.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Property Investors Company(PIC) inakuletea viwanja vilivyopimwa Dsm. Location: Goba -Tegeta A Price: 30000 per squaremeter Distance: 100m from the main road ( Goba Mpakani) Viwanja vimepimwa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Natafuta bus nylon, packaging packet kama vinavyoonekana kwenye picha hapo kwa bei ya jumla. Msaada kwa kujua wapi na namna ya kupata. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ninanunua Mawe ya kwenye Nyongo ya ngombe. Kwa bei ya 40,000 mpaka 45,000 kwa gram. Yakiwa yamekauka. Kama unayo au kuna mtu anayo njoo pm.au whatsapp no 0693296809
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Tunakodisha formwork za mbao kwa ajili ya nguzo, slabs, jamvi za msingi na majukwaa kwa ajili ya mafundi wakiwa kwenye kazi yao. kodisha kwetu kwa bei rahisi na huduma ya kukufungia ipo...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Nahitaji kitanda na godoro au kitanda kitupu au godoro nipo serious nipo Dar nitext kwa sms 0737 816 299 au pm nipo serious Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
799 Views
Habari wanajukwaa nauza nyumba ipo kimara mwisho maeneo ya kwamashaka km 4 kutoka barabara ya morogoro road kwa boda bodo ni sh/ 1000 kwa bajajish/500. Eneo lina upana wa 40 -33 na 40 20 - 33...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Tunasuka na kuuza mashine za kuchoma chuma (welding) na za kuchaji betri pia kwa bei nafuu. Sasa unaweza kujiajiri kwa kufungua kijiwe na kuanza kufanya kazi za welding kwa haraka na uhakika kwa...
0 Reactions
2 Replies
7K Views
Habarini ndugu jamaa na marafiki naomba mtu anaeuza flat tv LG nch 32 kwa ofa ya 350000 aje PM tujadiliane nipo Dar
0 Reactions
0 Replies
647 Views
Nauza pumba ya Mahindi zipo gunia 40 kwa kila gunia ni sh 25,000 nipo Arusha kwa anaye hitaji tuwasiliane 0712244293 au 0620416881
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habarini wanaJF,pichani gari suzuki grand escudo ya mwaka 2005,cc 2730,automatic inauzwa. Bei ni tshs milioni 15,serious buyer njoo PM. Gari ipo Dar-es-Salaam Asanteni Sent using Jamii Forums...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau natafuta hiyo mashine, zinapatikana wapi, bei nijue. Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
23 Replies
6K Views
Wadau mimi nitafuta mkopo wa zana za kilimo. Najaribu kufatilia hizi taasisi mbili zinazotoa mikopo ya zana za kilimo. Moja inaitwa Equity for Tanzania (EFTA) ingine ni Maisha Finance Limited...
2 Reactions
7 Replies
4K Views
Back
Top Bottom