Natafuta single room ambayo ipo standard
maeneo ya Moshono~Arusha kisiwe mbali na barabara kuu na kisiwe uswahilini
Kiwe na umeme na Maji
Budget yangu
Mwenye nacho Karibu Pm na picha.
Sent...
Wanajamvi,Nina duka linaitwa Agricultural Equipments (AgreQ)Lipo maeneo ya ILALA AMANA,tunashughulika na kusupply drip Irrigation pipes kwa zote ambazo zina ready matunde na zile za kuweka matundu...
Wakuu habari!
Nina idea ya kufanya biashara ya kununua mayai ya kizungu kwa bei ya jumla na kuyauza kwa bei ya reja reja ..
Sasa, wapi naweza kupata hayo mayai kwa bei ya jumla kwa hapa DSM, na...
Habari.
Kuna jamaa ana-emrgence anauza eneo lake lipo Chanika, unashuka Kituo cha Buyuni kutoka Stand hadi hapo mwendo ni dakik 15.
Kina nyumba ipo katika lenta ya vyumba viwili na kimoja ni...
Wakuu kama kinavyojieleza kichwa cha habari nahitaji fundi mahiri wa kompyuta.
Laptop yangu jana ilikuw inafanya kazi vzr tu ila leo asubuhi nilipotaka kuwasha ikakataa nikanunua chaja mpya pia...
Heshima yenu wadau.
Nina uhitaji wa haraka wa PlayStation 2.
Iwe used au mwenye duka ukinionea imani itapendeza pia.
Iwe fat.
Iwe na pads zaidi ya moja.
Iwe na AV Cable na Power Cable.
Iwe...
Eneo lenye ukubwa wa 24M kwa 47M linauzwa maeneo ya Bunju B bei ni sh milioni 35 maongezi yapo nicheki kwa hii namba 0788597559
Sent using Jamii Forums mobile app
LEO NATAKA KUUNDA WEBSITE 1
Website ni ya Tours&Travels (Travel booking)
Features:
Mult-Vendor - (maana yake mtu atajisajili Kwa website yako kama kampuni na mtu akifanya booking kwake utapata...
Habarini Wadau,
Kwa yeyote aliye na SIMTANK na sio Polytank, kiboko wala Lodhia. Naomba tuwasiliane aniuzie kwa bei tofauti na bei ya tank jipya kutoka dukani.
Kama yupo aje PM tufanye biashara...
Rejea kwenye kichwa cha habari.
Nimefungua uzi huu kutaka kujua kutoka kwenu bei ya kununua gari ya kupakia abiria, maarufu kama Daladala.
Kwa wanaojua, naomba kujua bei ya kununua ikiwa used na...
Asalaam Wadau,
Ni matumaini yangu mko salama na hongereni na kazi! Katika pitapita zangu nimeona kwa Sasa kuna ongezeko kubwa la uhitaji wa Mbegu za maboga baada ya kubainika kuwa zinamsaada...
Nauza nyumba IPO IPO kivule m emben balabala ya kwa mkoremba ipo balabalan inafa kwa biashara Kama zahanati lodge n.k kwa maelezo Zaid 0772 151398
BEI milion55 maongezi yapo
Sent using Jamii...
wakuu naomba mwenye ufahamu kama naweza kupata mtambo bei ya kawaida wa kukamua mafuta ya nazi.
na kama una ABC za Soko la mafuta ya nazi, 100% pure unaweza kutoa maoni tuongeze ufahamu katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.