Wakuu amani iwe nanyi
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza
Mimi naitaji freezer ya kukodi kwa muda wa miezi mitatu tu.
Naitaji liwe na ukubwa wa lita 250 hadi lita 500.
Mimi naishi kibaha...
Kampuni ya simu za mkononi TECNO imezindua duka kubwa la simu, maarufu ‘Smarthub’ Mtaa wa Mwenge jijini Arush, duka ambalo linatoa huduma mbalimbali ikiwa ni hatua muhimu katika kusogeza huduma...
Nahitaji freezer used kwa dar....liwe zima....ofa yangu ni 200k...ila yaweza kuongezeka.kulingana na ukubwa na ubora wa hilo freezer
Contacts za whatsapp kwa ajili ya picha ni 0674976040
Sent...
Kwa wenye mahitaji ya
1. Yellow Mustard
2. Tomato Ketchup
3. Coconut cream
4. Delicio mayonnaise
Mzigo upo sokoni kwa bei rahisi kama ifuatavyo.
Tunauza kwa jumla
1. Yellow Mustard 3.78 x 4pc =...
Natafuta dereva wa kuendesha Toyota Vitz new model, awe na uzoefu wa kazi hiyo, leseni class C1,2 au 3, awe mwaminifu, awe na mdhamini mwenye makazi ya kudumu na kitambulisho cha Taifa.
Mwenye...
Jipatie viatu vizuri mno kwa bei nzuri
Sebago 48,000/= Slippers 18,000/=
Tunafanya delivery.
Tuko Dar es Salaam
Mawasiliano 0656838727
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari kama habari inavyojieleza ofa yangu milioni tano mpaka 5.5 iwe imenyooka. Karibuni.
Lengo ni usafiri wa hapa na pale mjini matumizi binafsi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nahitaji Vits old model au Nissan march mwaka uwe 2003+, cc 990 au 1290,muuzaji asiwe dalali awe mmiliki, ofa yangu milioni 5.0 hadi 5.3,
Mawasiliano yangu 0744 735852.
Kama una wazo LAKO la biashara lakini kikwazo ni mtaji na mtaji wake ni kati ya 250k na 400k nione pm
Ukiwa na wazo halisi la biashara yako
Mdhamini
Pia uwe tayari kuandikishana kwa mwanasheria...
Nyumba inapangishwa ipo Kwembe, Mbezi mwisho upande wa ofisi mpya ya manispaa ya Ubungo (Luguruni)
- Ina 2 bedrooms (chumba kimoja master)
- Store, sebule na jiko la kisasa.
- Imezungushiwa...
habar kitanda kinauzwa location ilala ni kitanda + baby walker + godoro na mito yke + neti kwa bei poa laki 320000 kwa mawasiliano zaid njoo dm
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mahitaji ya fundi tiles usisite kunitafuta....
Nyumba yako Fahari yako ifanye iwe ya tofauti kwenye sekta ya Tiles....
0676 214 974 WhatsApp
0714 122 011 Call/txt
Karibu tukuhudumie...
Kitanda cha mbao mninga kigumu na imara laki moja na 80 pungufu karibu
5*6
Dstv bila dish elfu 42 tu
Jiko la gesi elfu 60 tu unapewa na pipe yake na regulator ni kuunga na mtungi wako tu
Sofa...
Habari wakuu, nina king'amuzi cha dish cha StarTimes na nahitaji mtu ambaye ana king'amuzi cha Azam tubadilishane.
Kwa aliye tayari anicheki kwa namba hii 0764454071
Napatikana Shekilango, Dar...
Nahitaji pikipiki aina ya TVS HLX 150 iliyo katika hali nzuri yenye usajili wa namba C
Bajeti yangu ni 800000 mpaka 880000
Napatikana Gongo la mboto kwa anayeuza anicheki pm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.