Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Wakuu amani iwe nanyi Kama kichwa cha habari kinavyojieleza Mimi naitaji freezer ya kukodi kwa muda wa miezi mitatu tu. Naitaji liwe na ukubwa wa lita 250 hadi lita 500. Mimi naishi kibaha...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kampuni ya simu za mkononi TECNO imezindua duka kubwa la simu, maarufu ‘Smarthub’ Mtaa wa Mwenge jijini Arush, duka ambalo linatoa huduma mbalimbali ikiwa ni hatua muhimu katika kusogeza huduma...
0 Reactions
1 Replies
986 Views
Nahitaji freezer used kwa dar....liwe zima....ofa yangu ni 200k...ila yaweza kuongezeka.kulingana na ukubwa na ubora wa hilo freezer Contacts za whatsapp kwa ajili ya picha ni 0674976040 Sent...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Salam! naomba kujua bei ya soya au kwa anae zitaka nipo kilimanjaro mamsera huku bei ni kandamizi sana. ASANTENI KWA WATAKAO NISAIDIA
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kwa wenye mahitaji ya 1. Yellow Mustard 2. Tomato Ketchup 3. Coconut cream 4. Delicio mayonnaise Mzigo upo sokoni kwa bei rahisi kama ifuatavyo. Tunauza kwa jumla 1. Yellow Mustard 3.78 x 4pc =...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Natafuta dereva wa kuendesha Toyota Vitz new model, awe na uzoefu wa kazi hiyo, leseni class C1,2 au 3, awe mwaminifu, awe na mdhamini mwenye makazi ya kudumu na kitambulisho cha Taifa. Mwenye...
4 Reactions
26 Replies
7K Views
Jipatie viatu vizuri mno kwa bei nzuri Sebago 48,000/= Slippers 18,000/= Tunafanya delivery. Tuko Dar es Salaam Mawasiliano 0656838727 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nahitaji frame ya biashara Makumbusho, Sinza au Mwenge kwa 200000. 0674839141 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau Salama? Natafuta soko la majani ya Mlonge. Kama kuna mtu anahitaji au anazo taarifa za soko tafadhali tupeane taarifa hapa au PM. Asante.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari kama habari inavyojieleza ofa yangu milioni tano mpaka 5.5 iwe imenyooka. Karibuni. Lengo ni usafiri wa hapa na pale mjini matumizi binafsi. Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Nahitaji Vits old model au Nissan march mwaka uwe 2003+, cc 990 au 1290,muuzaji asiwe dalali awe mmiliki, ofa yangu milioni 5.0 hadi 5.3, Mawasiliano yangu 0744 735852.
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Kama una wazo LAKO la biashara lakini kikwazo ni mtaji na mtaji wake ni kati ya 250k na 400k nione pm Ukiwa na wazo halisi la biashara yako Mdhamini Pia uwe tayari kuandikishana kwa mwanasheria...
3 Reactions
33 Replies
3K Views
Nyumba inapangishwa ipo Kwembe, Mbezi mwisho upande wa ofisi mpya ya manispaa ya Ubungo (Luguruni) - Ina 2 bedrooms (chumba kimoja master) - Store, sebule na jiko la kisasa. - Imezungushiwa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
habar kitanda kinauzwa location ilala ni kitanda + baby walker + godoro na mito yke + neti kwa bei poa laki 320000 kwa mawasiliano zaid njoo dm Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa mahitaji ya fundi tiles usisite kunitafuta.... Nyumba yako Fahari yako ifanye iwe ya tofauti kwenye sekta ya Tiles.... 0676 214 974 WhatsApp 0714 122 011 Call/txt Karibu tukuhudumie...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Kitanda cha mbao mninga kigumu na imara laki moja na 80 pungufu karibu 5*6 Dstv bila dish elfu 42 tu Jiko la gesi elfu 60 tu unapewa na pipe yake na regulator ni kuunga na mtungi wako tu Sofa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nauza viatu vya mtumba. Simple - 5000 Heels - 20000 Wedge - 15000 Nafanya delivery mikoani. Tupo Mbeya Mawasiliano: 0710106604 Namba: 39,38,37 KARIBUNI Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wakuu, nina king'amuzi cha dish cha StarTimes na nahitaji mtu ambaye ana king'amuzi cha Azam tubadilishane. Kwa aliye tayari anicheki kwa namba hii 0764454071 Napatikana Shekilango, Dar...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nahitaji pikipiki aina ya TVS HLX 150 iliyo katika hali nzuri yenye usajili wa namba C Bajeti yangu ni 800000 mpaka 880000 Napatikana Gongo la mboto kwa anayeuza anicheki pm
0 Reactions
3 Replies
968 Views
Back
Top Bottom