Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Property Investors Company inakuletea viwanja Karibu na fukwe ya Bahari ya Hindi Eneo: Kigamboni (Gezaulole) Fukwe: Bamba beach Bei: 32000 kwa mita mraba (squaremeter) Umbali: 3 km kutoka...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama umepata shida yoyote kwenye gari yako usiangaike wasiliana nasi kwa msaada wa haraka. Tunapatikana Tabata Magengeni Mawasiliano 0693536083 0716505153 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
1K Views
AS-SALAAM ALAYKUM MARAFIKI ZANGU HAMJAMBO? Mimi ninauza vikapu vya kwendea Sokoni jamani kwa mtu mwenye kuvitaka kila kikapu shilingi Elfu 60 za Tanzania. Kama kuna mtu anahitaji hivyo Vikapu...
1 Reactions
5 Replies
37K Views
  • Closed
Inahitajika feni iwe na upepo wa kitosha na nzuri, nipo Dar. Budget yangu ni 20k yaani 20,000. Uwe Dar Nicheki pm Asanteni Sent using Jamii Forums mobile app Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
32 Replies
6K Views
Hello habari zenu poleni na mihangaiko ya hapa na pale. Ngoja niende kwenye mada moja kwa moja kwa anaefahamu wapi hapa dar naweza pata CPU cooler ya kawaida tu naomba anipe mwongozo. Socket...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Natafuta matank ambayo hutumika kuifadhia mafuta kama petrol , diesel au mafuta ya taa. Unaweza kuwa nayo wewe, rafiki yako, jirani au sehemu yoyote unayojua naomba uniunganishe, yanaweza kuwa...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Kutokana na hali kuwa ngumu, nauza meza yangu ya Glass, inafaa kuwekea Tv flat hadi Inchi 60. Imetumika miezi mi4, Kioo chake ni kigumu na bei ni 140,000/=.
0 Reactions
32 Replies
11K Views
Godoro ni super banco limetumika miezi 7 ni kama jipya. Linapatikana Mwanza kirumba Mawasiliano: 0745352352 Bei: 150,000 tzs
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Kwa anaehitaji simu Sony Xperia C 5 inauzwa bei 8.5k, ipo katika Hali nzuri imetumika miezi 2 tu.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Gari inapatikana Dar Gari nzuri sana imetunzwa mno Bei million 30 mazungumzo yapo Namba ya simu piga au text whatsapp 0719909691 0763166893 0787107395 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
6 Replies
1K Views
  • Closed
Nyumba ya vyumba 3 na sebule ilijengwa kwa tofali za kuchoma . Imekamilika ukamilifu wa kawaida, ina eneo la kuweza kujenga vyumba 6+. Ipo Dodoma-Hombolo (karibu na chuo cha serikali za mitaa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Pata kiwanja chenye ukubwa 40 kwa 50 kwa bei ya milion 5 kinafaa kwa project kubwa kiwanja kipo Mbagala kongowe mlamleni. Mazungumzo yapo. Kiwanja kipo mbezi malamba ( mzalendo) kina ukubwa 15...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari wana JF!Nina apartment nazipangisha zipo full mpaka AC ndani na ulinzi wa kutosha pamoja na parking kubwa bei zinaanzia 600,000/= kwa mwezi ,kuna mpaka za 3M kwa mwezi. Kama upo interested...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mambo vip wakuu? Sumsung Galaxy A8 inauzwa Price: 250,000/= Storage: 16GB Condition: Excellent condition with No scratch Android Version: 5.1.1 Location: Tabata Segerea(DSM) Contact: 0682823028
0 Reactions
0 Replies
763 Views
Specification; Touch with high sensitivity Battery hudumu Kwa masaa kumi Na mbili ikiwa na data on Muonekano ni kama Samsung S7 edge Haina tatizo lolote Kwa anaeitaji anicheki Kwa namba 0755979943...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nahitaji kununua kiwanja songea, maeneo ya mkuzo, msamala au mshangano. kama kuna mtu anauza kiwanja maeneo hayo tuwasiliane. dalali hatakiwi.
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Breed: Maltese Bei/price: 300,000 Vaccine:Yes [emoji818] Age: 2 months Location: Dar es salaam Contacts: call/whatsup 0719708708 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
29 Replies
4K Views
Bado kipya Ni kile cha Dish ambacho kifurushi kikiisha zinabaki free chanel kipya pale Startimes wanauza 136,000. Mimi nauza 98,000. 0678096545 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
19 Replies
3K Views
gage30 sh. 20,000 kwa pc gage28 sh. 26, 500 kwa pc gage 32 sh. 15,500 kwa pc VESSAL sh. 10,500 kwa mita LUGOBA sh. 10,500 kwa mita misumari(rangi) sh. 9,000 kwa kilo kofia sh. 10,000 (futi 10)...
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Tunauza vitabu, na Daftari Jumla na rejareja Primary e. g M.E.P, Bantu, Kyando bp., Adamson. Oxford etc Secondary e. g TIE, Oxford, Fundamentals, NNP(nyambari), CSBM(msemwa) ATLAS, BURNET...
0 Reactions
92 Replies
19K Views
Back
Top Bottom