Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Kama kuna kitu kinaturudisha watu wengi nyuma ni kusubiria mpaka vitu vyote vikae sawa ndio tuanze kufanya kitu fulan. Ngoja hiki kiwe hivi ndio nifanye hivi zimekuwa nyingi sana. Siri ni kuanza...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu poleni na mihangaiko ya kila siku naombeni msaada wenu, hivi karibuni natarajia kuanza kufuga nguruwe nimeshafanya utafiti wa kujiridhisha na pia nimepitia threads nyingi humu...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Nahitaji kununua PC hapa mbeya Mimi ni mgeni nimekuja kikazi maramoja nitapata wapi maduka yanayouza kwa beinzuri Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
5 Replies
3K Views
NYUMBA INAUZWA DETAILS Ni nyumba ya vyumba vitano(1 master) Pia ina; -sitting -Dinning -kitchen -store -public toilet -parking -Tiles -Gypusm -slidewidows HUDUMA ZA KIJAMII -maji -umeme...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Fursa!!! Fursa!!! Fursa!!! MoonAfrican light inawaandalia SEMINA maalumu ya mafunzo ya ujasiliamali,yatakayokuwezesha kujikomboa na umaskin Na kujipatia njia Bora Na za kisasa za kutengeneza...
0 Reactions
1 Replies
930 Views
habari kama kichwa kinavyojieleza hapo juu nauza iphone 6 plus haina tatizo lolote simu bado mpya storage 16 gb bettry health 100% colour ni gold location DoDoma simu +255710277123 Sent using...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Tutakua tunatoa elimu ya Bima kwenye ukurasa huu wetu. Na kuanzia 23 January tuta anza na bima ya maisha. Tupe maoni yako njia bora ya kuwasilisha elimu hii ya Bima. Pia tutapokea na kujibu...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
KARIBU KATIKA FURSA YA KUMILIKI ARDHI KWA AJILI UWEKEZAJI WA VIWANDA NA BIASHARA MKOA WA MOROGORO Eneo la uwekezaji kwa ajili ya Viwanda na biashara linauzwa wilaya ya Morogoro Mkoa wa Morogoro...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Friji used aina ya Samsung linauzwa Linagandisha Bei 350,000 Ilala 0762 854563 Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
1 Replies
943 Views
Nauza tray za mayai za karatasi bundle 1 ( tray 100 ) kwa tsh elfu 30000. Napatikana ilala bungoni opposite na club ya wazee, kwa mhitaji 0625602775. Biashara itakuwa ya cash, sitaki mikopo au...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wakubwa zangu. Mimi natafuta watu nitakao kua nawauzia bidhaa za forever living na malipo ni baada ya week moja mpaka mwezi. Napokea orders kutoka kwenye pharmacy na maduka mbalimbali...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Kama unauza hzo na uko Iringa au Mafinga tuwasiliane
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jipatie tablet ya vodafone vfd 1100 iko katika hali nzuri mno,haina shida yeyote ni nzima kabisa kama unavyoiona kwenye picha, inakwenda kwa bei ya 100,000 mazungumzo yapo. Napatikana Mbeya...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Kwa watu wanao deal na product za kampuni ya FOREVER..... Kuna dawa nimeambiwa yapatikana kwao.[ FOREVER FREEDOM] yatakiwa mwenye ku deal nayo anicheki
0 Reactions
2 Replies
987 Views
Hello! NANE NANE ndio hii, Una subiri nini?? Kwa mahitaji ya huduma ya graphic designing kama vile kupata [emoji843]Mabango ya kisasa [emoji843]Kuprint T-shirts [emoji843]Kutengeneza posters...
1 Reactions
76 Replies
10K Views
Habari wadau, niagize mchele kutoka mbeya nakuletea ulipo, agiza kuanzia nusu tan na lipa nusu.... Iliyobaki utamalizia mzigo ukifika. Mchele kwa sasa kilo 20 ni 48,000(pamoja na usafiri)...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Hi, I have come accross this fantastic business directory, bizyciti.com, it seems has many important features for my business growth. Can any one help how to use it especially to put a booking...
0 Reactions
0 Replies
699 Views
Nahitaji gari ya kununua kwa mtu. Iwe Toyota Allex, Runx au IST. Namba D, reasonable mileage. IST itapewa kipaumbele. Sihitaji dalali kwa sababu sina pesa ya kumlipa. Aliye na gari anitumie...
2 Reactions
37 Replies
8K Views
Natafuta noah ya kukodi, iwe dar es salaam. Itafanya kazi ya kubeba wanafunzi tu wa chekechea tu asubuhi na Mchana. Itafanya kazi siku 5 tu za wiki na wikiendi inakuwa free. Mkataba wa malipo...
0 Reactions
0 Replies
979 Views
Kwa niaba ya JF natoa program za kutizama channels bure kwa wote ktk Android na nitakua na update hii page: tuanze : kwa niaba ya (♚ Woяld  ѕρσят ♚) Group leo tunakuletea best application...
1 Reactions
30 Replies
7K Views
Back
Top Bottom