Simu INFINIX inauzwa hot 8 location songea
Internal memory gb 32
Ram 2gb
Ina support 4G
Camera tatu
Simu Ni mpya ina wiki tatu charger ,box ,na risit vipo
Bei Ni tsh 165k haishuki Nina shida na...
Mimi ni mkazi wa Musoma natafuta wafanyabiashara nitakaofanya nao biashara ya dagaa wa mafuta au waliokaangwa, dagaa waliokaushwa na jua, samaki sangara waliokaangwa na sato waliokaangwa...
We deal with photocopy, printer, computer, cctv camera and counter money Repair in term of
:services
:repair
:spare parts
Location_ dar es salaam
For more infmation: call/sms/0687982122
Display for COMPUTER.
19" size Wide
Clean and works Fine
Display Only
PRICE 85,000/
Serious Buyer CaLL 0682-030046.
Dar es Salaam
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari!kwa uhitaji wa kufungiwa ELECTRIC FENCE bhasi usisite kuwasiliana nasi
0620384835/0716866626
Tunapatikana Dar
Nb:Popote tutakufikia bila shida
Sent using Jamii Forums mobile app
Friji ipo kwenye hali nzuri muonekano mpya haijachezewa sehemu yeyote. Lina milango miwili american doors na freezer -drow mbili kwa chini..Nauza kwasababu nataka kuhama..hivyo napunguza vitu...
Habari wana JF kama kichwa cha habari kinavyo jieleza nina Toyota pick up double cabin new model naikodisha dereva ni Mimi mwenyewe.Napatkana Mwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
Ipo katika Hali nzuri, internal memory ni 32Gb na Ram ni 3Gb, Camera yake ni 16mp yaani inatoa picha clear kabisa,
Njoo tufanye biashara tuwasiliane kwa namba hizi 0653277662 Bei ni 260,000 pia...
Habari zenu wana JamiiForums, naomba kuuliza bei ya jumla ya kuuzia samaki kwa Arusha ni shillingi ngapi kwa kilo moja au zaidi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Heshima zenu wakuu
Kwa ambaye anajua kampuni ambayo inaweza kusafirisha mzigo kutoka Marekani hasa mji wa Iowa kuja Tanzania kwa njia ya ndege Naomba msaada wa mawasiliano yao
Au kama kuna mtu...
TV ilipasuka kioo ni flat alijitolea rafiki yangu apeleke TV kwa fundi.
Mwanzo alidai elf 80 lakini havikuepo jana nikamwambia twende tuirudishe nipeleke Dar nashangaa leo anasema vioo vimekuja...
Ni saa Original kabisa warranty ni 1 year
Mikanda ni ya lether original
Water resistant
Free Delivery
Whatapp 0658749848 or 0686879011
Mimi napatikana Mbezi mwisho pia sijafungua ofisi bado...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.