Habari?
Wanajamvi,nimenunua mashine ya kutotolesha vifaranga hivyo napata changamoto ya malighafi yaan MAYAI. Hivyo nanunua mayai YA KIENYEJI yawe yanatokana na kuku halisi wa KIENYEJI.
Mwenye...
Habari wakuu
Kuna mizigo nataka ninunue alibaba sasa muuzaji kanambia anahitaji shipping agent aliyeko china anisaidie kutuma ije huku sasa nisaidieni ni agents gani wa kuaminika wa tz au kampuni...
Nyumba inauzwa.
Location-Mbezi beach goig(nearby bagamoyo road and nearby massana hospital)
plot size-sqrm 401
PRICE-150m
Nyumba inahitaji marekebisho,japokuwa ipo eneo zuri.
Kwa atakaekuwa...
Pre/Order:-MASHINE YAKUKANDIA UNGA.
Hii ni mashine yakukandia unga wa ngano kwaajili ya kazi mbalimbali kama vile keki,mikate,maandazi nk
Zipo size tofauti tofauti na bei ziko tofauti tofauti...
Pressure washer pamoja na Tank la maji kwa ajili ya car wash vinauzwa.
Mashine iko poa, ina pressure 2800PSI.
Tank la maji ni lita 1000.
Ukitaka vyote jumla bei ni 850,000. Au mashine pekee ni...
wakuu habari zenu
Kama uzi unavyo jieleza apo juu kwa yoyote anae hitaji shamba yapo mawili sehemu moja ila yametenganishwa tu na barabara moja Ni ekari 300 na lingine ni ekari 200 kwa Kila eka...
Habari wakuu,
Nahitaji simu original kabisa haraka sana iwezekanavyo, budget iliyopo ni pesa ya Kitanzania shilingi laki moja (100,000)
Napatikana Dar es salaam
Aina ya simu inayohitajika ni...
Kutana na mafundi ujenzi mahiri kwa bei nafuu.Okoa muda kwa kuwatumia mafundi vijana wasiolaza kazi.tunapatikana Dar es salaam kwa namba ya simu 0658904648.bei zetu ni nafuu sana na rafik kwa muda...
Get more than just insurance with Pan oceanic insurance brokers Ltd.
Introducing Pan oceanic Loyalty Program -
Spend less on your leisure and corporate affairs with
discounted prices on...
Habari wadau nauza mashine ya kufua upepo (compressor) kubwa unaweza kutumika kwa ajili ya mining and construction projects.
Details zake ni
Engine ya Ford Piston 4 kubwa
Kinu chake ni cha...
Tunasambaza kokoto,Mchanga na Mawe sehemu mbalimbali Dar es salaam kulingana na mahitaji yako....Kama unahitaji wasiliana nasi kwa 0687 732666
Sent using Jamii Forums mobile app
Hellow ,karibuni sana organic chia seed kutoka karagwe ni safi haina mchanga hata kidogo
Tumezingatia ubora kuanzia kulima mpka kuvuna
Karibuni sana mzigo upo wa kutosha jumla na reja reja hapa...
Tanzania Elite Center (TEC) Je, wewe ni mhitimu wa kidato cha nne , na una ndoto ya kusoma PCM, Au PCB ??, karibu kwenye kituo chetu usome masomo ya Physics , Chemistry , Biology na Maths...
Kiwanja kimepimwa..ni kwaajili ya shule (nursery) kina ukubwa wa square meter 2786. Bei ni 6000@square meter 1 (maongezi yapo) kwa yoyote alokua interested anicheki watsap no 0755322896
Habari za jioni kama ambavyo kichwa cha habari hapo juu kinasomeka nahitaji gari ndogo ya kukodi naendesha mwenyewe gari iwe nzima na tair nzima maana ni kwa ajili ya masafa ya mikoani wewe mwenye...
Nilipeleka kwa fundi kwa ajili ya kubadilishwa IC ya sound bahati mbaya ikawa imepigwa short.
Mwenye nayo au anayeweza kujua zinapopatika anijuze maana Mwanza nilizunguka mji mzima sikupata...
Ina fence na geti la kisasa
.
Ina vyumba vitatu (3) kimoja
ni Master bedroom
.
Inside public toilet na outside public toilet (choo cha mlinzi)
.
Stoo, Parking kubwa ya paving, Sebule, Dining na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.