Nahitaji toyota harrier new modal( hybrid) offer yangu ni milioni 12 kama unayo tufanye biashara.Vile vile nauza toyota crown yangu kama uko nterested unaweza nicheki.Aksante
Habari wapendwa poleni na majukumu.
Nauza shamba langu linapatikana mkoani Morogoro wilaya ya Kilosa barabara ya mikumi kilosa njiani au barabara ya kilosa mikumi.
Mkoa wa Morogoro
Wilaya ya...
Hapo vip!
Hii ni mitambo inayotengenezwa Marekani ni mitambo Bora na imara kuliko mitambo ambayo umeshawahi kutumia kutoka katika makampuni mbalimbali.
sifa ya mitambo hii.
-hata jua likiwa...
Kwa wale wapenzi wa dagaa safi waliokaangwa kutoka Mwanza wakati ndo huu sasa wa kuchukua mzigo unaohitaji.
Tunapima kulingana na mahitaji ya mteja na mzigo ambao mteja anauhitaji. Wanaohitaji...
Inakaa na chaji siku nzima
Unaichaji lisaa 1 tu
Nakuletea ikiwa mpya Newfull box yaani saa yenyewe ikiwa na betri moja na USB tayari kwa matumizi
Sim Card and Memory Card
Unaweza kupiga na...
Habarini nduguzangu natumaini muuwazima kama ilivyo kawaida ukiwa na fani ya ufundi uandishi nampangilio wa maneno hatu fatilii sana.
Nisiwe na meneno Mengi sana, Mimi ni kijana kutoka chuo cha...
Za muda huu ,
Ninazo vanilla kavu naziuza na napatikana Dar es Salaam, survey kwa ambae ana ufahamu juu ya soko naomba nicheki please 0742248055, nipate kuziuza
Nimezitoa morogoro
Sent using...
Naitaji boxer yenye ipo na hali nzur isizid mwaka na miez 3 , mashine isiwe imefunguliwa location dar bei itaendana na hali ya piki2 ofa inaanzia laki 9 had 1.1M
Sent from my iPhone using...
Kama unaitaji fundi umeme basi nipo hapa kwa dar es salaam.nipe kazi yoyote ile wala hatuwezi kushindwana maana bei zangu ni za kawaida sana kulingana na hali ya sasa.
Mawaailiano 0652868486
Sent...
solar charger controllers ;
1. rated current 20A @ 22000 Tsh
2. rated current 10A @ 20000 Tsh
solar LED bulb light ; rated power 3W @ 5000
location ; dar - ubungo xternal
Sent using Jamii...
Habarini wanaJF,
Wale wauzaji na wanunuaji wa viungo vya chakula (ILIKI, KARAFUU,MDALASI NA PILIPILI MANGA) tukutane hapa, tujue soko lake likoje, upatikanaji wake na changamoto zake.
Karibuni...
Bei yake ya kuuza ni milion sita na laki tano(6,500,000/)maongezi kidogo yapo.nishawekea plate # mpya za pikipiki,pikipiki sijatumia kabisa hapa tz tangia nitoe denmark
Kwa wale serious buyers...
Hello wana wa JF
Tunapenda kuwakaribisha wote wenye uhitaji wa vifungashio vya kaki kwa bei ya jumla popote pale ulipo Tanzania tunakutumia kwa uaminifu wa hali ya juu kabisa, tunapatikana Iringa...
Wadau ninauza eneo la shamba lenye ukubwa wa ekari 3 lina mimea ya mikorosho na minazi; limepitiwa na bonde linalotiririsha maji hivyo laweza kutumika kwa kilimo cha umwagiliaji na ufugaji. Eneo...
Make: Subaru
Model: Forester
Year of manufactures: 2009
Engine capacity:1990cc
Milleage: 65,000 km
Automatic Transimision
Fuel:Petrol
Body type: Station Wagon
Colour: Black
Very clean inside and...
Ndugu wanabodi salam kwenu
Tafadhali sana nimehangaika sana kutafuta mbegu ya ufuta ya Lindi 02 au Naliendele 92 kwa Dar sijafanikiwa mwenye mawasiliano ya kituo cha Naliendele ili niweze kupata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.