Habari wakuu,ninauza viti viwili ( 2) vya mtumba vya saluni ya kiume,bidhaa ipo dar es salaam na gharama ya kila kiti kimoja ni 170,000/= ila pia maongezi yanakaribishwa.
Kwa atakayehitaji...
Toyota wish kwa 7.5mil.cc1790 automanual, good condition ,mp4,video ,seven seat ,one litre per 14km ,black , being 7.5milion karibu pm for owner /buyer negotiations
Habari;
Karibu Ujipatie viwanja vya bei nzuri vyenye hati na ukubwa tofauti kuanzia sqm 300 kwa gharama ya TZS Mil 5 inapungua kidogo.
Kwa kuoneshwa na kununua tafadhali tuwasiliane kwa Text...
Hizi ni bulbs zenye uwezo wa kujizima zenyewe pindi panapokuwa hakuna mtu katika eneo hilo.
Taa itawaka tu kama kuna movement yoyote ya Mtu, kama hakuna movement ya mtu Taa itazima.
Pia taa hii...
Tunasambaza vifaa vya ujenzi tajwa hapo juu, Kwa bei ya jumla hususani Kwa wale wenye hardware na ujenzi mkubwa, karibu saana Kwa bei ya kawaida Kwa wale Wa kigoma, shinyanga ,Geita ,kagera...
Wall stencils ni aina ya kupaka rangi ukuta na kuufanya unavutia kama wallpapers, aina hii ya upakaji wa rangi inatumika sana nchi za ulaya na asia na watu wengi wanafikilia kuwa ni wallpapers na...
Papai hizi ni papai za mda mfupi miezi sita tu unavuna, papai hizi ni tamu na nyekundu ndani ina zaa mpaka papai 105,
Soko lake ni kubwa sanaa,
Eka moja inauwezo wakukupa mpaka milion 100...
Kwa wale wanafanya shughuli za electronics design, Engineering ama Hobbyists hii ni natoa offer ya electronics boards na Sensors
1. Aduino Mega (genuine) for 25K unaokoa 20K from 45k
2. Arduino...
Habarini waungwana,
Kuna pori nilikwenda, pana mchanga uliochenjuliwa dhahabu (tailings). Miaka miwili iliyopita nimewahi kununua dhahabu hapo na kuuza Dar es Salaam, so nina uhakika kuwa ule...
Habarini wakuu,
Tarehe 25/1/2020 nategemea kupokea Mzigo wangu wa SAMAKI kutoka Mwanza kuja Moshi-kilimanjaro samaki ni sato na sangara wazuri na wakubwa kabsa.
Naendelea kutafuta soko la...
Natafuta wafugaji wa kuku wa kienyeji na hybrid (chotara), nataka kufanya biashara ya mayai nipo maeneo ya dar so aliye nazo
Naomba tuwasiliane kwa namba zifuatazo.
Vilevile napenda kutoa fursa...
Monitor nzuri kabisa..ni wide screen inapatikana Ubungo Dar es salaam..kwa uliye Dar es salaam nakuletea ulipo..
Mawasiliano ni 0658 02 03 61 au 0753 12 14 04..
Ndugu zangu habari zenu. Naomba kama una uza au una connection na wanapouza maturubai makubwa yale kwa lengo la kuezekea Jengo naomba kujulishwa. Au anayepafahamu hapo kkoo anisaidie natafuta yale...
Pata
......logo, flyers, banners, bronchures, billboards, business card,flex banner,...!
Kuanzia Web Ad's hadi animation flyers......
Sample work katika reply za thread...
Mkuu wa Chuo Cha BITECH TRAINING COLLEGE LTD chenye namba za usajili VETA/MZA/PR/2015/C/028 cha jijini Mwanza anawatangazia wahitimu wote wa darasa la 7 ,kidato Cha 4 na 6 mhula Mpya wa masomo...
Kwema humu,
Ninapangisha nyumba iko Mkuranga Ngunguti, Kilometa 1.2 kutoka Mkuranga Stand. Iko karibu na Shule ya Msingi Ngunguti.
Ni nyumba yenye vyumba vitatu vya kulala, kimoja kikiwa ni Self...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.